Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,451
Basi sawaAlikuwa akachimbe dawa ili awe mganga, maana ndo ajira ambayo ingekuwepo
Basi sawaAlikuwa akachimbe dawa ili awe mganga, maana ndo ajira ambayo ingekuwepo
Karibu tupate moja moto hapa Sinza!Kama lilikuwa zuri, ubarikiwe kama lilikuwa baya likurudie.
Unanipa ushauri mimi nahusikaje na Uamsho ama matamshi ya Lowassa?Ni ushauri tu mkuu!! Unaweza kuukubali au la!!
Lowasa Na self hamad marafiki zao wakuu sio bakwata ni mujahidina Na ndio maana wote walikosa uraisi. Lowasa Na seif hamad wote wajahidinaKuna mambo yanaleta ukakasi.
Mashehe wa Zanzibar walikamatwa wakati wa Rais Kikwete, Lowassa hakusema chochote, na kipindi hicho Tanzania haikuwa na tatizo la Kibiti. Watu zaidi ya 30 wameuwawa katika mazingira ya kutatanisha, halafu anaibuka Lowassa ambaye amewahi kuwa Waziri Mkuu anawakusanya Waislam nyumbani kwake na kuwaambia "WAISLAMU SASA WAANZE KUONGEA LUGHA AMBAYO SERIKALI INAIELEWA". Lowassa anakwenda mbele zaidi na kuwakumbusha namna 'watu walivyotumia dini kuleta machafuko wakati wa Rais Mwinyi.
Maswali ya kujiuliza,
1. Mbali na maagizo aliyotoa hadharani, Lowassa amekuwa anafanya nini nyuma ya pazia?
2. Lowassa anajua nini kuhusu Kibiti?
3. Lowassa ana maana gani anapoagiza waislam waongee 'lugha ambayo serikali inaielewa? Hiyo lugha ikoje?
4. Ni kwanini ametolea mfano wa mchafuko ya kidini wakati wa Mzee Mwinyi?
5. 'Shehe' ambaye amekuwa anafuatana na Lowassa kila mahali (hata leo alikuwa naye) ni kwa ajili ya maombi au ndiye msimamizi mkuu wa 'lugha' ambayo Lowassa anataka waislam waitumie.
Kuna tatizo kubwa.
Umeniwahi mkuu.! huu uzi napenda aje Bi. mkubwa FAIZA FOXY nipate soma mchango wake pia.
Nakuja, nipo Kimara Stop over!Karibu tupate moja moto hapa Sinza!
Lowassa ameanza mapema kutafuta kura 2020.
Aliyoyasema ni uchochezi dhahiri shahiri.
Mkuu hekima haisemi kwa kuwa fulani kafanya na mimi nafanya. Mwenye hekima anabaki kuwa mwenye hekima.Oookkkk...lowasa should choose his words wisely but his excellency your highness the one above all your hollyness should not...kweli mkuki kwa kitimoto mtamuuu....mto ngono katerero pesa za rambirambi vilaza sitoshirikisha wapinzani hanishiki mkono halafu nimsainie malipo yake....wakileta vyoko nipigie dakika 5 ni nyingi....dahhh to mention the very few cumbersome and stupidly choosen words by his hollynes hayatollah J.P.J.M
Yeye ana pakukimbilia, eti kuna watu wanatetea maneno ya huyu mzee! Siku ile aligeuka kuwa mpuuzi kweli kweli!!!!
hakuna tatizo kubwa ila TUNANG'ANG'ANIZA TUWE NA TATIZO KUBWA.Kuna mambo yanaleta ukakasi.
Mashehe wa Zanzibar walikamatwa wakati wa Rais Kikwete, Lowassa hakusema chochote, na kipindi hicho Tanzania haikuwa na tatizo la Kibiti. Watu zaidi ya 30 wameuwawa katika mazingira ya kutatanisha, halafu anaibuka Lowassa ambaye amewahi kuwa Waziri Mkuu anawakusanya Waislam nyumbani kwake na kuwaambia "WAISLAMU SASA WAANZE KUONGEA LUGHA AMBAYO SERIKALI INAIELEWA". Lowassa anakwenda mbele zaidi na kuwakumbusha namna 'watu walivyotumia dini kuleta machafuko wakati wa Rais Mwinyi.
