The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Sijui kama Mgombea Urais wa CCM mwaka huu ndg John Pombe Magufuli anaijua kwa ufasaha historia ya nchi anayoingoza na kuielezea mbele ya kadamnasi kama hii kwa ufasaha kama afanyavyo huyu msomi wa viwango vya juu kabisa, Mh. Rais wa JMT ndugu Tundu Lissu.
Ni wazi kuwa Bw. John Pombe Magufuli anachojua ni kukariri statement za kimazoea tu za waliomtangulia za kusema;
" .....nitaulinda muungano kwa gharama yoyote ile...."
Hebu tumshauri huyu msomi bandia wa udaktari wa korosho na kemia wa kupewa ajifunze historia ili kila analofanya awe anajua maana yake.
Na kumwambia hivi, kamwe siyo dhambi wala kumkosea heshima hata kidogo.
Tazama, sikiliza na kisha elewa👇
Ni wazi kuwa Bw. John Pombe Magufuli anachojua ni kukariri statement za kimazoea tu za waliomtangulia za kusema;
" .....nitaulinda muungano kwa gharama yoyote ile...."
Hebu tumshauri huyu msomi bandia wa udaktari wa korosho na kemia wa kupewa ajifunze historia ili kila analofanya awe anajua maana yake.
Na kumwambia hivi, kamwe siyo dhambi wala kumkosea heshima hata kidogo.
Tazama, sikiliza na kisha elewa👇