Video: Maulid Kitenge yuko Qatar kikazi ama kula bata?

Nauliza tu yuko Qatar kikazi ama kuponda raha? Na nani anagharamikia hizi anasa? Isije kuwa tu ni kodi zetu.

Unaumizwa na matumizi ya mwanamume mwenzio? Mbuzi weee, mind your own business, acha chuki na husda, katafute pesa ule raha
 
Nauliza tu yuko Qatar kikazi ama kuponda raha? Na nani anagharamikia hizi anasa? Isije kuwa tu ni kodi zetu.

Duh....
Mshikaji hangaika na maisha yako, Kitenge anakula aliyoyahangaikia. Hata kama ni kodi zenu, kazihangaikia mpaka kapata access ya kuzila.

Ukiendelea na mawazo na fikra za aina hii, si tu kwamba utakufa ukiwa maskini, ila utaacha urithi mkubwa sana wa ufukara kwa vizazi vyako vyote.

Fikiria watoto wako, fikiria wajukuu zako, fikiria vitukuu vyako, anza kuwatengenezea utajiri wao sasa.
 
Back
Top Bottom