fact only
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,807
- 2,819
Hellow JF.
Naomba niseme uzee wa sasa ni ulemavu inaumiza sana.
Inawezekana kwa sasa kwenye ujana tuna fanya kila aina ya mambo(Umalaya, kunywa pombe za aina zote, kula kila aina ya vyakula, kuruka kila aina ya viwanja na night clubs, ufisadi, mabinti wadogo kuanza ngono za hovyo hovyo mapema, vijana wakiume kutoka na mashangazi n.k).
Hayo yote na mengineyo tufanye kwa kiasi wakuu uzee wa sasa ni ulemavu.
Pia katika kula starehe tusisahau kuwekeza hata kidogo ili kama ukibahatika kuuona uzee usiteseke kwa umasikini na ulemavu.
Naomba niseme uzee wa sasa ni ulemavu inaumiza sana.
Inawezekana kwa sasa kwenye ujana tuna fanya kila aina ya mambo(Umalaya, kunywa pombe za aina zote, kula kila aina ya vyakula, kuruka kila aina ya viwanja na night clubs, ufisadi, mabinti wadogo kuanza ngono za hovyo hovyo mapema, vijana wakiume kutoka na mashangazi n.k).
Hayo yote na mengineyo tufanye kwa kiasi wakuu uzee wa sasa ni ulemavu.
Pia katika kula starehe tusisahau kuwekeza hata kidogo ili kama ukibahatika kuuona uzee usiteseke kwa umasikini na ulemavu.