The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,435
- 13,421
Mkuu sijasema wafunzwe siraha nasema wafanywe wakakavu,sijasema wasiwe kabisa na smartphone wasiingie nazo lecture room,leo mtoto anaenda chuo akimaliza anarudi na kitambi,kajifunza ulevi,ana poor saving behavior ,anachagua kazi za mati tai ,ni kwa sababu mnawaharibu kimtu kinaishi kwa boom (pesa ya wananchi wasioweza kula milo mitatu) afu anacheka mtu ambae hajawahi kula mshahara kutumia dekaHicho ni chuo au kambi ya jkt
Na pia kutokuwa na smartphone unaturudisha miaka ya 1921