Vigogo wenye uraia wa nchi mbili ni hawa wafuatao

Si ungeweka na ushahidi huwezi kusema tu watu wakuamini JF sio sehemu ya porojo weka Facts za kutosha!

Kaka nimependa sana jibu lako, ni kweli kabisa lazima tuendeshe mijala kwa facts na kukurupuka tu na taarifa za vijiweni kwenu na kuziweka hapa.
 
...mimi sioni mwenye uraia wa nchi mbili ktk hiyo list yako coz hao uliowarodhisha hapa wote ni watanzania bara nchi ambayo ktk ramani ya dunia haipo.
 
Uraia wa nchi mbili hauruhusiwi acha uongo.



Uraia wa Tanzania kwa Kuzaliwa: Kutokana na mmoja wa mzazi wako kuwa mtanzania , Uraia wa Tanzania haupotezeki hata siku moja, unaopotezwa na minister of foreign affairs ni ule wa kujiandikisha...na watoto wetu waliozaliwa katika nchi za magharibu watakuwa watanzania kwa sababu mmoja wa wazi wao ni mtanzania wa kuzaliwa... watoto wetu baada ya kuwa watanzania kwa kujiandikisha, hawawezi kuwapa watoto wao uraia wa Tanzania kwa maana wao wenyewe hawakuwa watanzania kwa kuzaliwa bali kwa kuandikishwa na wazazi wao Kutoka na Tanzania Citizenship 1995, nafikiri Dual Nationality Tanzania haijakatazwa maana ukisoma kwa makini Act 4 No. 6 Tanzania Citizenship 1995 inasema wazi kwamba uraia wa mtanzania hupatikana kutokana na mmjoa wa wazazi wako... Subsection 2 inasema hivi (2) A person shall not be deemed to be or to have become a citizen of the United Republic by virtue of this section if the time of his birth- (a) neither of his parents is or was a citizen of the United Republic and his father possesses the immunity from suit and legal process which is accorded to an envoy of a foreign sovereign power accredited to the United Republic; or (b) any of his parents is an enemy and the birth occurs in a place then under occupation by the enemy.5.-(1) Subject to the provisions of subsection (2), every person born in the United Republic on or after Union Day shall be deemed to have become and to have continued to be a citizen of the United Republic with effect from the date of his birth, and with effect from the commencement of this Act shall become and continue to be a citizen of the United Republic, subject to the provisions of section 30. Na ukisoma mazingira yanayomfanya mtu apoteze uraia wa Tanzania in voluntary act... (4) A citizen of the United Republic shall cease to be a citizen if (a) having attained the age of eighteen years, he acquired the citizenship of some country other than the United Republic by a voluntary act other than marriage; hii voluntary act ni loophole kubwa sana maana mazingira ya Ulaya na marekani yanamfanya mtu achukue uamuzi wa kuomba hiyo dual nationality hivyo kuomba uraia wa Marekani au Ulaya ni involuntary act due to prevailing circumstances katika nchi hizo za magharibi...pia act hii haisemi onus of proof iko kwa nani kuonesha kwamba kuomba uraia wanchi nyingine ilikuwa ni voluntary... serikali yetu itapatwa na wakati mgum sana ku-prove kwamba applicayion of other nationality by the said people was voluntary katika nchi hizo za ulaya na magharibi..wao (watuhumiwa) wanaweza kusema tu ilikuwa ni involuntary na wakashinda kesi...na ikumbukwe pia kwamba katika nchi za magaharibi hawakuambii uukane urai wako kabla ya kuukwaa wa kwao... wao wanasema tu chukua wetu na kaa na wa kwako hata ukiwa nao uraia wan chi kumi hawajali...Nchi nyingine kama Philippines, ukiuchukua uraia wa cnhi nyingine unachotakiwa kufanya ni kupewa oath of allegiance ili uendelee kuwa mfilipino na pia uendelee kuwa raia wan chi nyingine...full stop .. Tanzania bado tuna tatizo na tukifuata mfano wa Philipines nchi itaneemeka kwa kodi za hao wanaoutaka dual nationality maana concept ya uraia pia ina concept ya responsibilities ikiwemo kulipa kodi... kwa wafilipino wanafaidika sana kwa mfano huu...pia wanaruhusiwa kupiga kura na kuchagua marais wao... Kipengele kingine kinasema hivi 4(b) having attained that age of eighteen years, he otherwise acquired the citizenship of some country other than the United Republic, or while a citizen of the former Republic of Tanganyika or the former People's Republic of Zanzibar; and has not, by thespecified date