OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
uwe unafanya utafiti kabla ya kukurupuka kuandika, katiba yetu pamoja na ubovu wake lakini bado inatambua uraia wa nchi moja tu, hivo hao walio na urai wa nchi mbili wanatakiwa wapelekwe mahakani haraka kama kuna ushahidi wa kutosha.uraia nchi mbili ulisharuhusiwa wewe!