PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,521
- 13,110
Sahihi kabisa.Wakati wa Mungu !!!!.......ipo siku Jux naye atatrend na mama kijacho wake
Sahihi kabisa.Wakati wa Mungu !!!!.......ipo siku Jux naye atatrend na mama kijacho wake
HahahahaKumbe kizazi cha Vanessa kilikuwa Ok
Jux GhalibMtoto aitweJux
Jux Ghalib
we mzee hulali? au upo kilingeni
umejuajeeewe mzee hulali? au upo kilingeni
Uyo mayai aliyatafuna na chipsiTunamsubiri Wema...watoto ni baraka
Zali halina mentali,mentali ndo mwenye zaliNa wataachana tu.
Ikiwa na maana kwamba?Zali halina mentali,mentali ndo mwenye zali
Teknolojia imekua,unaweza kujua jinsia ya mtoto hata kabla ya kuzaliwaHapo jana msanii kutoka Tanzania Vanessa Mdee a.k.a Veemoney alipost katika account yake ya Instagram Kuwa anamimbi na kusema anatarajia kujifungua mtoto wa kiume.
Hivyo kulingana na post hiyo inasemekana Vanessa Mdee tayari kashajifungua mtoto wa kiume hivyo ndio maana alisema anategemea mtoto wa kiume hivyo ukiconnect dots utajua tayari Vanessa Mdee anamtoto.
Na hii imekuwa kama tabia ya watu maarufu kuzaa Kwanza ndipo kupost Kuwa wanatarajia kuzaa
Inamaana jux alikuwa hajui kuipiga mbususu analeta usharobaroHongera zake kawasha moto hadi kime elewekaa.
Maana mdogo wangu Jux bado anang'ata ulimi.Na kulegeza midomo na sauti kashindwa kumtandika Dem vanesa Mkuyengee wakuelewekaa.
Any way... Ndo life la mtu.