renounced his citizenship of that other country, taken the oath of allegiance and made and registered a declaration prescribed by Parliament regarding his intention as to residence. Ni wapi hapo panasema kwamba ukichukua tu uina siku kadhaa kutoka oath of allegiance ? Katika kipengele hiki utaona kwamba watanzania hawakatazwi kuchukua uraia wanchi nyingine... ila wakichukua wanatkiwa kufanya oath of allegiance na kuendelea kuwa watanzania. Na ndio maana mataifa mengine hayakuambii u-renounce uraia wako kwa hiyo in actual fact utaendela kuwa mtanzania tu hata kama umechukua uraia wanchi nyingine. Na ukisoma Section 5:- Notwithstanding any other provisions of this Act, a person who attains the age of eighteen years, or who, being a woman, is or has been married shall not, if that person is a citizen of some country other than the United Republic, be entitled to be naturalised as a citizen of the United Republic unless he renounces the citizenship of that other country, takes the oath of allegiance and makes and registers a declarationprescribed by Parliament regarding his intention as to residence. Mtu hawezi kuwa naturalised kama ni raia wa kuzaliwa...haiwezekani labda maana ya neo hilo naturalised ibadirishwe na kuwa kama EXPLICITILY not allowed ...na huwezi kuamiwa u-renounce uraia wan chi nyingine kama katika sheria za mataifa hayo hukambiwa u-renounce uraia wako.. you only renounce utaifa wan chi nyingine kama sheria za nchi hizo zinakutaka ufanye hivyo na kama hutakiwi kufanya hivyo ni wapi utaenda ku-renounce...k hata kama ni Tanzania bado hii renounciation itakuwa haina madhara maana haitambuliki kisheria katika mataifa hayo kwa mfano Uingereza ...na hii imethibitishwa katika Section 6 For the purpose of this section, where under the law of a country other than the United Republic, a person cannot renounce his citizenship of that other country, be need not make that renunciation but may instead be required to make a declaration prescribed by Parliament regarding that citizenship; but any person who has made that declarationmay be required to renounce his citizenship of that other country if he is subsequently able to renounce it.Ni loophooe nyingine hi.... PART IV Inazungumzia Kuukana Utanzania... 13.-(1) If any citizen of the United Republic of full age and capacity makes a declaration in the prescribed manner renouncing his citizenship of the United Republic, the Minister may cause the declaration to be registered and upon that registration the person in question shall cease to be a citizen of the United Republic... Swali je kama hujafanya hiyo declaration na kila siku unajitambulisha kwa watu wewe ni mtanzania kuna shida gani ya kuogopa hata kama umechukua uraia wanchi nyingine? Na utagundua kwamba aliyezaliwa Mtanzania si rahisi kupoteza uraia maana section 14 Inasema wazi kwamba -The Minister may by order deprive any person, other than aperson who is a citizen by birth, of his citizenship of the United Republic if the Minister is satisfied that person has at any time while a citizen of the United Republic and of full age and capacity voluntarily claimed and exercised, in a foreign country, any right available to him under the law of that country, being a right accorded exclusively to its own citizens, and that it is not conducive to the public good that he should continue' to be a citizen of the United Republic. Cha Mjerumani : Section 27(g) Adhabu ya kuto-comply na sheria ya Uraia ni a fine not exceeding one hundred and fifty shillings (Tsh 150) shilling mia moja na hamsini tu...or to imprisonment for a term not exceeding three years or to both that, fine and imprisonment...na kwa uzoefu nalipa haraka haraka unaachiliwa
 
Tanzania Citizenship Act 1995 hii hapa
www.bunge.go.tz/Polis/PAMS/Docs/6-1995.pdf
 
Umefanya uchambuzi mzuri , shukrani, ila inachosha kusoma kutokana na habari yote hii kuwa katika paragraph moja na hivyo kuumiza macho kwa maandishi madogo. Kwa wenye kuvutiwa na mchanganuo wako nimejaribu kuiweka kama ifuatavyo hapo chini. Natanguliza shukrani kwa maoni yako mazuri na kunielewa vema. Tuko pamoja.

By S.M.P2503 Comment #65
Uraia wa Tanzania kwa Kuzaliwa:Kutokana na mmoja wa mzazi wako kuwa mtanzania , Uraia wa Tanzania haupotezeki hata siku moja, unaopotezwa na minister of foreign affairs ni ule wa kujiandikisha...na watoto wetu waliozaliwa katika nchi za magharibu watakuwa watanzania kwa sababu mmoja wa wazi wao ni mtanzania wa kuzaliwa... watoto wetu baada ya kuwa watanzania kwa kujiandikisha, hawawezi kuwapa watoto wao uraia wa Tanzania kwa maana wao wenyewe hawakuwa watanzania kwa kuzaliwa bali kwa kuandikishwa na wazazi waoKutoka na Tanzania Citizenship 1995, nafikiri Dual Nationality Tanzania haijakatazwa maana ukisoma kwa makini Act 4 No. 6 Tanzania Citizenship 1995 inasema wazi kwamba uraia wa mtanzania hupatikana kutokana na mmjoa wa wazazi wako... Subsection 2 inasema hivi (2)
A person shall not be deemed to be or to have become a citizen of the United Republic by virtue of this section if the time of his birth-
(a) neither of his parents is or was a citizen of the United Republic and his father possesses the immunity from suit and legal process which is accorded to an envoy of a foreign sovereign power accredited to the United Republic; or
(b) any of his parents is an enemy and the birth occurs in a place then under occupation by the enemy.5.-​

(1) Subject to the provisions of subsection
(2),every person born in the United Republic on or after Union Day shall be deemed to have become and to have continued to be a citizen of the United Republic with effect from the date of his birth, and with effect from the commencement of this Act shall become and continue to be a citizen of the United Republic, subject to the provisions of section 30. Na ukisoma mazingira yanayomfanya mtu apoteze uraia wa Tanzania in voluntary act...
(4) A citizen of the United Republic shallcease to be a citizen if
(a) having attained the age of eighteen years, he acquired the citizenship of some country other than the United Republic by a voluntary act other than marriage; hii voluntary act ni loophole kubwa sana maana mazingira ya Ulaya na marekani yanamfanya mtu achukue uamuzi wa kuomba hiyo dual nationality hivyo kuomba uraia wa Marekani au Ulaya ni involuntary act due to prevailing circumstances katika nchi hizo za magharibi...pia act hii haisemi onus of proof iko kwa nani kuonesha kwamba kuomba uraia wanchi nyingine ilikuwa ni voluntary...

Serikali yetu itapatwa na wakati mgum sana ku-prove kwamba applicayion of other nationality by the said people was voluntary katika nchi hizo za ulaya na magharibi..wao (watuhumiwa) wanaweza kusema tu ilikuwa ni involuntary na wakashinda kesi...na ikumbukwe pia kwamba katika nchi za magaharibi hawakuambii uukane urai wako kabla ya kuukwaa wa kwao... wao wanasema tu chukua wetu na kaa na wa kwako hata ukiwa nao uraia wan chi kumi hawajali...Nchi nyingine kama Philippines, ukiuchukua uraia wa cnhi nyingine unachotakiwa kufanya ni kupewa oath of allegiance ili uendelee kuwa mfilipino na pia uendelee kuwa raia wan chi nyingine...full stop ..

Tanzania bado tuna tatizo na tukifuata mfano wa Philipines nchi itaneemeka kwa kodi za hao wanaoutaka dual nationality maana concept ya uraia pia ina concept ya responsibilities ikiwemo kulipa kodi... kwa wafilipino wanafaidika sana kwa mfano huu...pia wanaruhusiwa kupiga kura na kuchagua marais wao...Kipengele kingine kinasema hivi 4(b) having attained that age of eighteen years, he otherwise acquired the citizenship of some country other than the United Republic, or while a citizen of the former Republic of Tanganyika or the former People's Republic of Zanzibar; and has not, by thespecified date renounced his citizenship of that other country, taken the oath of allegiance and made and registered a declaration prescribed by Parliament regarding his intention as to residence. Ni wapi hapo panasema kwamba ukichukua tu uina siku kadhaa kutoka oath of allegiance ? Katika kipengele hiki utaona kwamba watanzania hawakatazwi kuchukua uraia wanchi nyingine... ila wakichukua wanatkiwa kufanya oath of allegiance na kuendelea kuwa watanzania. Na ndio maana mataifa mengine hayakuambii u-renounce uraia wako kwa hiyo in actual fact utaendela kuwa mtanzania tu hata kama umechukua uraia wanchi nyingine.

Na ukisoma Section 5:- Notwithstanding any other provisions of this Act, a person who attains the age of eighteen years, or who, being a woman, is or has been married shall not, if that person is a citizen of some country other than the United Republic, be entitled to be naturalised as a citizen of the United Republic unless he renounces the citizenship of that other country, takes the oath of allegiance and makes and registers a declarationprescribed by Parliament regarding his intention as to residence. Mtu hawezi kuwa naturalised kama ni raia wa kuzaliwa...haiwezekani labda maana ya neo hilo naturalised ibadirishwe na kuwa kama EXPLICITILY not allowed ...na huwezi kuamiwa u-renounce uraia wan chi nyingine kama katika sheria za mataifa hayo hukambiwa u-renounce uraia wako.. you only renounce utaifa wan chi nyingine kama sheria za nchi hizo zinakutaka ufanye hivyo na kama hutakiwi kufanya hivyo ni wapi utaenda ku-renounce...k hata kama ni Tanzania bado hii renounciation itakuwa haina madhara maana haitambuliki kisheria katika mataifa hayo kwa mfano Uingereza ...na hii imethibitishwa katika Section 6 For the purpose of this section, where under the law of a country other than the United Republic, a person cannot renounce his citizenship of that other country, be need not make that renunciation but may instead be required to make a declaration prescribed by Parliament regarding that citizenship; but any person who has made that declarationmay be required to renounce his citizenship of that other country if he is subsequently able to renounce it.Ni loophooe nyingine hi....

PART IV Inazungumzia Kuukana Utanzania...13.-(1) If any citizen of the United Republic of full age and capacity makes a declaration in the prescribed manner renouncing his citizenship of the United Republic, the Minister may cause the declaration to be registered and upon that registration the person in question shall cease to be a citizen of the United Republic... Swali je kama hujafanya hiyo declaration na kila siku unajitambulisha kwa watu wewe ni mtanzania kuna shida gani ya kuogopa hata kama umechukua uraia wanchi nyingine?Na utagundua kwamba aliyezaliwa Mtanzania si rahisi kupoteza uraia maana section 14 Inasema wazi kwamba -
The Minister may by order deprive any person, other than aperson who is a citizen by birth, of his citizenship of the United Republic if the Minister is satisfied that person has at any time while a citizen of the United Republic and of full age and capacity voluntarily claimed and exercised, in a foreign country, any right available to him under the law of that country, being a right accorded exclusively to its own citizens, and that it is not conducive to the public good that he should continue' to be a citizen of the United Republic. Cha Mjerumani : Section 27(g) Adhabu ya kuto-comply na sheria ya Uraia ni a fine not exceeding one hundred and fifty shillings (Tsh 150) shilling mia moja na hamsini tu...or to imprisonment for a term not exceeding three years or to both that, fine and imprisonment...na kwa uzoefu nalipa haraka haraka unaachiliwa
 
Kwa walio na uraia pacha baada ya kufanya uchunguzi wangu nimeambiwa katika nchi nyingi hawakuambiwa waukane uraia wao wa kuzaliwa. Naambiwa walitangaza uraia wao wa kuzaliwa kwanza kwa kueleza nchi gani wanatoka na kisha kula kiapo cha uraia wa nchi ya kuasiliwa. Baada ya kula kiapo cha uraia wa kuasiliwa hawakunyang'anywa passport zao za nchi ya kuzaliwa licha ya kupewa form ya kuombea passport ya nchi ya kuasiliwa.

Kwa utaratibu huu hawajaukana uraia wa nchi zao za kuzaliwa, ila wametaja uraia wa nchi zao za kuzaliwa na kupokeleka katika nchi ya uraia wa kuasiliwa, vinginevyo passport zao wangenyang'anywa kama wanaponyang'anywa permanent resident card zao wanapoasiliwa uraia wao.
 
shemeji yangu LAWRENCE MASHA

Wewe sasa unanitia mashaka, yaani kila mtu ambae ana kajina maarufu Bongo wewe ni shemeji yako! unakumbuka kule kwenye thread ya upendeleo wa kazi za ubalozini unamuita William Malecela Le Baharia kwamba ni shemeji yako?
 
Kama ana green card,hilo siyo tatizo hata kidogo,only kama ni raia wa marekani ama taifa jingine.

Watu wengi humu hawajui tofauti kati ya green card vs. citizenship.
Hapana tatizo lao kubwa ni hili, hawajui kwamba kuna kitu kinaitwa to pursue opportunities Globally wamekaa kuimba kama kasuku bila hata kusema huo uraia wao unawasaidia nini? kwa nini hawashangai pale uhamiaji kuna maombi ya wazungu wanaomba uraia wa Tanzania?
Huwa sichangii thread za kizembe kama hizi.
 
Wana Jf
katika kufatilia baadhi ya mambo nimepata kufahamu yafuatayo
(1)Mh sugu Ana uraia wa Tz na USA
(2)Mh Membe Ana urai wa Tz na Canada
(3)Mh Letecia Nyerere Ana uraia wa Tz na USA
(4)Mh Nyalandu Ana uarai wa Tz na USA

wana Jf Uchunguzi unaendelea Kama mnataatifa zaidi mnaweza kutoa Kama mnawafahamu wengine ongezea list

Yaani dunia hii kuna watu wanaongopa jua likiwa linachomoza.

Leticia hana uraia ila ana kadi ya kijani (G.Card).
Nyalandu hata G. Card hana. (Angekuwa ni raia FBI wangekuwa wameshamlamba zamani maake yeye na Makamba Jr. wana soo za kujibu mahakamani). Na ndiyo maana Nyalandu hataki kugusa US.
Hao wengine sina uhakika.
 
Niyaachie ma privilege kibao kisa nini? Kwani mie nilienda kucheza kule? Nilienda kutafuta maisha bora ambayo Nyerere alishindwa kunipa, na kweli nimefaidika, nashkuru AlhamduliLlah.

.
Kwa kuwa bado unaendelea, ni dhahiri kuwa hujapata masia bora tz mpaka sasa!. Nashukuru sana kwa kuliona hilo kuwa mpaka sasa maisha bora TZ hayapo!
 
Wewe nae, Masha ni Shemeji, Malecela Shemeji na nani mwingine?

JF is never boring - The Boss (MWV)

Jamani msinimeze, hapa mjini. Ninao wadada pia, bila kusahau wanawake tunaongea, kwa hiyo ninapomuita mtu shemeji nina sababu yangu. Wanaume wenyewe ndo hao hawajatulia
 
@candid scope: Asante kwa kwa kupangilia bandiko langu. Nilichogundua ni kwamba , ukiandika maoni kwenye word document na Kuya-paste hapa, system ya mtandao huu wa Jf haitambui formatting iliyokuwepo word document!

Ndicho kilichofanyanyika , sikuwa na maana ya kuumiza macho yavwatu
 
shemeji yangu LAWRENCE MASHA

Lawrence Masha Green Card yake kaitoa kwenye sheria, Mdogo wake alizaliwa USA hajakana URAIA wa USA yuko Jeshini TZ; Yeye ndie labda bado Mmarekani... Mzazi wao yeye bado ana pasipoti ya UN ya kibalozi kwahiyo anaingia nchi yoyote bila viza
 
Kwa kuwa bado unaendelea, ni dhahiri kuwa hujapata masia bora tz mpaka sasa!. Nashukuru sana kwa kuliona hilo kuwa mpaka sasa maisha bora TZ hayapo!

Wala usiyategemee leo wala kesho. we have at least 100 Years to go.
 
Back
Top Bottom