johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,038
Mwandishi wa Al jazeera Wael Al Dahdouh amepata janga lingine baada ya mtoto wake Hamza kuuawa Kwenye shambulio la IDF akiwa Kwenye gari
Awali idf walishawauwa mke na Watoto wengine wa Wael
Source Al jazeera news
Hawa Israel ni kama Wamepagawa
Awali idf walishawauwa mke na Watoto wengine wa Wael
Source Al jazeera news
Hawa Israel ni kama Wamepagawa