Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,190
- 13,734
Ila hapa muisrael amechemka unaachaje kupambana na hamas unapiga tu majengo ya vyombo vya habari
Intel yao ipo juu,ukiona jengo linashushwa wana kitu wanakitarget,hawashushi jengo kiholela.
Ila hapa muisrael amechemka unaachaje kupambana na hamas unapiga tu majengo ya vyombo vya habari
Israel inashambulia majengo marefu sio kwasababu ya Hamas kufanyia shuglizao, bali Hamas wanatumia majengo hayo marefu kufyatulia makombora yanayotua kwenye miji mikubwa ya Israel
israel anaangusha majengo wakati hamas wanazidi kukomboa vitongoji kazaa jana marekani imetuma wanajeshi wake kadhaa huko
Vita kati ya Israel na Iran ni Vita ambayo haitatokea na ikitokea dunia itasimamaKwaninj Iran asipeleke jeshi hapo Gaza awafundishe adabu mazayuni
Hamas waache uchokoziWala haizunishi kuliko Msumbiji alshabab na isis wanachinja watu na hamna tamko lolote la kulaani kutoka kwenu. Israel iendelee na huu huu msimamo. Walijitakia wenyewe.
NO MERCY
Hayo majengo ndo hutumika kwa propagandaKuangusha hilo jengo kutamsaidia nini
Hamas lazima wamalizweHilo jengo limekuwa targeted kwasababu Israel inasema linatumiwa na Hamas pia.. Hamas wanafanya shughuli zao humo kwa mgongo wa media
Ndo Shughuli zenyewe hizo sasa.Israel inashambulia majengo marefu sio kwasababu ya Hamas kufanyia shuglizao, bali Hamas wanatumia majengo hayo marefu kufyatulia makombora yanayotua kwenye miji mikubwa ya Israel
IAF ndio jeshi la anga lenye precision duniani, hebu fikiria eneo lao lolivyo dogo ila ndege 160 hurukaIla tuache utani Hicho kikosi cha anga cha Israel ni balaa, yani ghorofa imeshushwa utadhani ilijengwa na matope
Ujumbe umetumwa kwa Iran kuwa wana bomu linaloweza shusha jengoDah! Israel habari nyingine, yaani kombora linashusha jengo moja na kuacha mengine.
Hapo wametuma ujumbe fulani na umepokelewa na walengwa.
We mkenya hiv una akili kwel..hakuna bomu la kutupwa na ndege linaweza shusha hilo jengo kwa namna hiyo..hilo jengo limekua demolished kwa...kabomu kajuu ni ka kuzugia tu...na ndo kilichofanyika hata 11/9...na ndomana siajabu watu wa humo waliambiwa watoke kwenye hilo jengo....kinachofanyika ni kwenye foundation ya hilo jengo vinawekwa vilipuzi kwa mshazali..yaan kwenye slope. Vinachimbiwa kwenye nguzo zinazoshikilia jengo halaf vinalipuliwa....kama kombora la juu ungeona uharibifu unaanzia juu..punkDah! Israel habari nyingine, yaani kombora linashusha jengo moja na kuacha mengine.
Hapo wametuma ujumbe fulani na umepokelewa na walengwa.
AiseeHigh tech demolition.. jengo moja tuu ndio lina dondoka.. mengine hata hayatikisiki.
Israel interagencia yao ndefu. Kila wanapopiga wanapolenga kupiga ujue wanajua kabisa kuna washambulia wa Hamas wamejificha hapo,na ndipo wanapotokea kufanya mashambulizi dhidi ya Israel. Na ile hali ya kuwaataarifu,ni kuwatoa wasiohusika,hata wakitoroka na wanaohusika wanachotaka ni kusambaratisha maeneo yote ngome za Hamas. Ndio maana walivyowataarifu saa moja tu ya kuondoka,mwenye jengo akaomba muda zaidi,Israel wakakataa kwa maana hawakutaka kuwapa nafasi ya kuhamisha vifaa zaidi vya Hamas.Hawa jamaa ni marafiki, wanatiana tu adabu...hawana shida ya kuua, kumbe na taarifa wanapeana, hii imekaaje???
... mmiliki wa jengo ni kati ya wafadhili wakuu wa magaidi - HAMAS. Lengo ni kupunguza mirija ya ugaidi.Ila hapa muisrael amechemka unaachaje kupambana na hamas unapiga tu majengo ya vyombo vya habari
We mkenya hiv una akili kwel..hakuna bomu la kutupwa na ndege linaweza shusha hilo jengo kwa namna hiyo..hilo jengo limekua demolished kwa...kabomu kajuu ni ka kuzugia tu...na ndo kilichofanyika hata 11/9...na ndomana siajabu watu wa humo waliambiwa watoke kwenye hilo jengo....kinachofanyika ni kwenye foundation ya hilo jengo vinawekwa vilipuzi kwa mshazali..yaan kwenye slope. Vinachimbiwa kwenye nguzo zinazoshikilia jengo halaf vinalipuliwa....kama kombora la juu ungeona uharibifu unaanzia juu..punk