Video: Si kuibiwa ni kuzidiwa!

Video: Si kuibiwa ni kuzidiwa!

Status
Not open for further replies.
ha ha ha ushaanza vilio, go ahead and report mkuu.
Wewe unashikilia tuhuma dhidi ya Slaa kuwa ni za kweli, kwa nini tuhuma dhidi yako ziwe za uongo.

Narudia swali. je wewe ni mbakaji?

Wewe unataka kuleta bullying hapa, kwa tuhuma zisizo na ukweli hata kidogo, the lowest level of attacks, unatunga story tu.
 
Hili kosa alilofanya huyu SLAA ni kosa kubwa, na mbaya zaidi mnalifurahia, uzuri wa vitu kama hivi, Mungu anavinoti na kuvilipisha hapahapa duniani. Ngoja kesho ije iwe zamu yako. Asilimia 80 ya wanawake, ROSTAM na mapesa yake akiwashawishi watakimbia nyumba zao. asilimia 99.999 ya wanaume wakifikwa na mwanamke mwenye fwedha watakimbia nyumba zao. LEO mnajifanya kwamba mtu kukimbia ni kulemewa na si ushawishi wa KISHETANI wa kupora wake za watu sio??

OLE WAO wanaocheka leo. SWALA la mke na uporaji, Mungu halivumilii kamwe nitakukubusha mfalme DAUDI na mwanamke aliyemchugulia. Nitakukubusha FARAO na yule MKE wa JOSE baada ya jose kujidai ni dada yake. OLE WAO wanaofurahia UZINZI, amini nawaambieni jua halitakuchwa.

SODOMA NA GOMOLA Mungu aliitekeketeza kwa sababu ya UPUMBAFU kama huu.

WEWE unayesema ndoa tangu march, NDOA ya kikisritu wanandoa wanaweza ishi kwa kutenganishwa kutokana na sababu fulani wakati juhudi za kuwapatanisha zikiendelea wanaweza ishi hata miaka 10 ama maisha yako yote.

SLAA kafeli SAKRAMENTI ya upadiri KAFELI SAKRAMENTI ya NDOA na hata ile iliyo rahisi SAKRAMENTI ya KITUBIO nayo KAFELI mnategemea ataweza nini?

Watu wanaacha siasa zitawale mambo yanayotakiwa kuamuliwa na basic decency tu.

Kukaa kinyumba na mke wa mtu ni kitu kibaya kinachopaswa kulaaniwa, simple like that.
 
Wewe unataka kuleta bullying hapa, kwa tuhuma zisizo na ukweli hata kidogo, the lowest level of attacks, unatunga story tu.

Hii sio bullying ... usitafute huruma ya wasomaji.
Natumia tu the same standard unayoitumia dhidi ya Slaa.
Wewe umetuhumiwa hapa na FMES kuwa ulibaka na kisha kukimbia na mke wa rafiki yako.

Je hizi habari ziaminiwe au la?
 
Watu wanaacha siasa zitawale mambo yanayotakiwa kuamuliwa na basic decency tu.

Kukaa kinyumba na mke wa mtu ni kitu kibaya kinachopaswa kulaaniwa, simple like that.

Naona umeanza kubadili tone, ulianza kuwa Dr Slaa hafai kuwa raisi na sasa unataka tu alaaniwe BUT apewe uraisi ili aikomboe Tanzania. .... hureeee

One down, two to go
Sasa hivi kuhusu tuhuma za ubakaji?
 
Na pale Slaa anapomtambulisha huyu mke wa mtu kama mke wake kwa wapiga kura na hilo nalo ni jambo la chumbani ?

Hilo ni kosa lake yeye na huyo mke wa mtu ambaye hakutaka kusahihisha au amekubali kuwa kweli yeye tayari ni mke wa mtu mwingine. Lakini hilo halisemi lolote juu ya haki yako wewe au mimi kulaani kwa sababu hawa wote wawili ni watu wazima wenye akili timamu.
 
It is a matter of degree.

A statesman asked a woman, are you prepared to sleep with me for a million dollars. The woman replied, for that kind of money I would.Then the statesman asked again, how about for two dollars? The woman replied "Mr. what kind of woman do you take me for ?"

The statesman replied, we have already establish what kind of a woman you are (one that could sleep with a man for money0 the only thing we are trying to establish is the price.

Slaa kashajiwekea doa katika integrity yake (kuna swala la kumu introduce huyu mama kama mke wake kwa wapiga kura, swala hili linaondoa issue chumbani na kuiweka kwa watu wote)

Kwa hiyo Slaa kashajiondolea halo ya integrity, tunachoangalia ni price tag yake tu, na kama kaweza kuanguka namna hii hanipi matumaini kwamba ana resistance ya kukataa ufisadi wa hela kubwa akichukua nchi (theoreticaly speaking, we both predicted hawezi kuchukua nchi)

Mkuu Kiranga mbona akina Tumaini, MS, wamekuacha peke yako?

