Maulid Kitenge adai kwamba watu wanaopinga kubinafsishwa kwa Bandari hawajawahi hata kufika Bandarini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,778
218,404
Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika, sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai, kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua sintofahamu.

Wengine wameenda mbali sana kwamba kama ni lazima ufike sehemu unayoipinga kuuzwa, na wale wanaopinga Ushoga waliwahi kufika wapi?

Nadhani Maulid Kitenge anapaswa kwenda taratibu na huo Uchawa wake, huko tuendako itakuja kusababisha Sintofahamu.

====

kitenge.jpg


Mtangazaji Maulid Kitenge amesema, kitendo cha watu mbalimbali kupotosha kuhusu ukweli mkataba wa uendeshaji na uendelezaji wa bandari za Tanzania, wamemua kufunga safari hadi Dubai Falme za Kiarabu yalipo makao makuu ya kampuni ya DP WORLD inayotegemea kupewa dhamana ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari za Tanzania ili kupata ukweli wa jambo hilo ili kuwaelimisha wananchi ukweli kuhusu mkataba huo.

Kitenge amewatupia lawama baadhi ya Watanzania wanaopotosha ukweli kuhusu mkataba wa ukodishwaji wa bandari za Tanzania huku akisema wengi wao hawaifahamu bandari na hawajawahi hata kutumia huduma za Bandari.

"Kuna watu wako Maneromango huko unakuta wanapotosha kwamba bandari yetu imeuzwa wakati hawajawahi kufika hata bandarini, jamani bandari haiuzwi, inafanyiwa tu uwekezaji"

Chanzo: Jambo TV
 
Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini , kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika , sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai , kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua sintofahamu .

Wengine wameenda mbali sana kwamba kama ni lazima ufike sehemu unayoipinga kuuzwa , na wale wanaopinga Ushoga waliwahi kufika wapi ?

Nadhani Maulid Kitenge anapaswa kwenda Taratibu na huo Uchawa wake , huko tuendako itakuja kusababisha Sintofahamu
Yuko sahihi kabisa ,hata wewe lini ulifika bandarini

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Ole wao wanaotunga sheria zisizo za haki, watu wanaopitisha sheria za kukandamiza. Huwanyima maskini haki zao, na kuwaibia maskini wa watu wangu maslahi yao. Wajane wamekuwa nyara kwao; yatima wamekuwa mawindo yao. Je, mtafanya nini siku ya adhabu, siku dhoruba itakapowajieni kutoka mbali? Mtamkimbilia nani kuomba msaada? Mtakwenda wapi kuweka mali yenu? Litakalowabakia ni kujikunyata kati ya wafungwa na kuangamia pamoja na wanaouawa vitani. Hata hivyo, hasira ya Mwenyezi-Mungu haijatulia, bado ameunyosha mkono wake
 
Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini , kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika , sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai , kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua sintofahamu .

Wengine wameenda mbali sana kwamba kama ni lazima ufike sehemu unayoipinga kuuzwa , na wale wanaopinga Ushoga waliwahi kufika wapi ?

Nadhani Maulid Kitenge anapaswa kwenda Taratibu na huo Uchawa wake , huko tuendako itakuja kusababisha Sintofahamu
Herding behavior is an occurrence of thoughtful people suspending their reasoning because of group objective or fear of their leaders, (unyumbu), kujitoa ufahamu
 
Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini , kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika , sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai , kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua sintofahamu .

Wengine wameenda mbali sana kwamba kama ni lazima ufike sehemu unayoipinga kuuzwa , na wale wanaopinga Ushoga waliwahi kufika wapi ?

Nadhani Maulid Kitenge anapaswa kwenda Taratibu na huo Uchawa wake , huko tuendako itakuja kusababisha Sintofahamu
Kitenge sio wa kumpa attention sana kwanza ana division zero form six pale Al Haramain
 
Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini , kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika , sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai , kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua sintofahamu .

Wengine wameenda mbali sana kwamba kama ni lazima ufike sehemu unayoipinga kuuzwa , na wale wanaopinga Ushoga waliwahi kufika wapi ?

Nadhani Maulid Kitenge anapaswa kwenda Taratibu na huo Uchawa wake , huko tuendako itakuja kusababisha Sintofahamu
Kitenge ni takataka kama takataka zingine za uswazi! haya ni form 4 failures hivyo kuingia kwenye technical arguments naye ni kujishishia hadhi, size zake ni Msukuma
 
Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini , kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika , sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai , kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua sintofahamu .

Wengine wameenda mbali sana kwamba kama ni lazima ufike sehemu unayoipinga kuuzwa , na wale wanaopinga Ushoga waliwahi kufika wapi ?

Nadhani Maulid Kitenge anapaswa kwenda Taratibu na huo Uchawa wake , huko tuendako itakuja kusababisha Sintofahamu
Nazidi kumuelewa LISSU kuhusu waandishi wa habar waliopewa 6m
 
Back
Top Bottom