Video: Si kuibiwa ni kuzidiwa!

Video: Si kuibiwa ni kuzidiwa!

Status
Not open for further replies.
Hii inanipa tabu sana.

Kama watanzania wengine wanavyoendelea kuiunga mkono CCM blindly ndivyo kundi lingine la watanzania linavyounga mkono vyama/viongozi wa upinzani blindly.

Kwa mitazamo hii, hatima ya Mama Tanzania itaendelea kuwa mashakani kwa muda mrefu ujao.

Ushaelewa Butola?

CHADEMA tunatakiwa kuwapa pass tu, CCM tuwashikie bango.

Hili mimi kwangu gumu sana, ukishasema tuandame ufisadi na unafiki tunatakiwa tuandame ufisadi na unafiki popote, sio kuumezea wa uongozi wa upinzani kwa sababu wao ni wapinzani na kuwaandama CCM.
 
ukiisikia ile story utacheka hadi basi .... jamaa alitoka supidi kama hana akili nzuri vile.
Jana NN alikumbushia kitu kimoja, wale jamaa wa republicans waliomshikia bango clinton kipindi kile, wengi wao waliishia kuibuka na skandal kubwa kuliko hata ile ya clinton.

Kama hii story ya FMES kuhusu kiranga ikithibitika kuwa ni ya ukweli, usishangae kuona kiranga akibadili jina hapa.

bado namsubiria huyu makamba wetu wa JF

Maisha haya wewe acha tu....

Kuna Pastor mmoja kule Colorado alikuwaga mstari wa mbele sana kuwakemea na kuwalaani magay....

Kumbe bana na yeye mwenyewe gay na alikuwa na mpenzi wake na huyo mpenzi alikuwa na recorded messages kama ushahidi wa uhusiano wao....ilipokuja kubumbulika ilibidi aachie ngazi ya u pastor wake. Nadhani utakuwa uliisikia na wewe hiyo kashfa. Jina lake limenitoka kidogo...
 
Ushaelewa Butola?

CHADEMA tunatakiwa kuwapa pass tu, CCM tuwashikie bango.

Bado unaongopa hapa, hakuwa aliyesema haya. Halafu haya ya kuongopa kuwa unaishikia bango ccm ni uongo wa mchana. Tangu kampeni za uchaguzi kuanza, umeishikia bango ccm kwa asilimia ngapi ya mabandiko yako?

Hili mimi kwangu gumu sana, ukishasema tuandame ufisadi na unafiki tunatakiwa tuandame ufisadi na unafiki popote, sio kuumezea wa uongozi wa upinzani kwa sababu wao ni wapinzani na kuwaandama CCM.

Kwa nini unalazimisha ufisadi pale kusipokuwa na ufisadi? Huwezi kulinganisha ufisadi wa ccm kwenye EPA buzwagi etc na habari za udaku za mtu ambaye anadai kuwa mke wake alimkimbia miezi zaidi ya sita iliyopita (na anamlaumu slaa kwa hilo) ila amekumbuka leo kumshtaki.
 
Maisha haya wewe acha tu....

Kuna Pastor mmoja kule Colorado alikuwaga mstari wa mbele sana kuwakemea na kuwalaani magay....

Kumbe bana na yeye mwenyewe gay na alikuwa na mpenzi wake na huyo mpenzi alikuwa na recorded messages kama ushahidi wa uhusiano wao....ilipokuja kubumbulika ilibidi aachie ngazi ya u pastor wake. Nadhani utakuwa uliisikia na wewe hiyo kashfa. Jina lake limenitoka kidogo...

Namkumbuka jamaa alikuwa anaitwa Ted Haggard (siko sure na last name).
Kiranga anataka kuanzisha standards ambazo zitaweka tope tu kwenye process ya kile kinachoendelea Tanzania - kuchagua raisi mpya ambaye atalinda mali za nchi.
 
Maisha haya wewe acha tu....

Kuna Pastor mmoja kule Colorado alikuwaga mstari wa mbele sana kuwakemea na kuwalaani magay....

