Video: Si kuibiwa ni kuzidiwa!

Video: Si kuibiwa ni kuzidiwa!

Status
Not open for further replies.
Utajibu kuhusu hizi tuhuma au utaendelea kukwepa swali?

Nitajibuje tuhuma ambazo hazijaelezwa? Mimi sizijui ndiyo maana nikakuuliza uziseme tuone uongo wako.

Nimekupa nafasi uziseme, unashindwa, sasa labda mimi ndiye wa kukuuliza wewe, utazitaja hizi tuhuma au utaendelea kujificha nyuma ya pazia la "tuhuma" zisizotajika ?

Naona unajaribu kubadilisha mjadala kutoka kwa Slaa.

Mimi sina tuhuma, na hata kama ningekuwa nazo, mimi si mgombea urais useme kwamba nina significance kubwa katika maendeleo ya nchi.

Noblesse oblige, to whom much is given, much is required. Much is not given to me so much is not required.

Una distract attention from the main topic kwenda kwenye uongo ambao hata si issue ya thread hapa, the oldest trick in the book.
 
Hapa kuna suala liliopita maisha ya mtu binafsi.Dr. Slaa kamtambulisha huyu mama kwa wapiga kura kama mke wake wakati mama bado ni mke wa mtu.

Hili si swala la mtu binafsi, hili ni swala la public trust and misrepresentation.

Unazidi tu kuongopa hapa, unabadili narrative as you go along.
Sasa unadai kuwa ni suala la public trust (na sio ufisadi kama ulivyoanza)

Utabadili maneno lakini ukweli unabaki palepale. Ulidandia hii thread kwa kudhani kuwa umepata ammunition ya kummaliza Slaa hapa JF. Mambo yamekugeuka na sasa umeanza kubadili maneno. Utabadili hadi kesho lakini hii smear yenu mafisadi wa ccm dhidi ya slaa haitafanikiwa hapa JF.
 
Nitajibuje tuhuma ambazo hazijaelezwa? Mimi sizijui ndiyo maana nikakuuliza uziseme tuone uongo wako.

Nimekupa nafasi uziseme, unashindwa, sasa labda mimi ndiye wa kukuuliza wewe, utazitaja hizi tuhuma au utaendelea kujificha nyuma ya pazia la "tuhuma" zisizotajika ?

Tuhuma dhidi yako ni kuwa ulifanya ufisadi kwenye ndoa yako, umefanya uzinifu na mke wa rafiki yako(ulijaribu kufanya uzinifu), ulitaka kumbaka house girl wako (msichana fulani aliyekuwa akiishi kwako) etc etc etc.

Hii ni kweli? Kwa nini ulifanya hivyo?
 
Nitajibuje tuhuma ambazo hazijaelezwa? Mimi sizijui ndiyo maana nikakuuliza uziseme tuone uongo wako.

Nimekupa nafasi uziseme, unashindwa, sasa labda mimi ndiye wa kukuuliza wewe, utazitaja hizi tuhuma au utaendelea kujificha nyuma ya pazia la "tuhuma" zisizotajika ?

Naona unajaribu kubadilisha mjadala kutoka kwa Slaa.

Nimeziweka hapa juu, uko tayari kujibu.
And yes, wakati nikiendelea kusoma unachomtuhumu slaa, ni vizuri kuweka kwenye context standard zako binafsi.

Mimi sina tuhuma, na hata kama ningekuwa nazo, mimi si mgombea urais useme kwamba nina significance kubwa katika maendeleo ya nchi.

Hell yes unazo sana

Noblesse oblige, to whom much is given, much is required. Much is not given to me so much is not required.

Nothing is given to you at all, you are giving all this "much" to you (yourself)
 
Tuhuma dhidi yako ni kuwa ulifanya ufisadi kwenye ndoa yako, umefanya uzinifu na mke wa rafiki yako(ulijaribu kufanya uzinifu), ulitaka kumbaka house girl wako (msichana fulani aliyekuwa akiishi kwako) etc etc etc.

Hii ni kweli? Kwa nini ulifanya hivyo?

Tuhuma hizi hizi alizozitoa FMES na kuzi recycle kwangu, kwa Fundi Mchundo na kwa Kuhani?

