Mamlukii
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 1,148
- 2,593
mhh kwaiyo jamaa kafaWangechukua cm tu na kichapo cha kawaida, kumkata uume ilipelekea apoteze damu nyingi na bila kumuwahisha hospital lazima ufe.
mhh kwaiyo jamaa kafaWangechukua cm tu na kichapo cha kawaida, kumkata uume ilipelekea apoteze damu nyingi na bila kumuwahisha hospital lazima ufe.
Duuuh🙄
Mambo mrembo....😊Hiyo haihusiani na mke wala mume.
. Umeanza trna uingonwa zamani, tulikukomesha uongo ukapunguza.
Naona umeanza kurudia kidogo kidogo.
Wacha uongo, hakuna mke wala mume wala wanawake zake hapo.
Bao wote ni malaya, huyo mwanamme na hao wanawake.
Tumeshashuhudia matukio mengi waarabu wakiwafanyia ukatili housegirls wao, usihangaike kuwageuza malaika, hawana umalaika wowote, hata hao unaowalaumu hapo, wamezungukwa na hao waarabu, na inawezekana huo ukatili wamejifunza kwa hao waarabu wenyewe.Uhuru upi wananonyimwa? usiingize dini hapo tafadhali.
Hao ni malaya kama malaya wengine, tazama clip nyingine Mkenya mwenzao kaweka wazi kila kitu.
Wala haliwahusu wenyewe wenye nchi, wote wageni hao, mwanamme na wanawake.
Mkisikia uchafu wa uasherati na uzinzi ndiyo huo. Uislam unasema msiusogelee.
Wameyataka wenyewe.
Hicho ndiyo ukisikia "kiranga komo".
Jirani ujue wewe ni shujaa! 🤣🤣🤣 hivi kwanini huwa mnapenda kumchezea Bi Faiza?Mambo mrembo....😊
Huko shule ulienda kujifunza ujinga?Hiyo haihusiani na mke wala mume.
. Umeanza trna uingonwa zamani, tulikukomesha uongo ukapunguza.
Naona umeanza kurudia kidogo kidogo.
Wacha uongo, hakuna mke wala mume wala wanawake zake hapo.
Bao wote ni malaya, huyo mwanamme na hao wanawake.
Jirani umemuona wifi yako leo....😜Jirani ujue wewe ni shujaa! 🤣🤣🤣 hivi kwanini huwa mnapenda kumchezea Bi Faiza?
Hao madada wa nyumbani tunasoma habari nyingi wakifanyiwa unyama na wakifanya unyama hapa kwetu. Haoa mpaka wanaitwa "beki tatu". Kama siyo kuwadhalilisha ni nini huko?Tumeshashuhudia matukio mengi waarabu wakiwafanyia ukatili housegirls wao, usihangaike kuwageuza malaika, hawana umalaika wowote, hata hao unaowalaumu hapo, wamezungukwa na hao waarabu, na inawezekana huo ukatili wamejifunza kwa hao waarabu wenyewe.
Mwache ajifurahishe roho yake, ukiona hivyo ujuwe hana bibi kwao.Jirani ujue wewe ni shujaa! 🤣🤣🤣 hivi kwanini huwa mnapenda kumchezea Bi Faiza?
Wewe ni bonge la mpuuzi kama hujaelewa kaa kimya ama kama huna mb za kuangalia usiforce! Ni wapi nimeandika mke na mume juha wewe[emoji35]Hiyo haihusiani na mke wala mume.
. Umeanza trna uingonwa zamani, tulikukomesha uongo ukapunguza.
Naona umeanza kurudia kidogo kidogo.
Wacha uongo, hakuna mke wala mume wala wanawake zake hapo.
Bao wote ni malaya, huyo mwanamme na hao wanawake.
Wamemuua huyo
Soma bichwa lako la habari umeandika nini?Wewe ni bonge la mpuuzi kama hujaelewa kaa kimya ama kama huna mb za kuangalia usiforce! Ni wapi nimeandika mke na mume juha wewe[emoji35]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anazingua huyu bi mkubwaWewe ni bonge la mpuuzi kama hujaelewa kaa kimya ama kama huna mb za kuangalia usiforce! Ni wapi nimeandika mke na mume juha wewe[emoji35]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasiponyongwa hawa, labda NATO waingilie katiDuh alafu saudia hiyo
Ova