Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,103
- 43,350
- Thread starter
- #221
Jamani kwenye ufunguzi wa kampeni za chadema Dr Slaa alimtambulisha Joshiphine kuwa ni Mke wake hata TBC jana kwenye taarifa ya habari wameonyesha tena
hata angemtambulisha kuwa ni mke wake wa ndoa bado si kosa kisheria! hata mimi naweza kutangaza kuwa Salma ni mke wangu wakati bado ameolewa na mtu mwingine, mtanishtaki kwa kufunga ndoa na Salma wakati bado kaolewa. Well you can't!