Ukiwa nalo uraiani sio ushamba ila siku utakapo kwenda chuo ili kuongeza elimu ukibeba Trunker utaitwa mshamba...Hivi sanduku la chuma limekuwa kitu cha aibu sana??
Mimi nilijua sanduku la chuma linafaa sana katika mazingira ya chuo kwa ajili ya wizi na panya?
Huko vyuoni huwa hakuna wizi na mapanya?
Hapa ofisini kwangu nimenunua sanduku kubwa sana la chuma ninatunzia documents na nyaraka za muhimu!
Duuh! inawezekana mimi ni mshamba sana!
''..camera ingezima hapohapo!"First year moja akilalamika kuhusu matranka kupigwa picha kwa kasi vyuoni voice hii hapa
Huko chuoni kuna nini hasa cha mno?Ukiwa nalo uraiani sio ushamba ila siku utakapo kwenda chuo ili kuongeza elimu ukibeba Trunker utaitwa mshamba...
Wajinga sana hawa!Shame All of you
Hawa youngsters wengine wametoka mbali na kwenye Maisha magumu sana,
Bidii yao imewafikisha hapo na wanakumbuka walikotoka na wanajua wanakotaka kwenda na GOD BLESS watafika
Ningekuwa na uwezo, ningesimama getini chouni na kumpongeza mmoja mmoja
Na hawa ndio wanamalizaga chou mpaka mwisho
Kipo huku kwetu TarimeDallas ndyo chuo gani hicho
We chuo gani?
Collage of earth science (udom) kuna kijana amefanikiwa kuingia na godoro lenye ukubwa wa kisulisuli kama unavyomuona hapo tumemnyaka
View attachment 1247937