Mbona umesahau ile aliyosema kwamba nilishapata ajali na mke wa mtu kwenye gari langu ikazua mzozo ?

Tuhuma hizi hizi? Hizi zilikuwa ni hadithi za FMES, ukimzidi kwenye mijadala anakutungia tu, kakuona Washington DC kwenye basement party wakati mtu Washington DC hata hujawahi kufika unakusikia tu.

Hizo ni hadithi tu, mimi sijawahi kuwa na housegirl wangu maisha haya, na wala sijawahi kuwa na "msichana anayeishi kwangu" nafanya mambo yangu yote mwenyewe, isitoshe ninapoishi kuweza ku afford housegirl ni gharama sana, na hatulundikani lundikani kukaa watu kibao sehemu moja, kila mtu kivyake vyake.

Sina marafiki waliooa, kwa hiyo huwezi kusema nimefanya uzinifu na mke wa rafiki yangu. Na mke wa mtu kwangu sumu.

Jaribu story nyingine, hii haijashika.

Acha distractions, mgombea urais ni Dr. Slaa, ndiye tunayemjadili hapa. Kuleta hadithi za kutunga za FMES ni oldest trick in the book kutuondoa katika mada ya integrity ya Dr. Slaa.
 
Unazidi tu kuongopa hapa, unabadili narrative as you go along.
Sasa unadai kuwa ni suala la public trust (na sio ufisadi kama ulivyoanza)

Utabadili maneno lakini ukweli unabaki palepale. Ulidandia hii thread kwa kudhani kuwa umepata ammunition ya kummaliza Slaa hapa JF. Mambo yamekugeuka na sasa umeanza kubadili maneno. Utabadili hadi kesho lakini hii smear yenu mafisadi wa ccm dhidi ya slaa haitafanikiwa hapa JF.

Huyu hata haelewi public trust ni nini na ufisadi ni nini na viwili hivi vinahusiana vipi ?
 
Tuhuma hizi hizi alizozitoa FMES na kuzi recycle kwangu, kwa Fundi Mchundo na kwa Kuhani?

Mbona umesahau ile aliyosema kwamba nilishapata ajali na mke wa mtu kwenye gari langu ikazua mzozo ?

Tuhuma hizi hizi? Hizi zilikuwa ni hadithi za FMES, ukimzidi kwenye mijadala anakutungia tu, kakuona Washington DC kwenye basement party wakati mtu Washington DC hata hujawahi kufika unakusikia tu.

Hizo ni hadithi tu, mimi sijawahi kuwa na housegirl wangu maisha haya, na wala sijawahi kuwa na "msichana anayeishi kwangu" nafanya mambo yangu yote mwenyewe, isitoshe ninapoishi kuweza ku afford housegirl ni gharama sana, na hatulundikani lundikani kukaa watu kibao sehemu moja, kila mtu kivyake vyake.

Sina marafiki waliooa, kwa hiyo huwezi kusema nimefanya uzinifu na mke wa rafiki yangu. Na mke wa mtu kwangu sumu.

Acha uongo wewe, kwa nini watu wakuamini wewe na sio mzee wa data FMES?
 
Huyu hata haelewi public trust ni nini na ufisadi ni nini na viwili hivi vinahusiana vipi ?

So far wewe ndiye uko all mixed up hapa .... get your things together mkuu maana unajichanganya sana
 
Hapa kuna suala liliopita maisha ya mtu binafsi.Dr. Slaa kamtambulisha huyu mama kwa wapiga kura kama mke wake wakati mama bado ni mke wa mtu.

Hili si swala la mtu binafsi, hili ni swala la public trust and misrepresentation.

huyo mama si angeweza kusahihisha na kusema kuwa ametambulishwa vibaya?
 
huyo mama si angeweza kusahihisha na kusema kuwa ametambulishwa vibaya?

Kiranga yeye haoni hilo as longer as amepata opening ya kumpondea Slaa. Kwani ameanza leo? toka Slaa atangazwe kuwa mgombea Kiranga has been doing all he can kumpondea.
 
atakwambia kuwa hana dini na wakati huo akimhold Slaa kwenye morals za wakatoliki

Sasa kama mtu huamini mungu inakuwaje utumie nukuu ya biblia ambayo inasemekana ni neno la mungu?