Maswali ya kujiuliza,
1. Mbali na maagizo aliyotoa hadharani, Lowassa amekuwa anafanya nini nyuma ya pazia?
2. Lowassa anajua nini kuhusu Kibiti?
3. Lowassa ana maana gani anapoagiza waislam waongee 'lugha ambayo serikali inaielewa? Hiyo lugha ikoje?
4. Ni kwanini ametolea mfano wa mchafuko ya kidini wakati wa Mzee Mwinyi?
5. 'Shehe' ambaye amekuwa anafuatana na Lowassa kila mahali (hata leo alikuwa naye) ni kwa ajili ya maombi au ndiye msimamizi mkuu wa 'lugha' ambayo Lowassa anataka waislam waitumie.
Kuna tatizo kubwa.
Najiuliza kwa sauti tu:Mimi sioni kasoro yoyote katika kauli yake, bado ukweli upo pale pale mashehe waachiwe, haki za binadamu zinakiukwa
Ni kweli kitendo cha kuwatia kizuizini miaka na miaka bila mashitaka mashehe wa Zanzibar wasiotaka Muungano ni kitendo cha kionevu na kifashisti. Wengine tunakubaliana kabisa na Edward Lowassa, tunakemea na kulaani kurudi kwa political prisoners ambao walishatoka magerezani toka JKN anatoka madarakani miaka ya 80.
Lakini katika kutetea mashehe hao, Lowassa amevuka mipaka kwa kiasi cha kutisha. Lowassa ameombea zirudi siku zile za taharuki za siasa za kidini zilizokuwepo enzi za Ally Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, mpaka ikafikia kudhibiti hali ile kwa kutumia watu wa usalama na askari wenye mbwa kuingia misikitini kusikiliza mawaidha na kukamata watu. Lowassa anataka misikiti na mashehe radical and firebrand wa enzi zile warudi kwa sababu misikiti siku hizi imekuwa baridi.
Lakini uchochezi wa kijahili na mbaya kuliko wote ambao usingeutegemea kutoka kwa Edward Lowassa ni pale aliposema WAISLAMU SASA WAANZE KUONGEA LUGHA AMBAYO SERIKALI INAIELEWA.
Lugha ya Waislamu ambayo serikali itailewa ni ipi, kujilipua? Muhimu tukumbuke hapa pakiwaka hapa sio wewe wala mimi wala Lowassa wala Magufuli wala Shehe wala Kadinari wala polisi wala majeshi yeyote atakaekuwa na hakika ya kubaki salama.
Acheni chuki jamaniMabwege yanajionaga maungwana halafu madhalimu ya haki za watu yanaishi kwa khofu kama makunguru ya mjini kwa sabab yanajua wazi juu ya maovu yao kwa watu
Hivi sijui kwanini mungu anayaacha haya matakataka ktk dunia hiii
Ni kweli kitendo cha kuwatia kizuizini miaka na miaka bila mashitaka mashehe wa Zanzibar wasiotaka Muungano ni kitendo cha kionevu na kifashisti. Wengine tunakubaliana kabisa na Edward Lowassa, tunakemea na kulaani kurudi kwa political prisoners ambao walishatoka magerezani toka JKN anatoka madarakani miaka ya 80.
Lakini katika kutetea mashehe hao, Lowassa amevuka mipaka kwa kiasi cha kutisha. Lowassa ameombea zirudi siku zile za taharuki za siasa za kidini zilizokuwepo enzi za Ally Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, mpaka ikafikia kudhibiti hali ile kwa kutumia watu wa usalama na askari wenye mbwa kuingia misikitini kusikiliza mawaidha na kukamata watu. Lowassa anataka misikiti na mashehe radical and firebrand wa enzi zile warudi kwa sababu misikiti siku hizi imekuwa baridi.
