Video: Uchochezi wa Lowassa huu hapa

Video: Uchochezi wa Lowassa huu hapa



Ni kweli kitendo cha kuwatia kizuizini miaka na miaka bila mashitaka mashehe wa Zanzibar wasiotaka Muungano ni kitendo cha kionevu na kifashisti. Wengine tunakubaliana kabisa na Edward Lowassa, tunakemea na kulaani kurudi kwa political prisoners ambao walishatoka magerezani toka JKN anatoka madarakani miaka ya 80.

Lakini katika kutetea mashehe hao, Lowassa amevuka mipaka kwa kiasi cha kutisha. Lowassa ameongelea vurugu na taharuki za siasa za kidini zilizokuwepo enzi za Ally Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, mpaka ikafikia kulazimika kudhibiti hali ile kwa kutumia watu wa usalama na askari wenye mbwa kuingia misikitini kusikiliza mawaidha na kukamata watu. Lowassa anataka misikiti na mashehe radical and firebrand wa enzi zile warudi kwa sababu misikiti siku hizi imekuwa baridi.

Lakini uchochezi wa kijahili na mbaya kuliko wote ambao usingeutegemea kutoka kwa Edward Lowassa ni pale aliposema WAISLAMU SASA WAANZE KUONGEA LUGHA AMBAYO SERIKALI INAIELEWA.

Lugha ya Waislamu ambayo serikali itailewa ni ipi, kujilipua? Muhimu tukumbuke hapa pakiwaka hapa sio wewe wala mimi wala Lowassa wala Magufuli wala polisi wala majeshi yeyote atakaekuwa na hakika ya kubaki salama.

Unafiki wa kiwango cha juu kabisa
 
Kiongozi mkuu aina yake kwanini atoe lugha za mafumbo kwenye kadamnasi?
Unawaachia raia wenye mawazo tofautitofauti wakafanye homework ya kauli za kiasa? Hilo neno linatafsiri nyingi zaidi ya unavyofahamu wewe.
Hivyo usipende kubishana kwa kauli isiyo na fasiri na kuweka fasiri yako unayoona ni sahihi.
Mwache mtoa nada akafasiri hayo mafumbo yake kwenye mikono ya sheria.
Hata wasiomwelewa waweze kumuelewa.
Kauli ya Rais kuwa "wametulalia sana kwa hiyo Na sisi tuwalalie"umeitafsiri vipi? Au kwenu ni sahihi ila kwao haramu?
 
Huyu Abdallah Luwassa hana siha ya kuhimili misukosuko, awe kando na uchochezi, kazi hiyo amuachie mwanaharakati wa Singida
 
Aisee kama ndo maneno hayo niliyoyasikia Lowassa anastahili kwenda jela kabisa. Huwezi chochea kiasi hicho kisha uachwe tu!
 
"....msiwe baridi........."-E.L.
sikiliza kuanzia 1.44 na shirikisha kidogo akili utamuelewa!
  • Eti wamekuwa legelege na wamepoa, waongee lugha ambayo serikari itawaelewa
  • Haya ni maneno ya kusema kweli? tena wakati ambao kuna tension iliyoletwa na mauaji ya kibiti
 
Lakini katika kutetea mashehe hao, Lowassa amevuka mipaka kwa kiasi cha kutisha. Lowassa ameongelea vurugu na taharuki za siasa za kidini zilizokuwepo enzi za Ally Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, mpaka ikafikia kulazimika kudhibiti hali ile kwa kutumia watu wa usalama na askari wenye mbwa kuingia misikitini kusikiliza mawaidha na kukamata watu. Lowassa anataka misikiti na mashehe radical and firebrand wa enzi zile warudi kwa sababu misikiti siku hizi imekuwa baridi.
Huyu mzee nadhani hakujiandaa kuongea yale maneno au amepewa taarifa za uongo na Sefu
Tokea mashehe wale watiwe ndani Zanzibar imekuwa kimya,hakuna mauaji ya mapadri,wazungu wala mabomu.
Mtu kama Lowassa wakuogopwa sana,yupo radhi kutetea magaidi,ilimradi afikie malengo yake ya kisiasa
 


Ni kweli kitendo cha kuwatia kizuizini miaka na miaka bila mashitaka mashehe wa Zanzibar wasiotaka Muungano ni kitendo cha kionevu na kifashisti. Wengine tunakubaliana kabisa na Edward Lowassa, tunakemea na kulaani kurudi kwa political prisoners ambao walishatoka magerezani toka JKN anatoka madarakani miaka ya 80.

Lakini katika kutetea mashehe hao, Lowassa amevuka mipaka kwa kiasi cha kutisha. Lowassa ameongelea vurugu na taharuki za siasa za kidini zilizokuwepo enzi za Ally Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, mpaka ikafikia kulazimika kudhibiti hali ile kwa kutumia watu wa usalama na askari wenye mbwa kuingia misikitini kusikiliza mawaidha na kukamata watu. Lowassa anataka misikiti na mashehe radical and firebrand wa enzi zile warudi kwa sababu misikiti siku hizi imekuwa baridi.

Lakini uchochezi wa kijahili na mbaya kuliko wote ambao usingeutegemea kutoka kwa Edward Lowassa ni pale aliposema WAISLAMU SASA WAANZE KUONGEA LUGHA AMBAYO SERIKALI INAIELEWA.

Lugha ya Waislamu ambayo serikali itailewa ni ipi, kujilipua? Muhimu tukumbuke hapa pakiwaka hapa sio wewe wala mimi wala Lowassa wala Magufuli wala Shehe wala Kadinari wala polisi wala majeshi yeyote atakaekuwa na hakika ya kubaki salama.

wacha liwake tumechoka na Kunyanyaswa.allaaa
 
kwani kuachiwa leo maana yake hana kosa?

wakili wake amesema "shitaka ni uchochezi."

maana yake ana face shitaka la uchochezi.

Mkurugenzi wa upelelezi yeyote yule lazima amemuuliza, Mheshimiwa una maana gani kusema WAISLAM WAANZE KUONGEA LUGHA SERIKALI INAYOILEWA, UNATAKA WAFANYEJE, WATUNGUE RISASI ASKARI KAMA KIBITI?

Kati ya wanasiasa wote usingetegemea Lowassa ambae huwa anajiweka kama soft-spoken elder statesman anaependa maridhiano leo aseme Waislam siku hizi wamekuwa baridi.

Kasema anataka Waislam warudishe zile siku za misikiti kufuatiliwa na serikali. Mheshimiwa umejichafulia hadhi yako.
Kweli nimeamini hii nchi ina watu wa aina nyingi sana
 
Matatizo ya Waislam ni pamoja na MOU Kati ya Makanisa na Serikali inayolazimisha Serikali kutoa ruzuku kuendesha Shughuli za Makanisa na aliesaini huo Mkataba upande wa Serkal ni Prof Mahalu na Edward Lowassa 1992, alitolee ufafanuzi badala ya kutafuta Kick za Kwmy Futari
Mwaka huu ndiyo kila kitu kitajulikana
 
  • Eti wamekuwa legelege na wamepoa, waongee lugha ambayo serikari itawaelewa
  • Haya ni maneno ya kusema kweli? tena wakati ambao kuna tension iliyoletwa na mauaji ya kibiti
Tension ya Kibiti imeletwa na CCM na dola ndiyo maana wanalengwa. Lakini ya masheikh wa uamsho ni ya uongo?
 
Back
Top Bottom