Emily magnus
JF-Expert Member
- Apr 7, 2026
- 821
- 1,501
Waungwana, haya maisha bila pesa hayaendi.
Yaan pesa ni kila kitu.
Vijana acheni kupenda na kupendana bila pesa. My ex girlfriend alinambia:
"UPENDO SI PESA, UKINIPENDA NAMI NTAKUPENDA"
Haya maneno alisema ukweli na kwa usahihi kabisa.Upendo haununuliwi na pesa, madini wala thamani yoyote ile. Yaani kupenda, unapenda buure kabisa. Na kupendwa, unapendwa bure kabisa.
Ila huwezi kuishi na mke/mume, mchumba wala mpenzi wako bila pesa.
Yaani utapenda, utapendwa na mtapendana bure, ila mtaishi kwa gharama na huyo mpendwa wako.
Sasa kama huna pesa....
Hata ndugu, watakupenda tu, ila kama huna pesa.. Utaona kama wamekutenga. Kumbe wewe ndo umejitenga kwa kutowafuata kwenye tabaka lao.
Pesa, pesa, pesa.
Tafuteni pesa jameni.
Nawatakia, mchana na mlo mwema.
Na wikiendi njema
Yaan pesa ni kila kitu.
Vijana acheni kupenda na kupendana bila pesa. My ex girlfriend alinambia:
"UPENDO SI PESA, UKINIPENDA NAMI NTAKUPENDA"
Haya maneno alisema ukweli na kwa usahihi kabisa.Upendo haununuliwi na pesa, madini wala thamani yoyote ile. Yaani kupenda, unapenda buure kabisa. Na kupendwa, unapendwa bure kabisa.
Ila huwezi kuishi na mke/mume, mchumba wala mpenzi wako bila pesa.
Yaani utapenda, utapendwa na mtapendana bure, ila mtaishi kwa gharama na huyo mpendwa wako.
Sasa kama huna pesa....
Hata ndugu, watakupenda tu, ila kama huna pesa.. Utaona kama wamekutenga. Kumbe wewe ndo umejitenga kwa kutowafuata kwenye tabaka lao.
Pesa, pesa, pesa.
Tafuteni pesa jameni.
Nawatakia, mchana na mlo mwema.
Na wikiendi njema