Lakini uchochezi wa kijahili na mbaya kuliko wote ambao usingeutegemea kutoka kwa Edward Lowassa ni pale aliposema WAISLAMU SASA WAANZE KUONGEA LUGHA AMBAYO SERIKALI INAIELEWA.
Lugha ya Waislamu ambayo serikali itailewa ni ipi, kujilipua? Muhimu tukumbuke hapa pakiwaka hapa sio wewe wala mimi wala Lowassa wala Magufuli wala Shehe wala Kadinari wala polisi wala majeshi yeyote atakaekuwa na hakika ya kubaki salama.
Hebu rudia tena, it's as if you're talking sense.hakuna tatizo kubwa ila TUNANG'ANG'ANIZA TUWE NA TATIZO KUBWA.
Tafsiri ni nyingi za maneno aliyotumia ila S's kwa mioyo yetu ambayo INA mapungufu ya umoja yenye harufu za chuki ndo tunatengeneza tafsiri mbaya, ili tu tuone nn kitatokea.
Hivi kuongea lugha ambayo serikali itaielewa hakuna maana nyingine zaidi ya kuleta vurugu? (Hivi ikiwezekana wateuwe miongoni mwao wazee wanaoheshimika waende kumuona rais na kumuomba awasamehe masheikh walioko nani nayo haiwezi kuwa lugha nyingine )Waislamu msiwe baridi! Maana pekee ni kuwa na vurugu ndio wataonekana moto.!
Je? Aliyoyazungumza hajawahi kuyaongelea wakati wa kampeni ? Masheikh hao wapo au hawapo? Suala la kuunda tume ya kuchunguza madini mbona tuko kimya yote si kayasema pamoja.
Kibiti serikali na chama tawala vyote havitaki mashirikiano na vyama vya upinzani kwenye shida na raha muda wote ni kunyoosheana vidole. Ukisema lazima nikujibu kwa ubaya tu.
Kama taifa waliopo madarakani wanawajibu wa kutengeneza umoja wa kitaifa kwa mambo muhimu yanayolikabili taifa kuwe na mshikamano wa kitaifa.kwa kipindi hili nimejifunza kwenye mamlaka ya kutengeneza yote si CHAMA CHA MAPINDUZI wala UPINZANI wala WANANCHI ni Rais anayetawala kwa wakati huo ambaye kwa sasa ni MH J POMBE MAGHUFULI.
Ni kweli kitendo cha kuwatia kizuizini miaka na miaka bila mashitaka mashehe wa Zanzibar wasiotaka Muungano ni kitendo cha kionevu na kifashisti. Wengine tunakubaliana kabisa na Edward Lowassa, tunakemea na kulaani kurudi kwa political prisoners ambao walishatoka magerezani toka JKN anatoka madarakani miaka ya 80.
Lakini katika kutetea mashehe hao, Lowassa amevuka mipaka kwa kiasi cha kutisha. Lowassa ameombea zirudi siku zile za taharuki za siasa za kidini zilizokuwepo enzi za Ally Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, mpaka ikafikia kudhibiti hali ile kwa kutumia watu wa usalama na askari wenye mbwa kuingia misikitini kusikiliza mawaidha na kukamata watu. Lowassa anataka misikiti na mashehe radical and firebrand wa enzi zile warudi kwa sababu misikiti siku hizi imekuwa baridi.
Lakini uchochezi wa kijahili na mbaya kuliko wote ambao usingeutegemea kutoka kwa Edward Lowassa ni pale aliposema WAISLAMU SASA WAANZE KUONGEA LUGHA AMBAYO SERIKALI INAIELEWA.
Lugha ya Waislamu ambayo serikali itailewa ni ipi, kujilipua? Muhimu tukumbuke hapa pakiwaka hapa sio wewe wala mimi wala Lowassa wala Magufuli wala Shehe wala Kadinari wala polisi wala majeshi yeyote atakaekuwa na hakika ya kubaki salama.