Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 16
Unaweza kumchumbia mtu ambaye kaolewa bado ?
unaweza kuchumbia mtu aliyeachana na (separate) mme wake.
Unaweza kumchumbia mtu ambaye kaolewa bado ?
You think you're so much smarter than everybody else, don't you? We've seen many of your type before. Unapenda sana kuwa centre of attention by going against the grain in almost everything just for the heck of it. Always bringing attention to your self and shit...your conceited mindset deludes you into believing you can counter-argue everyone in here on whatever issue under the sun.
I don't need to spin, just to hold accountable you and your kin.
Mlalamikaji huyo alidai, uhusiano uliopo kati ya watu hao wawili umemfanya adhalilike na kunyanyasika katika jamii na anaiomba mahakama kumzuia Dk. Slaa kuendelea kujihusisha kimahusiano na mkewe.
Tusijaribu kupaka rangi ukuta mbovu...shairi zuri lakini mke kukukimbia si kuzidiwa. Sababu za kukimbiwa zinaweza kuwa nyingi tu! kwa mfano: waswahili wanasema huwezi kumfanya malaya mke...atakukimbia tu. Wengi tunampenda Slaa, swali: tendo hili angekuwa amefanya JK, tuliyechoshwa naye, tungetetea hili jambo??
Slaa hajachana mkono wa yeyote hapa
No katiba haitasema chochote specific kuhusu slaa, katiba itasema kuwa ni makosa kwa mwanamume A kuwa na uhusiano na mwanamke B (ambaye inasemekana kuwa aliachana na mwanamme C miaka kibao iliyopita).
Uongo mwingine unaotaka kuuleta hapa - Slaa hajachukua mwanamke toka kwa mwanamme mwingine, Slaa kaanzisha uhusiano (wa uchumba) na mwanamke aliyeachana na mme wake.
unaweza kuchumbia mtu aliyeachana na (separate) mme wake.
tendo lipi unaloongelea hapa?
Kwa vipi Mkuu ikiwa taifa letu litafaidika kama anavyofaidika yeye leo na nyama laini iweje aliingize taifa mkenge. Mwanamke katulia tuliii na maisha yanamwendea safi tofauti na jinsi lile jamaa lilidhania.Slaa sio smart kabisa.
Anaweza kusakiziwa nyamafu akaliingiza taifa mkenge. Unless he comes out with a better story, hapa anajionyesha kuwa sawa - if not even worse than- na Kikwete.
Kwa mtazamo wangu naona huyu Josephine ameachana na mumewe bila kufata sheria za ndoa. Kinachombana ni sheria ya ndoa..Wanasheria wanaweza kulifafanua vizuri zaidi hili jambo bila kuleta ushabik
Majununi uso kuni, maaluni wa kubuni, Usijitie huelewi jambo la msingi nililosema kwamba huhitaji kila kosa liandikwe katika katiba.
Hapa swala si morals za ndoa, swala ni unafiki. Slaa kamtambulisha mwanamama kama mke wake kumbe muongo.
Slaa anakuja na platform ya accountability wakati yeye mwenyewe katika maisha yake binafsi hayuko accountable. Slaa anakemea ufisadi kumbe yeye mwenyewe anafanya ufisadi lowest kabisa wa kwenda kubunja nyumba ya mtu ?
Substitute A, B C with Slaa, Josephine and Mahimbo and you have our case. Wewe ulitaka katiba iandike majina ya watu ?
Huwezi kuwa na uchumba na mwanamke ambaye ameolewa na hajaachika, huyu mwanamke hajaachana ma mme wake, hii ndiyo basis nzima ya hii saga yote.
Slaa ni bazazi tu, hana tofauti na kina Kikwete.
Tusijaribu kupaka rangi ukuta mbovu...shairi zuri lakini mke kukukimbia si kuzidiwa. Sababu za kukimbiwa zinaweza kuwa nyingi tu! kwa mfano: waswahili wanasema huwezi kumfanya malaya mke...atakukimbia tu. Wengi tunampenda Slaa, swali: tendo hili angekuwa amefanya JK, tuliyechoshwa naye, tungetetea hili jambo??
Huelewi maana ya mchumba wewe. Unayemchumbia unaweza kumuoa, in fact unamchumbia ili umuoe, je unaweza kumuoa kihalali mtu aliye sparate na mme wake ?
hapo ndipo nasema huyu jamaa angemshtaki Josephine halafu tungeona yaliyofichika. Huyu jamaa anajua fika kwamba Kumshtaki Josephine haiwezekani kwa sababu target yao ni Dr. Slaa ili kuonyesha bibie ni victim of circumstance.. alihadaika na Dr - unakumbuka jamaa kasema mwanamke alisema anaondoka ktk kibanda chake anakwenda kuishi ktk nyumba!!?.. hii yote picha imechorwa tayari.... isitokee tu huyu bibie naye akubali kwamba Dr. Slaa alimhadaa hadi kufikia kufanya maamuzi kinyume cha ndoa yake. hapo mkuu wangu itakuwa kibano - dr chupi itambana.Mpaka sasa nadhani tumesikia upande mmoja tu wa habari. Upande wa Josephine bado hatujausikia.
Kwa mtazamo wangu naona huyu Josephine ameachana na mumewe bila kufata sheria za ndoa. Kinachombana ni sheria ya ndoa..Wanasheria wanaweza kulifafanua vizuri zaidi hili jambo bila kuleta ushabik
Slaa sio smart kabisa.
Anaweza kusakiziwa nyamafu akaliingiza taifa mkenge. Unless he comes out with a better story, hapa anajionyesha kuwa sawa - if not even worse than- na Kikwete.
hapo ndipo nasema huyu jamaa angemshtaki Josephine halafu tungeona yaliyofichika. Huyu jamaa anajua fika kwamba Kumshtaki Josephine haiwezekani kwa sababu target yao ni Dr. Slaa ili kuonyesha bibie ni victim of circumstances.. alihadaika na Dr -unakumbuka jamaa kasema mwanamke alisema anaondoka ktk kibanda chake anakwenda kuishi ktk nyumba?.. hii yote picha imechorwa.... isitokee tu huyu bibie naye akubali kwamba Dr. Slaa alimhadaa hadi kufikia kufanya maamuzi kinyume cha ndoa yake. hapo mkuu wangu kibano - dr chupi itambana.