Umeniwahi mkuu.! huu uzi napenda aje Bi. mkubwa FAIZA FOXY nipate soma mchango wake pia.FaizaFoxy hapa lazima abaki njia panda!
Unataka kutwambia kuwa wewe ndiyo unajua makosa kuliko serikali na wataalam wake wa mambo ya kiusalama?naona unajisikia uchungu kwa serikali kumwachia leo
FaizaFoxy unaitwa huku!Umeniwahi mkuu.! huu uzi napenda aje Bi. mkubwa FAIZA FOXY nipate soma mchango wake pia.
Kuna mwingine alisema tukichagua upinzani ataingia msituni,hakuitwa kuhojiwa!Alikosea. Na hii ni Mara pili nakumbuka kwenye uzinduzi as kampeni uchaguzi mkuu uliopita alisema akichaguliwa kuwa raid atawaachia wale mashehe waliofungwa.
Kwenye maisha ya kawaida kumdhania mtu ni dhambi haisameheki na Mungu. Sema mnajidhania kuwa watu wanawaona mnavyo ropoka, mnakurupuka hamna maono. Msijidhanie ni ukweli hamna maono mnaropoka sana mnakurupuka mna kauli za kupishana utadhani ni genge la walevi.Kuna mambo yanaleta ukakasi.
Mashehe wa Zanzibar walikamatwa wakati wa Rais Kikwete, Lowassa hakusema chochote, na kipindi hicho Tanzania haikuwa na tatizo la Kibiti. Watu zaidi ya 30 wameuwawa katika mazingira ya kutatanisha, halafu anaibuka Lowassa ambaye amewahi kuwa Waziri Mkuu anawakusanya Waislam nyumbani kwake na kuwaambia "WAISLAMU SASA WAANZE KUONGEA LUGHA AMBAYO SERIKALI INAIELEWA". Lowassa anakwenda mbele zaidi na kuwakumbusha namna 'watu walivyotumia dini kuleta machafuko wakati wa Rais Mwinyi.
Maswali ya kujiuliza,
1. Mbali na maagizo aliyotoa hadharani, Lowassa amekuwa anafanya nini nyuma ya pazia?
2. Lowassa anajua nini kuhusu Kibiti?
3. Lowassa ana maana gani anapoagiza waislam waongee 'lugha ambayo serikali inaielewa? Hiyo lugha ikoje?
4. Ni kwanini ametolea mfano wa mchafuko ya kidini wakati wa Mzee Mwinyi?
5. 'Shehe' ambaye amekuwa anafuatana na Lowassa kila mahali (hata leo alikuwa naye) ni kwa ajili ya maombi au ndiye msimamizi mkuu wa 'lugha' ambayo Lowassa anataka waislam waitumie.
Kuna tatizo kubwa.
Matibabu ya akili tena? Hapo tunahitaji utupatie ufafanuzi kidogoMkuu unataka tufe kikondoo?
Jifunzeni kuwa mnaweza kuuua mwili lakini hamtaweza kuua mawazo ya watu. Mnapoona mmewaza sana mjue kuna wengine wamewaza zaidi yenu.
Mnapoona mnatumia mbinu za kudhibiti kuna walio na mbinu na kujinasua na kuwapa changamoto.
Kama hamjui Magu ni mchafu kiakili na kimwili si wa kumtetea kwa mabaya anayoyafanya. Msisahau mlimpeleka Ujerumani kwa matibabu ya akili.
Mwisho kumbukeni ujumbe wa inzi "Mkijua medani na mbele wenzenu wamebobea medani za nyuma"
Matibabu ya akili tena? Hapo tunahitaji utupatie ufafanuzi kidogo
Na hapo ndiyo Lissu atakapomburuza wakili wa serikali kwenye hii kesi.Kwanza ukamatwe wewe kwa kumjengea Lowassa maana ambayo hakumaanisha. Lugha ambayo serikali inaielewa ni nini? Unajua ENL alimaanisha vipi?
Je, kama alimaanisha waache kutumia Lugha za Kiarabu na badala yake Kutumia Kiswahili ama Kingereza kama ambavyo zimekuwa lugha rasmi za Kiserikali?
Ndiyo wasiwe baridi wapaze sauti zao ili kilio chao kisikike."....msiwe baridi........."-E.L.
sikiliza kuanzia 1.44 na shirikisha kidogo akili utamuelewa!