Ukweli ni kuwa hii hoja imekuwa ngumu kwako na umetufanya hata sisi tujue your true colour, which is not bad, katiba inakuruhusu.
 
Hilo ni kosa lake yeye na huyo mke wa mtu ambaye hakutaka kusahihisha au amekubali kuwa kweli yeye tayari ni mke wa mtu mwingine. Lakini hilo halisemi lolote juu ya haki yako wewe au mimi kulaani kwa sababu hawa wote wawili ni watu wazima wenye akili timamu.

Mgombea urais kudanganya wananchi si kosa ? Haya si ndiyo mambo tunayoyapiga vita kila siku? Kwamba wagombea wawe wakweli na wawazi.
 
Watu wanaacha siasa zitawale mambo yanayotakiwa kuamuliwa na basic decency tu.

Kukaa kinyumba na mke wa mtu ni kitu kibaya kinachopaswa kulaaniwa, simple like that.


Tatizo ni kuwa bado unaona Dr. Slaa ana makosa. Hutaki kusema haki ya mwanamke huyo aliye mke wa mtu kuamua kutoka. Huyo mwanamke alijijua kuwa alikuwa ameolewa na kuwa bado hajapata talaka kutoka kwa mumewe. Na akaamua kuingia na kuishi na mtu mwingine. Huu ni uamuzi wake wa kiakili. Siyo wewe au mimi ambao tuna haki ya kumwambia "rudi kwa mumeo" au kumwambia Dr. Slaa ambaye naye aliakuwa peke kuamua kuishi naye.
 
Mgombea urais kudanganya wananchi si kosa ? Haya si ndiyo mambo tunayoyapiga vita kila siku? Kwamba wagombea wawe wakweli na wawazi.

Acha uongo wewe, hoja zote za mabaya ya ccm huwa umejificha mbali kabisaaaaa.
 
Watu wanaacha siasa zitawale mambo yanayotakiwa kuamuliwa na basic decency tu.

Kukaa kinyumba na mke wa mtu ni kitu kibaya kinachopaswa kulaaniwa, simple like that.

KAANGALIE neno UFISADI kwenye biblia maana yake halisi ni uporaji wa wake za watu, mengineyo ni equivalent tu. Angalia SLAA hana huruma kwa MAHIMBO alivyomuibia mke na watoto, mnategemea atakuwa na huruma na wangojwa pale mhimbili?

SLAA kafeli SAKRAMENTI ya upadirisho KAFELI sakramenti ya NDOA, na ya KITUBIO nayo KAFELI ataweza nini?
 
Mgombea urais kudanganya wananchi si kosa ? Haya si ndiyo mambo tunayoyapiga vita kila siku? Kwamba wagombea wawe wakweli na wawazi.

Namkumbuka mmoja alisimama na kusema kuwa "I didn't have sexual relationship with that woman". Lakini, vile vile kamasema ukweli kwamba yuko na huyo mwanamke. Watu wanajua hivyo, hakuwadanganya. Labda maneno ambayo ametumia siyo sahihi lakini katika jamii yetu neno "mke na mume" halimaanishi watu wa ndoa tu za kanisani au serikalini. Zinatumika kuelezea watu wawili walioamua kuishi kwa hiari yao kama mume na mke.
 
Nishakujibu hapo juu kuhusu hizi hadithi za uongo, ukiendeleza hii line of harassment and distractions from the thread nitakureport kwa mods.

Umeanza kuwa mkali sasa, na wewe utashtakiwa kwa mods kwa kumharass Dr. Slaa kwa tuhuma za udaku
 
Mkuu Kiranga mbona akina Tumaini, MS, wamekuacha peke yako?

Ukweli ni kuwa hii hoja imekuwa ngumu kwako na umetufanya hata sisi tujue your true colour, which is not bad, katiba inakuruhusu.

Ha ha ha,
The first time nimesema hapa kuwa Kiranga ni mtetezi wa mafisadi wa ccm, aliruka kimanga na kuna watu walimwamini. Mimi nilimjua siku nyingi sana.

Anachofanya kiranga, ni kudanganya wasomaji wake wamuone kuwa anakosoa kila mtu. Ukweli ni kwamba, target yake kubwa ni chadema - Slaa, Regia, Shibuda na wengineo.

Katika siku 30 zilizopita, Kiranga amepost vitu vingi akipondea chadema kuliko alivyopondea ccm. Kama anabisha hili anipinge.
 
KAANGALIE neno UFISADI kwenye biblia maana yake halisi ni uporaji wa wake za watu, mengineyo ni equivalent tu. Angalia SLAA hana huruma kwa MAHIMBO alivyomuibia mke na watoto, mnategemea atakuwa na huruma na wangojwa pale mhimbili?

Wizi wa EPA, ndio wizi, wizi wa fedha za umma ni wizi. Mahimbo hakuibiwa mke wake. Mke aliamua kumuacha mume wake kwa hiari yake na kuwa na Dr. Slaa. Haijabiwa wala kutekwa. Unless neno kuiba limepoteza maana.