Kumbe bana na yeye mwenyewe gay na alikuwa na mpenzi wake na huyo mpenzi alikuwa na recorded messages kama ushahidi wa uhusiano wao....ilipokuja kubumbulika ilibidi aachie ngazi ya u pastor wake. Nadhani utakuwa uliisikia na wewe hiyo kashfa. Jina lake limenitoka kidogo...

Mazee huyo Pastor ni kama Slaa,

Amekemea ufisadi na unafiki wa CCM sana, kumbe yeye hata mwanamke aliyemuweka kinyumba ni mke wa mtu.
 
Maisha haya wewe acha tu....

Kuna Pastor mmoja kule Colorado alikuwaga mstari wa mbele sana kuwakemea na kuwalaani magay....

Kumbe bana na yeye mwenyewe gay na alikuwa na mpenzi wake na huyo mpenzi alikuwa na recorded messages kama ushahidi wa uhusiano wao....ilipokuja kubumbulika ilibidi aachie ngazi ya u pastor wake. Nadhani utakuwa uliisikia na wewe hiyo kashfa. Jina lake limenitoka kidogo...

Anaitwa Ted Haggard
 
Bado unaongopa hapa, hakuwa aliyesema haya. Halafu haya ya kuongopa kuwa unaishikia bango ccm ni uongo wa mchana. Tangu kampeni za uchaguzi kuanza, umeishikia bango ccm kwa asilimia ngapi ya mabandiko yako?



Kwa nini unalazimisha ufisadi pale kusipokuwa na ufisadi? Huwezi kulinganisha ufisadi wa ccm kwenye EPA buzwagi etc na habari za udaku za mtu ambaye anadai kuwa mke wake alimkimbia miezi zaidi ya sita iliyopita (na anamlaumu slaa kwa hilo) ila amekumbuka leo kumshtaki.

Unaweza kunionyesha ulipowasema CHADEMA kwa kirefu ili tukubali kwamba wewe uko objective na unaona CHADEMA wana makosa na siyo CHADEMA fanboy ?
 
Mazee huyo Pastor ni kama Slaa,

Amekemea ufisadi na unafiki wa CCM sana, kumbe yeye hata mwanamke aliyemuweka kinyumba ni mke wa mtu.

Huyo pasta ni wewe kiranga, unajifanya kukemea "ufisadi wa kutunga" dhidi ya Slaa kumbe wewe ni bonge ya bakaji tu.

Sasa utajibu hizi tuhuma au la?
 
Ushaelewa Butola?

CHADEMA tunatakiwa kuwapa pass tu, CCM tuwashikie bango.

Hili mimi kwangu gumu sana, ukishasema tuandame ufisadi na unafiki tunatakiwa tuandame ufisadi na unafiki popote, sio kuumezea wa uongozi wa upinzani kwa sababu wao ni wapinzani na kuwaandama CCM.

Kiranga hapa hauko sahihi; utaona kuwa wale ambao tunawaandama CCM ufisadi hatuwaandami kwa ufisadi wa chumbani mwao au wa ndoa zao. Tunawaandama kwa ufisadi wanaofanya katika ofisi zao za umma na wenye kuhusu walipa kodi wa Tanzania. Wale ambao wanataka kuandama kwa ufisadi wa chumbani wana haki yao ya kufanya hivyo. Wengine hayo mambo ya nani amelala na nani, vipi, na wapi hayainuki kufikia wizi wa mabilioni ya fedha za Watanzania na kwa hakika hayafikii hata katika njozi kiwango cha wizi wa EPA, Meremeta au Dowans.

Kumbe, sisi wengine tunatofautisha tu kuwa mambo haya ya chumbani ni mambo ambayo yanatakiwa kujadiliwa katika ngazi ya familia na pale ambapo yanapoinuka na kuwa katika kiwango cha uhalifu basi tutayajadili katika kiwango hicho. Hivyo, Dr. Slaa kwa mfano angetajwa kuwa amechukua underage girl na kuwa na mahusiano naye ya kimapenzi basi hapo tungeona SOSPA ikiingia kufanya kazi na tungezungumzia hayo mengine. Lakini uamuzi wa mtu mzima ambaye anajua kuwa ameolewa na akaamua kutoka kwa mume wake na kuwakimbiza watoto wake toka baba yao ninaamini huyo mtu ana akili timamu.

Siyo mimi wala wewe wenye haki ya kumtaka abakie hapo. Lakini la pili ambalo ni more personal ni kuwa kama mtu huyo anataka furaha ya kitendo cha mapenzi ambayo ni haki yake kama binadamu siyo mimi wala wewe ambao tuna haki ya kulazimisha kuwa aende kwa mumewe ambaye hapatani naye ili apate furaha hiyo. Kwamba, ameamua kupata furaha hiyo nje ya ndoa yumkini halitamaniki na kuonekana vizuri; lakini kwamba amefanya hivyo akifuata dhamira yake baada ya kupima uwezekano wote uliokuwepo, ni suala la nafsi na dhamira yake na lapaswa kuheshimiwa.

Lakini kulivusha hilo kiasi cha kusema kuwa kwa hilo mtu hafai kuwa kiongozi wa umma ni kuweka chumvi isiyo ya lazima kwani hakuna ushahidi wowote wa kisayansi wenye kuonesha kuwa kuna uhusiano kati ya uaminifu katika ndoa na uaminifu katika utumishi wa umma. Niko tayari kusahihishwa.
 
Mazee huyo Pastor ni kama Slaa,

Amekemea ufisadi na unafiki wa CCM sana, kumbe yeye hata mwanamke aliyemuweka kinyumba ni mke wa mtu.

Hapo ndipo unapochanganya mambo sasa. Ufisadi anaoukemea Slaa ni tofauti kabisa uhusiano wake na huyo mwanamke aliyekwisha tengana na huyo 'supposed' mumewe.

Isitoshe hayo ni maisha binafsi ya kimapenzi ya watu wazima wawili walioridhiana. That's none of our business. Lakini hela za EPA na rasilimali zetu zingine, hizo tuna interest nazo kwa sababu wote tuko wadau.
 
Unaweza kunionyesha ulipowasema CHADEMA kwa kirefu ili tukubali kwamba wewe uko objective na unaona CHADEMA wana makosa na siyo CHADEMA fanboy ?

Mimi nimeweka wazi hapa utetezi wangu wa chadema.
Mimi sidanganyi au kuweka unafiki kuwa ninaipenda ccm wakati si kweli.
Sina mambo ya fair and balanced - i dont like ccm and that's all.

Viongozi wa chadema kama Zitto Kabwe wamepata fair dose ya kipondo toka kwangu. Lakini hii hainifanyi nidai kuwa niko fair kwa vyama vyote.

Mimi siipendi CCM na viongozi wake. Kama hii inanifanya nisiwe objective so be it lakini sitadanganya kama wewe unayejifanya kuwa huko objective wakati unafanya kampeni ya ccm indirectly.
 
Kiranga hapa hauko sahihi; utaona kuwa wale ambao tunawaandama CCM ufisadi hatuwaandami kwa ufisadi wa chumbani mwao au wa ndoa zao. Tunawaandama kwa ufisadi wanaofanya katika ofisi zao za umma na wenye kuhusu walipa kodi wa Tanzania. Wale ambao wanataka kuandama kwa ufisadi wa chumbani wana haki yao ya kufanya hivyo. Wengine hayo mambo ya nani amelala na nani, vipi, na wapi hayainuki kufikia wizi wa mabilioni ya fedha za Watanzania na kwa hakika hayafikii hata katika njozi kiwango cha wizi wa EPA, Meremeta au Dowans.

Kumbe, sisi wengine tunatofautisha tu kuwa mambo haya ya chumbani ni mambo ambayo yanatakiwa kujadiliwa katika ngazi ya familia na pale ambapo yanapoinuka na kuwa katika kiwango cha uhalifu basi tutayajadili katika kiwango hicho. Hivyo, Dr. Slaa kwa mfano angetajwa kuwa amechukua underage girl na kuwa na mahusiano naye ya kimapenzi basi hapo tungeona SOSPA ikiingia kufanya kazi na tungezungumzia hayo mengine. Lakini uamuzi wa mtu mzima ambaye anajua kuwa ameolewa na akaamua kutoka kwa mume wake na kuwakimbiza watoto wake toka baba yao ninaamini huyo mtu ana akili timamu.

Siyo mimi wala wewe wenye haki ya kumtaka abakie hapo. Lakini la pili ambalo ni more personal ni kuwa kama mtu huyo anataka furaha ya kitendo cha mapenzi ambayo ni haki yake kama binadamu siyo mimi wala wewe ambao tuna haki ya kulazimisha kuwa aende kwa mumewe ambaye hapatani naye ili apate furaha hiyo. Kwamba, ameamua kupata furaha hiyo nje ya ndoa yumkini halitamaniki na kuonekana vizuri; lakini kwamba amefanya hivyo akifuata dhamira yake baada ya kupima uwezekano wote uliokuwepo, ni suala la nafsi na dhamira yake na lapaswa kuheshimiwa.

Lakini kulivusha hilo kiasi cha kusema kuwa kwa hilo mtu hafai kuwa kiongozi wa umma ni kuweka chumvi isiyo ya lazima kwani hakuna ushahidi wowote wa kisayansi wenye kuonesha kuwa kuna uhusiano kati ya uaminifu katika ndoa na uaminifu katika utumishi wa umma. Niko tayari kusahihishwa.

Na pale Slaa anapomtambulisha huyu mke wa mtu kama mke wake kwa wapiga kura na hilo nalo ni jambo la chumbani ?
 
Hapo ndipo unapochanganya mambo sasa. Ufisadi anaoukemea Slaa ni tofauti kabisa uhusiano wake na huyo mwanamke aliyekwisha tengana na huyo 'supposed' mumewe.

Isitoshe hayo ni maisha binafsi ya kimapenzi ya watu wazima wawili walioridhiana. That's none of our business. Lakini hela za EPA na rasilimali zetu zingine, hizo tuna interest nazo kwa sababu wote tuko wadau.

Mimi bado namsubiri ajibu tuhuma za ubakaji zinazomkabili hapa.
 
Hapo ndipo unapochanganya mambo sasa. Ufisadi anaoukemea Slaa ni tofauti kabisa uhusiano wake na huyo mwanamke aliyekwisha tengana na huyo 'supposed' mumewe.

Isitoshe hayo ni maisha binafsi ya kimapenzi ya watu wazima wawili walioridhiana. That's none of our business. Lakini hela za EPA na rasilimali zetu zingine, hizo tuna interest nazo kwa sababu wote tuko wadau.

It is a matter of degree.

A statesman asked a woman, are you prepared to sleep with me for a million dollars. The woman replied, for that kind of money I would.Then the statesman asked again, how about for two dollars? The woman replied "Mr. what kind of woman do you take me for ?"

The statesman replied, we have already establish what kind of a woman you are (one that could sleep with a man for money0 the only thing we are trying to establish is the price.

Slaa kashajiwekea doa katika integrity yake (kuna swala la kumu introduce huyu mama kama mke wake kwa wapiga kura, swala hili linaondoa issue chumbani na kuiweka kwa watu wote)

Kwa hiyo Slaa kashajiondolea halo ya integrity, tunachoangalia ni price tag yake tu, na kama kaweza kuanguka namna hii hanipi matumaini kwamba ana resistance ya kukataa ufisadi wa hela kubwa akichukua nchi (theoreticaly speaking, we both predicted hawezi kuchukua nchi)
 
No, sio jambo la chumbani

Sasa habari zako za ubakaji vipi?

Nishakujibu hapo juu kuhusu hizi hadithi za uongo, ukiendeleza hii line of harassment and distractions from the thread nitakureport kwa mods.
 
It is a matter of degree.

Slaa kashajiwekea doa katika integrity yake (kuna swala la kumu introduce huyu mama kama mke wake kwa wapiga kura, swala hili linaondoa issue chumbani na kuiweka kwa watu wote)

Sasa vipi ukijibu tuhuma zako za ubakaji?
 
Nishakujibu hapo juu kuhusu hizi hadithi za uongo, ukiendeleza hii line of harassment and distractions from the thread nitakureport kwa mods.

ha ha ha ushaanza vilio, go ahead and report mkuu.
Wewe unashikilia tuhuma dhidi ya Slaa kuwa ni za kweli, kwa nini tuhuma dhidi yako ziwe za uongo.

Narudia swali. je wewe ni mbakaji?
 
Hili kosa alilofanya huyu SLAA ni kosa kubwa, na mbaya zaidi mnalifurahia, uzuri wa vitu kama hivi, Mungu anavinoti na kuvilipisha hapahapa duniani. Ngoja kesho ije iwe zamu yako. Asilimia 80 ya wanawake, ROSTAM na mapesa yake akiwashawishi watakimbia nyumba zao. asilimia 99.999 ya wanaume wakifikwa na mwanamke mwenye fwedha watakimbia nyumba zao. LEO mnajifanya kwamba mtu kukimbia ni kulemewa na si ushawishi wa KISHETANI wa kupora wake za watu sio??

OLE WAO wanaocheka leo. SWALA la mke na uporaji, Mungu halivumilii kamwe nitakukubusha mfalme DAUDI na mwanamke aliyemchugulia. Nitakukubusha FARAO na yule MKE wa JOSE baada ya jose kujidai ni dada yake. OLE WAO wanaofurahia UZINZI, amini nawaambieni jua halitakuchwa.

SODOMA NA GOMOLA Mungu aliitekeketeza kwa sababu ya UPUMBAFU kama huu.

WEWE unayesema ndoa tangu march, NDOA ya kikisritu wanandoa wanaweza ishi kwa kutenganishwa kutokana na sababu fulani wakati juhudi za kuwapatanisha zikiendelea wanaweza ishi hata miaka 10 ama maisha yako yote.

SLAA kafeli SAKRAMENTI ya upadirisho KAFELI SAKRAMENTI ya NDOA na hata ile iliyo rahisi SAKRAMENTI ya KITUBIO nayo KAFELI mnategemea ataweza nini?
 
Hili kosa alilofanya huyu SLAA ni kosa kubwa, na mbaya zaidi mnalifurahia, uzuri wa vitu kama Mungu anavinoti na kuvilipisha hapahapa dunia. Ngoja kesho ije iwe zamu yako. Asilimia 80 ya wanawake ROSTAM na mapesa yake akiwashawishi watakimbia nyumba zao. asilimia 99.999 ya wanaume wakifikwa na mwanamke mwenye fwedha watakimbia nyumba zao. LEO mnajifanya kwamba mtu kukimbia ni kulemewa na si ushawishi wa KISHETANI wa kupora wake za watu sio??

OLE WAO wanaocheka leo. SWALA la mke na uporaji Mungu halivumilii kamwe nitakukubusha mfalme DAUDI na mwanamke aliyemchugulia. Nitakukubusha FARAO na yule MKE wa JOSE baada ya jose kujidai ni dada yake. OLE WAO wanaofurahia UZINZI amini nawaambieni jua halitakuchwa.

SODOMA NA GOMOLA Mungu aliitekeketeza kwa sababu ya UPUMBAFU kama huu.

WEWE unayesema ndoa tangu march, NDOA ya kikisritu wanandoa wanaweza ishi kwa kutenganishwa kutokana na sababu fulani wakati juhudi za kuwapatanisha zikiendelea wanaweza ishi hata miaka 10 ama maisha yako yote.

SLAA kafeli SAKRAMENTI ya upadiri KAFELI SAKRAMENTI ya NDOA na hata ile iliyo rahisi SAKRAMENTI ya KITUBIO nayo KAFELI mnategemea ataweza nini?

bange tu hizi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom