Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaniiii muwaache 1St yr khaaaahSampuli hiii au?
View attachment 1246175
View attachment 1246472
(udom) Huyu amereport na sare za shule kabisa utafikiri anaenda chato secondary form five B HGE
Duuuuh sasa mbona ni JKT hiyo lolWaafrica ni shida sana sasa kama huo ndo uwezo wake unataka abebe nini? afu ni zuri kwa ulinzi wa vitu vyake ,first year wako real na ilipaswa waremain hivyo ,kwa ujumla wanachuo ni watu wa hali ya chini a bunch of dependants wote ningekuwa mimi ndo muamuzi wanachuo wote
1.Kwanza wavae sare yenye muonekano kama kombati za kijeshi
2.Asubuhi sio ombi kila mwanachuo anapaswa kukimbia lisaa limoja ,unless anasababu za kiafya
3.Marufuku kuingia na smart phone lecture rooms
4.Kila jumatatu hauingii chuo bila kupimwa alcohol test getini
Hizi mambo za kuandaa wajenzi wa taifa nyoronyoro hazifai kabisaa
khaaaaaah lolHuyo jamaa aliyekuja na mfuko wa SHANGAZI KAJA ndio kaua kabisa aisee hata Profesa Ndalichako angekuwepo hapo angecheka nusu afe
Huyo jamaa aliyekuja na mfuko wa SHANGAZI KAJA ndio kaua kabisa aisee hata Profesa Ndalichako angekuwepo hapo angecheka nusu afe
No ishu sio kuwalazimisha kuishi maisha ya viwango..ishu ni kwamba vyuoni kuna zile kabati wanaitaga locker ina maana hawakuwahi hata kuuliza mtaani kuhusu habari za vyuoni?...ndo tunashangaa hapo..ina maana kwao walikotoka ni kisiwani kiasi gani hadi wasipate info za nje?Huko chuoni kuna nini hasa cha mno?
Watoto wenyewe wa masikini hawa mnataka kuwalazimisha waishi maisha ya viwango fulani?
Sioni kama tranka ni sanduku la aibu kiasi hicho!
namba 4 inanichoma hahahaWaafrica ni shida sana sasa kama huo ndo uwezo wake unataka abebe nini? afu ni zuri kwa ulinzi wa vitu vyake ,first year wako real na ilipaswa waremain hivyo ,kwa ujumla wanachuo ni watu wa hali ya chini a bunch of dependants wote ningekuwa mimi ndo muamuzi wanachuo wote
1.Kwanza wavae sare yenye muonekano kama kombati za kijeshi
2.Asubuhi sio ombi kila mwanachuo anapaswa kukimbia lisaa limoja ,unless anasababu za kiafya
3.Marufuku kuingia na smart phone lecture rooms
4.Kila jumatatu hauingii chuo bila kupimwa alcohol test getini
Hizi mambo za kuandaa wajenzi wa taifa nyoronyoro hazifai kabisaa
Mimi nikiwa na vitu vingi vya kubeba ambavyo havitosho kwenye bag huwa ninatumia shangazi kaja ile kubwa na huwa sina aibu hata kidogo sababu najua ninachokifanya
cxdgFirst year wamekuwa wakifanya vimbwanga mbalimbali pale tu wanaopenda kufanya usajili mimi nimevinyaka hivi kwa first year wanaoingia chuoni kufanya usajili mwaka huu.
Navibandika hapa na wewe bandika vyako hapo chini tuongezea angalau siku za kuishi.
View attachment 1245104View attachment 1245105View attachment 1245106View attachment 1245109
View attachment 1245103
Tupe mrejesho..kwa sasa tunafuatilia vitimbwi vya first year kwenye lecture room soon utaviona hapa
mweeeeeh lol, utadhan 4m 5 wana report school khaaah.Baadhi ya first year wakiwasili chuo wakiwa na matranka pamoja na ndoo kama unavyoona wamezishikilia kikamilifu hali hii imeshuhudiwa udom ndaki ya social science
Kanda ya ziwa wengi wanasoma pale na ushamba ndio jadi Yao.Huu uzi umenichekesha sana, ila kilichoniumiza n kuona chuo changu pendwa UDOM ndo kinaongoza.
Kwanza nzuri kwa mambo ya wizi chuoni kulinganisha na sanduku la kawaidaView attachment 1245658
First year mmoja akihoji