"But he who did not know, yet committed things deserving of stripes, shall be beaten with few. For everyone to whom much is given, from him much will be required; and to whom much has been committed, of him they will ask the more.

http://net.bible.org/verse.php?book=Luk&chapter=12&verse=48
 
Eeee bwana weee, tafadhali bwana. Kiranga na yeye kumbe alim-Makamba mtoto wa watu? loooo!!!

Huyu jamaa kumbe hafai kabisa. Ukiona Mzungu Racist, utakuta usiku anakalalia kabinti keusi.


Acha uongo wewe, kwa nini watu wakuamini wewe na sio mzee wa data FMES?
 
Ahsante,

Mimi nawaambia wana JF hapa, kama mnasimamia priciple za kupinga uovu, basi pingeni uovu bila kujali kwamba aliyefanya ni Slaa au Kikwete, CCM au CHADEMA.

Tatizo watu wanataka kuvaa miwani ya mbao kama matatizo ni ya CHADEMA.

Najua baadhi yetu tuna shock kuona mtu kama Slaa ambaye tulimuwekea matumaini makubwa sana anakuja kutu dissapoint vibaya hivi.Lakini ukweli - so far- unaonekana kwamba Slaa is just a man na ana matatizo yetu yale yale ya kila siku, na ana matatizo ya integrity kama uongozi wetu wa sasa.

Kwa hiyo hata kama mnaenda kumchagua Slaa, mumchague huku mnajua hili.Kwamba msitegemee muujiza, na mambo yanaweza kabisa kuwa mabaya zaidi ya CCM.

I am not a CCM fan, but I am just asking myself, kama mtu ana guts za kupiga campaign ya urais huku amemuweka kinyumba mke wa mtu, je akipata urais atakuwa na guts za kufanya nini ?

Hii inanipa tabu sana.

Kama watanzania wengine wanavyoendelea kuiunga mkono CCM blindly ndivyo kundi lingine la watanzania linavyounga mkono vyama/viongozi wa upinzani blindly.

Kwa mitazamo hii, hatima ya Mama Tanzania itaendelea kuwa mashakani kwa muda mrefu ujao.
 
Eeee bwana weee, tafadhali bwana. Kiranga na yeye kumbe alim-Makamba mtoto wa watu? loooo!!!

Huyu jamaa kumbe hafai kabisa. Ukiona Mzungu Racist, utakuta usiku anakalalia kabinti keusi.

ukiisikia ile story utacheka hadi basi .... jamaa alitoka supidi kama hana akili nzuri vile.
Jana NN alikumbushia kitu kimoja, wale jamaa wa republicans waliomshikia bango clinton kipindi kile, wengi wao waliishia kuibuka na skandal kubwa kuliko hata ile ya clinton.

Kama hii story ya FMES kuhusu kiranga ikithibitika kuwa ni ya ukweli, usishangae kuona kiranga akibadili jina hapa.

bado namsubiria huyu makamba wetu wa JF
 
Wanaoshindwa kuwa waaminifu katika maisha binafsi hatuwezi kuwategemea wawe waaminifu katika maisha ya umma.

Ndio maana wengine tulijua hatuwezi maisha ya umma, hata hatukutaka kuwadanganya wananchi kwamba tunaweza dhamana ya kuwaongoza, sasa inaniuma kuona mimi nina adabu angalau ya kujua kwamba sina adabu ya kutosha kuongoza watu, halafu wakati huo huo naona wahuni tu, tena ambao hawana adabu zaidi yangu (angalau mimi sijawahi kumweka mke wa mtu kinyumba) wanataka kuchukua ofisi kubwa kuliko zote nchini kwa unafiki.

Illogical and narrow mind! Huu ndio uwezo wa wasomi waliojazana huko CCM. Kazi kweli kweli!
 
Hii inanipa tabu sana.

Kama watanzania wengine wanavyoendelea kuiunga mkono CCM blindly ndivyo kundi lingine la watanzania linavyounga mkono vyama/viongozi wa upinzani blindly.

Kwa mitazamo hii, hatima ya Mama Tanzania itaendelea kuwa mashakani kwa muda mrefu ujao.

Bwa ha ha ha .... hata mifano hatatoa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom