Wakuu Uzee wa sasa ni ulemavu

Wakuu Uzee wa sasa ni ulemavu

fact only

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
1,807
Reaction score
2,819
Hellow JF.

Naomba niseme uzee wa sasa ni ulemavu inaumiza sana.

Inawezekana kwa sasa kwenye ujana tuna fanya kila aina ya mambo(Umalaya, kunywa pombe za aina zote, kula kila aina ya vyakula, kuruka kila aina ya viwanja na night clubs, ufisadi, mabinti wadogo kuanza ngono za hovyo hovyo mapema, vijana wakiume kutoka na mashangazi n.k).

Hayo yote na mengineyo tufanye kwa kiasi wakuu uzee wa sasa ni ulemavu.

Pia katika kula starehe tusisahau kuwekeza hata kidogo ili kama ukibahatika kuuona uzee usiteseke kwa umasikini na ulemavu.
 
Kula bata sana, jirushe sana, furahia ujana wako sana.

Usisahau kuwekeza kwa ajili ya 60+, sisi wazee tunaona jinsi hali ilivyo, watoto tuliozaa hawajawahi kutusaidia maana nao life linawapiga daily.

Nyie mliozalowa 70+ na 80+ jiandaeni, uze sio mchezo! Usije kuishia kutoa laana kwa watoto.
 
Kula bata sana, jirushe sana, furahia ujana wako sana.

Usisahau kuwekeza kwa ajili ya 60+, sisi wazee tunaona jinsi hali ilivyo, watoto tuliozaa hawajawahi kutusaidia maana nao life linawapiga daily.

Nyie mliozalowa 70+ na 80+ jiandaeni, uze sio mchezo! Usije kuishia kutoa laana kwa watoto.
Hatari sana Mkuu, tatizo ukiwa bado kijana barobaro unaona kama bado uko na time yakuendelea kudemka.
 
Wengi wamepoteza uwezo wa kuji-limit nadhani ni kutokana na malezi ya kileo,kila kitu binadamu anayejielewa lazima ajue kina kiasi namshukuru Mungu binafsi upande huu nime-win.

Pia mazoezi ni muhimu sana maisha ya ku-relax hayajawhi kuwa maisha.
 
Wengi wamepoteza uwezo wa kuji-limit nadhani ni kutokana na malezi ya kileo,kila kitu binadamu anayejielewa lazima ajue kina kiasi namshukuru Mungu binafsi upande huu nime-win.

Pia mazoezi ni muhimu sana maisha ya ku-relax hayajawhi kuwa maisha.
Hakika viungo vinakuwa fit inakuepusha na magonjwa ya hapa na pale.
 
Kula bata sana, jirushe sana, furahia ujana wako sana.

Usisahau kuwekeza kwa ajili ya 60+, sisi wazee tunaona jinsi hali ilivyo, watoto tuliozaa hawajawahi kutusaidia maana nao life linawapiga daily.

Nyie mliozalowa 70+ na 80+ jiandaeni, uze sio mchezo! Usije kuishia kutoa laana kwa watoto.
Na wale wa 90’s unawashauri vipi mkuu? 😁
 
Sio poa mkuu, 20,30 na 40 zinapita kama maji mkuu. Unashangaa tu 50 hii hapa, mara paap 60.

Makosa ya 20 na 30 yanarekebishwa kwenye 40 na 50. Short of that ni uzee wenye majuto.
Correct Mkuu. Vijana wengi hawawezi kuelewa hii instead wataona kama unawapangia maisha furthermore wataona kama wamekuzidi namna ya kufikiri.
 
Back
Top Bottom