johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
Waziri wa Foreign mh Blinken amesema Marekani haitaunga mkono wazo lolote la kushawishi Wapalestina waondolewe Gaza na badala yake Wapalestina watarejea Kwenye makazi yao hali itakaporuhusu baada ya Vita kwisha
Blinken alikuwa anaongea na Waandishi wa habari wa Kimataifa jijini Tel aviv nchini Israel
Source Al jazeera news
Mlale unono
Blinken alikuwa anaongea na Waandishi wa habari wa Kimataifa jijini Tel aviv nchini Israel
Source Al jazeera news
Mlale unono