Video: Wanawake Wakenya walivyokinukisha uarabuni

Video: Wanawake Wakenya walivyokinukisha uarabuni

Wewe ni bonge la mpuuzi kama hujaelewa kaa kimya ama kama huna mb za kuangalia usiforce! Ni wapi nimeandika mke na mume juha wewe[emoji35]

Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂
Mkuu Mshana Leo nimecheka Sana. Tangu nikujue leo ndio nimeona umeandika Kwa ukali, jazba, 😀😀

Bi. Faiza leo umeyakanyaga.
 
Kuna umri ukifika na ukaona magonjwa ya uzee yanakuandama kuna vitu lazima uviache kwa lazima

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu ukute ni mgiriama mweusi kama ngozi ya tako anaetaka kujinasibisha na uarabu kiasi cha kujiteua kuwa msemaji wa waarabu wote.

Huyu bibi anashindwa kuelewa kuwa uarabu sio uislam.

Na siku hizi ni kama vile amekuja kishari tu maana zamani tulimzoea kujifanya kwake mswahili zaidi kurekebisha watu. Siku hizi amekuwa na kebehi juu. Amekaa kishari shari tu.

Kama sio menopause imemjia vibaya basi hakika kagundua mumewe ameoa binti mdogo zaidi yake kiasi cha kumpa chuki dhidi ya dunia yote.
 
Back
Top Bottom