Mamvi alichokisema siku ile hakikubaliki hata kama tutaleta Ngonjera za namna gani.
Hata kama mtu ukivimbiwa FUTARI huwezi kuyatamka maneno kama yale ya kuchochea UDINI.
MWALIMU JKN alishasema kuwa "mtu akishafirisika kabisa KIFIKRA na kukosa uhalali wa kupata cheo, mtu huyo huanza kujihalalisha kwa njia ya ama UDINI, UKABILA au UKANDA(UKABURU )
Kwa kifupi, watanzania wote bila kujali itikadi zetu za KISIASA, KIDINI,KIKABILA, KIKANDA na nyinginezo tunapaswa kulaani vikali kauli zinazochochea UDINI kutoka kwa baadhi ya wapuuzi wachache katika nchi yetu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE. Amina.
Hata kama mtu ukivimbiwa FUTARI huwezi kuyatamka maneno kama yale ya kuchochea UDINI.
MWALIMU JKN alishasema kuwa "mtu akishafirisika kabisa KIFIKRA na kukosa uhalali wa kupata cheo, mtu huyo huanza kujihalalisha kwa njia ya ama UDINI, UKABILA au UKANDA(UKABURU )
Kwa kifupi, watanzania wote bila kujali itikadi zetu za KISIASA, KIDINI,KIKABILA, KIKANDA na nyinginezo tunapaswa kulaani vikali kauli zinazochochea UDINI kutoka kwa baadhi ya wapuuzi wachache katika nchi yetu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE. Amina.