SLAA kafeli SAKRAMENTI ya upadirisho KAFELI sakramenti ya NDOA, na ya KITUBIO nayo KAFELI ataweza nini?

Hajafeli Upadriso (aliacha kwa hiari), hajafeli ndoa (kwani hajaoa) na hajafeli kitubio (kwani wewe si muungamishi wake).
 
Mkuu Kiranga mbona akina Tumaini, MS, wamekuacha peke yako?

Ukweli ni kuwa hii hoja imekuwa ngumu kwako na umetufanya hata sisi tujue your true colour, which is not bad, katiba inakuruhusu.

Uzuri wangu sitafuti sifa, na wala siogopi lawama.

Ukishakuwa na mindset kama hii utakuwa huru kusema unachofikiri bila kujali watu watakufikiriaje. Wanaonijua wanajua nishawabana CCM na Kikwete sana tu, sasa natumia kanunu hizo hizo kuwabana CHADEMA watu wananiona mwanga.
 
KAANGALIE neno UFISADI kwenye biblia maana yake halisi ni uporaji wa wake za watu, mengineyo ni equivalent tu. Angalia SLAA hana huruma kwa MAHIMBO alivyomuibia mke na watoto, mnategemea atakuwa na huruma na wangojwa pale mhimbili?

SLAA kafeli SAKRAMENTI ya upadirisho KAFELI sakramenti ya NDOA, na ya KITUBIO nayo KAFELI ataweza nini?

msomi wetu wa porrraaandi naye ameingia. biblia gani unatumia hapa, ya wakatoliki, wapentekoste, ya wasabato, kiswahili cha kisasa au ipi?
 
Hili kosa alilofanya huyu SLAA ni kosa kubwa, na mbaya zaidi mnalifurahia, uzuri wa vitu kama hivi, Mungu anavinoti na kuvilipisha hapahapa duniani. Ngoja kesho ije iwe zamu yako. Asilimia 80 ya wanawake, ROSTAM na mapesa yake akiwashawishi watakimbia nyumba zao. asilimia 99.999 ya wanaume wakifikwa na mwanamke mwenye fwedha watakimbia nyumba zao. LEO mnajifanya kwamba mtu kukimbia ni kulemewa na si ushawishi wa KISHETANI wa kupora wake za watu sio??

OLE WAO wanaocheka leo. SWALA la mke na uporaji, Mungu halivumilii kamwe nitakukubusha mfalme DAUDI na mwanamke aliyemchugulia. Nitakukubusha FARAO na yule MKE wa JOSE baada ya jose kujidai ni dada yake. OLE WAO wanaofurahia UZINZI, amini nawaambieni jua halitakuchwa.

SODOMA NA GOMOLA Mungu aliitekeketeza kwa sababu ya UPUMBAFU kama huu.

WEWE unayesema ndoa tangu march, NDOA ya kikisritu wanandoa wanaweza ishi kwa kutenganishwa kutokana na sababu fulani wakati juhudi za kuwapatanisha zikiendelea wanaweza ishi hata miaka 10 ama maisha yako yote.

SLAA kafeli SAKRAMENTI ya upadirisho KAFELI SAKRAMENTI ya NDOA na hata ile iliyo rahisi SAKRAMENTI ya KITUBIO nayo KAFELI mnategemea ataweza nini?

Kiranga hataisoma hii post cos haamini katika Mungu
 
Sio hayo tu,

ana tuhuma kibao hapa za ubakaji ... namsubiri aje kuzijibu kisha mada iendelee

Duh....hakika watoto wa Mama Tanzania wanafanana sana, kama Sofia Simba vile....
 
Uzuri wangu sitafuti sifa, na wala siogopi lawama.

Ukishakuwa na mindset kama hii utakuwa huru kusema unachofikiri bila kujali watu watakufikiriaje. Wanaonijua wanajua nishaibana CCM na Kikwete sana tu, sasa natumia kanunu hizo hizo kuwabana CHADEMA watu wananiona mwanga.

Acha uongo Kiranga,

Leta mabandiko yoyote ya kuonesha umeibana (kwa sana) ccm na kikwete for the last 30 days. hii ndiyo prime time, hapa ndipo watu wanaonesha wako wapi, je wewe so far uko upande gani?
 
Wizi wa EPA, ndio wizi, wizi wa fedha za umma ni wizi. Mahimbo hakuibiwa mke wake. Mke aliamua kumuacha mume wake kwa hiari yake na kuwa na Dr. Slaa. Haijabiwa wala kutekwa. Unless neno kuiba limepoteza maana.



Hajafeli Upadriso (aliacha kwa hiari), hajafeli ndoa (kwani hajaoa) na hajafeli kitubio (kwani wewe si muungamishi wake).

SLAA kafeli SAKRAMENTI ya upadirisho KAFELI sakramenti ya NDOA, na ya KITUBIO nayo KAFELI ataweza nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom