Vigogo wenye uraia wa nchi mbili ni hawa wafuatao

Yaani dunia hii kuna watu wanaongopa jua likiwa linachomoza.

Leticia hana uraia ila ana kadi ya kijani (G.Card).
Nyalandu hata G. Card hana. (Angekuwa ni raia FBI wangekuwa wameshamlamba zamani maake yeye na Makamba Jr. wana soo za kujibu mahakamani). Na ndiyo maana Nyalandu hataki kugusa US.
Hao wengine sina uhakika.


Kama Nyalandu ana ishu ya kujibu US FBI asinge pata Clearence ya kuwa Waziri Tanzania kama Makamba walipotuma US for Clearance... Unajua USA na UGAIDI wanafanya clearence kwa kila cabinet members wa nchi Rafiki na TZ ni nchi Rafiki wa USA
 


Kama Nyalandu ana ishu ya kujibu US FBI asinge pata Clearence ya kuwa Waziri Tanzania kama Makamba walipotuma US for Clearance... Unajua USA na UGAIDI wanafanya clearence kwa kila cabinet members wa nchi Rafiki na TZ ni nchi Rafiki wa USA

@nngu007 ..... unamaanisha Makamba alipita FBI background clearance au vipi. Nauliza kwa maana sijaelewa. Nyalandu ishu yake ni kubwa marekani sema tu hawajamtolea warrant ya kimataifa ila ana madhambi makubwa na arrest warrant yako ipo na local authoritues. Mama mkapa alishaletewaga complaint ya aina hiyo
 
Huna sababu ya kuhusisha wana jf kwa mada yako kabla hata ya kuithibitisha mpaka hapo utakapo thibitisha hizi zitabaki kuwa porojo tu.
 
Wana Jf
katika kufatilia baadhi ya mambo nimepata kufahamu yafuatayo
(1)Mh sugu Ana uraia wa Tz na USA
(2)Mh Membe Ana urai wa Tz na Canada
(3)Mh Letecia Nyerere Ana uraia wa Tz na USA
(4)Mh Nyalandu Ana uarai wa Tz na USA

wana Jf Uchunguzi unaendelea Kama mnataatifa zaidi mnaweza kutoa Kama mnawafahamu wengine ongezea list

Kuhusu Mh. Membe. Ni uraia wa nchi 2 tu kwelli?. Hayati Gadafi alikuwa hajampa uraia wa wa Libya?
 
Lawrence Masha Green Card yake kaitoa kwenye sheria, Mdogo wake alizaliwa USA hajakana URAIA wa USA yuko Jeshini TZ; Yeye ndie labda bado Mmarekani... Mzazi wao yeye bado ana pasipoti ya UN ya kibalozi kwahiyo anaingia nchi yoyote bila viza
Huu ukoo umekula nchi aisee....ndio maana jama hana huruma na walalahoi
 
Laurance Masha nae ana urai wa USA na TZ. Baada ya kushindwa Ubunge wa Nyamagana last year muda wake mwingi yupo USA. Yeye TZ anaipenda tu ikimpa Ubunge na Uwaziri.

Yule pimbi sana, ngoja aende huko anakokuhusudu!
 
Lawrence Masha Green Card yake kaitoa kwenye sheria, Mdogo wake alizaliwa USA hajakana URAIA wa USA yuko Jeshini TZ; Yeye ndie labda bado Mmarekani... Mzazi wao yeye bado ana pasipoti ya UN ya kibalozi kwahiyo anaingia nchi yoyote bila viza
Mdogo wake Masha aliye jeshini alirudisha pasipoti ya Kimarekani ubalozini aliporejea Tanzania kutoka USA. Nasikia Wafanyikazi pale walimshangaa sana.
 
...mtoa mada acha kuchanganganya madesa. Usidhani ni rahisi kwa mtu kuupata uraia wa USA. Hao uliwasema kuwa ni raia wa USA wote hawana uraia,vinginevyo wanaweza wakawa na UKAZI (Living-permit) tu!! ACHA KUDANGANYA UMMA WEWE!!
 
Mdogo wake Masha aliye jeshini alirudisha pasipoti ya Kimarekani ubalozini aliporejea Tanzania kutoka USA. Nasikia Wafanyikazi pale walimshangaa sana.
Hearsay ni ushahidi ambao haukubaliki kisheria.Tunamuhitaji eye witness.
 
Kwa walio na uraia pacha baada ya kufanya uchunguzi wangu nimeambiwa katika nchi nyingi hawakuambiwa waukane uraia wao wa kuzaliwa. Naambiwa walitangaza uraia wao wa kuzaliwa kwanza kwa kueleza nchi gani wanatoka na kisha kula kiapo cha uraia wa nchi ya kuasiliwa. Baada ya kula kiapo cha uraia wa kuasiliwa hawakunyang'anywa passport zao za nchi ya kuzaliwa licha ya kupewa form ya kuombea passport ya nchi ya kuasiliwa.

Kwa utaratibu huu hawajaukana uraia wa nchi zao za kuzaliwa, ila wametaja uraia wa nchi zao za kuzaliwa na kupokeleka katika nchi ya uraia wa kuasiliwa, vinginevyo passport zao wangenyang'anywa kama wanaponyang'anywa permanent resident card zao wanapoasiliwa uraia wao.
Wewe lazima utakuwa na "Nondo" ya kwa Obama....Kwani hapo umekaribia kusema ukweli mtupu!. Siku mnaapishwa mlikuwa Wa-TZ wangapi?. Mlionyeshwa ujumbe wa video wa Obama au Bush?.
 
Laurance Masha nae ana urai wa USA na TZ. Baada ya kushindwa Ubunge wa Nyamagana last year muda wake mwingi yupo USA. Yeye TZ anaipenda tu ikimpa Ubunge na Uwaziri.

Habari kama hizi huwezi kuzipata popote pale zaidi ya kwenye vilabu vya pombe za kienyeji Mapuya, pamoja na Kimpumu!
 
Hapana tatizo lao kubwa ni hili, hawajui kwamba kuna kitu kinaitwa to pursue opportunities Globally wamekaa kuimba kama kasuku bila hata kusema huo uraia wao unawasaidia nini? kwa nini hawashangai pale uhamiaji kuna maombi ya wazungu wanaomba uraia wa Tanzania?
Huwa sichangii thread za kizembe kama hizi.

Matola,
Wewe umekaa sana Uingereza huku unabeba box ukupata makaratasi ulivyojilipua ili upate uraia..

Au David Cameroon alikupiga P.I. ukarudi bongo? Mgongo hauna kazi tena saizi kwa kubeba box
 
Niuwachie tena, hivi tu niko bongo lakini inabidi ubalozi wanipigie simu kila mwezi kuniuliza kama nnashida yoyote. Niyaachie ma privilege kibao kisa nini? Kwani mie nilienda kucheza kule? Nilienda kutafuta maisha bora ambayo Nyerere alishindwa kunipa, na kweli nimefaidika, nashkuru AlhamduliLlah.

Wengi tu hapa wana uraia wa nchi za nje na si wa Tanzania tu. Sio kuwa hatuipendi nchi yetu, la hasha, ni maslahi. Hapa kwetu nani atakulipia nyumba, matibabu, mshahara, transport, kama huna kazi? Lakini leo si haba.

Unaonesha ni kiasi gani sio mzarendo. So ss wote tukienda huko itakuaje and finally u are back. Kukimbia matatizo is not the way to solve them. Mimi, wewe na yule tunaweza kureta mabadiliko. Hapo ckukubali!!
 
Matola,
Wewe umekaa sana Uingereza huku unabeba box ukupata makaratasi ulivyojilipua ili upate uraia..

Au David Cameroon alikupiga P.I. ukarudi bongo? Mgongo hauna kazi tena saizi kwa kubeba box
Mimi nadhani hizi ni thread dhaifu sana, hakuna mtu ambaye atachukuwa uraia wa nchi ambayo ajafocus maslahi atakayopata kwa kuwa na uraia wa nchi husika, kwahiyo mtu yeyote anaekuja na thread zenye hoja dhaifu huyo hakuna analolijuwa kinachoendelea duniani.

Kumbukeni issue ya Kally Ongala ilibidi atemwe Stars kwa sababu yeye aliangalia ni uraia upi na maslahi na kwa wakati huu, na yeye akachaguwa abaki na passport ya Uingereza lakini hana tatizo lolote anaporudi nyumbani Tanzania kuungana na familia yake.

Kwahiyo tunapozungungumzia vitu Globally tuwe na upeo na kile tunachokiongea, nadhani wengi hapa hawafahamu kama serikali ya Marekani inaongozwa na Waisraeli wengi, na hata Urusi kuna Waisraeli wemgi ambao wana majina ya kirusi na maumbo ya kirusi, kwa kifupi hii ni mada pana kuliko wajinga wajinga ambao hawajahi hata kufika Kenye wanavyotaka ionekane.
 
@candid scope: Asante kwa kwa kupangilia bandiko langu. Nilichogundua ni kwamba , ukiandika maoni kwenye word document na Kuya-paste hapa, system ya mtandao huu wa Jf haitambui formatting iliyokuwepo word document!

Ndicho kilichofanyanyika , sikuwa na maana ya kuumiza macho yavwatu

Ni kweli, na yalishanipata hayo. Kwa vyo vyote ni software tofauti hivyo baada ya kupaste inabidi kupreview uona kasoro zilizopo kisha hariri habari yake. Na matatizo ni kwamba mtandao huu hauna herufi nyingi, bora kufanya uhakiki kabla ya submit. Thanks again S.M.P2503
 
Mdogo wake Masha aliye jeshini alirudisha pasipoti ya Kimarekani ubalozini aliporejea Tanzania kutoka USA. Nasikia Wafanyikazi pale walimshangaa sana.
He knows he will get more than that, its more of a strategic thinking"

BTW anazungumza kiswahili?
 
Back
Top Bottom