True Story: Jinsi mama wa msichana alivyovuruga mahusiano yangu

Bukoba Finest

JF-Expert Member
Jul 13, 2023
250
314
Jinsi mama wa msichana alivyovuruga mahusiano yangu.

Hii ni true story

Mwaka 2019 nilimpata Binti wa kichaga akanipa condition moja tu kwamba kama nahitaji mahusiano naye basi natakiwa kujitambulisha kwa mama yake (Preliminary stage) hapo ndo tunaweza kuanzisha mahusiano na baadae tukaanza Mipango ya ndoa.

Nilifanya hivyo nikampigia mama yake simu nikajitambulisha, lakini muitikio haukuwa mzuri kwanza hakunipenda kwa sababu natokea ukanda wa akina "Nshomile".

Mimi baada ya kufanya hivyo kazi nikamuachia binti yake ndio aamue sasa nini cha kufanya of course mahusiano yaliendelea japo upinzani mwingi kwa mama yake, siku zikaenda mara ghafla ya katokea ya kutokea akafanikiwa kupata ujauzito. Tulifurahi sana.

Lakini kwa upande wa mama yeye hakufurahishwa pamoja kuwa taratibu zote za kujitambulisha na kupeleka kishika uchumba zilishafanyika basi mama yake akawa anajiweka karibu yangu sana kumbe anang'ata na kupuliza.

Kamwe hakupenda nishike simu ya mtoto wake akidai simu ni mali ya mtu binafsi na yaliyomo ni siri yake, basi baada ya muda mpenzi wangu alifanikiwa kujifungua salama lakini baada ya siku tatu Mungu alimchukua mtoto baada ya kupaliwa na maziwa akiwa ananyonya.

Hapo sasa ndo kisanga kilianza kwetu kwa akina kyoma huwa kuna dawa za kienyeji ambazo huwa zinatumiwa na mama kipindi akiwa mjamzito sasa kipindi mchumba wangu ni mjamzito alikataa kutumia hizo dawa akidai yeye hajawahi kutumia dawa za asili jambo ambalo mimi halikunipa wasiwasi kwani alikuwa anaudhuria clinic kama kawaida.

Basi mama yangu akasema huenda mtoto amekufa kwasababu mpenzi wako hakutumia dawa za kienyeji" ( Mtoto aligoma kunyonya siku mbili akanyonya ya tatu na akapaliwa hapo hapo). Bada ya mama kusema hivyo basi mama mkwe akawa anamwabia mtoto wake kuwa hizo dawa ni za mizimu, ni za kishirikina na ndo maana mtoto wako amefariki, story zilikuwa nyingi za kumkatisha tamaa mpenzi wangu japo mimi nilisimama kiume kwa sababu kuna rafiki yangu aliniambia kipindi hiki usipokuwa imara utaambiwa maneno mengi ya kukugombanisha na mwenzako"

Baada ya muda mpenzi wangu alibadilika sana ugomvi ukazidi ndani tukawa hatusikilizani kabisa, mpenzi wangu aliamua kumsikiliza mama yake na kuniacha na mimi niliona baadhi ya sms alizokuwa anamtumia. Mimi nilisimama kiume na baada ya miezi sita nikaanzisha mahusiano mapya (nilikata mawasiliano naye miezi miwili nyuma) Sijui ni bahati nzuri sijui mbaya niliyeanzisha naye mahusiano naye ni mchaga pia😤.

Tukawa tunaendelea na mahusiano yetu lakini mimi moyo wangu haukuwa real kwake kwasababu nilimpenda yule wa kwanza na tulikuwa na memories nyingi ngumu sana kuzisahau na kama ingetokea akanitext nilikuwa nafurahi sana. Baada ya mwaka mmoja na miezi kama miwili hivi mama mkwe wa kwanza akawa ananitumia ujumbe wa kwenye biblia unaonionya kwanini nilimfanya mwanae mke wangu wakati wa ujana wangu na nikamtenda roho iliniuma sana, na baadae mtoto wake alinitafuta akaniomba msamaha akasema yeye alishinikizwa na anaomba nimuoe ameshindwa kabisa kuwa na mahusiano mapya. Mpaka sasa hivi nimemsamehe na tunaishi pamoja niliamua kuvunja mahusiano yangu ya pili na tunaishi kwa furaha.

Je ungekuwa wewe ungeitikiaje kwenye hili, na pia nipe maoni yako kuhusu uamuzi wangu. Nawasilisha.
 
Wachaga/wasukuma unaolewa na mume wako au unao ila familia nzima imekua au umeolewa nayo....
Huna maamuzi kama ni kabila la nje....Wana hiyo tabia sanaaa haswa Kwa wachaga
Kila kitu ni msimamo wa mtu binafsi, kama hutaki ujinga kila mtu anakuelewa msimamo wako uko vipi.

Mimi najurikana vizuri tu hakuna mtu yeyote wa kuja kupanga maisha kwenye familia yangu.
 
Jinsi mama wa msichana alivyovuruga mahusiano yangu.

Hii ni true story

Mwaka 2019 nilimpata Binti wa kichaga akanipa condition moja tu kwamba kama nahitaji mahusiano naye basi natakiwa kujitambulisha kwa mama yake ( Preliminary stage) hapo ndo tunaweza kuanzisha mahusiano na baadae tukaanza Mipango ya ndoa.

Nilifanya hivo nikampigia mama yake simu nikajitambulisha, lakini muitikio haukuwa mzuri kwanza hakunipenda kwa sababu natokea ukanda wa akina "Nshomile".

Mimi baada ya kufanya hivyo kazi nikamuachia binti yake ndo aamue sasa nini cha kufanya of course mahusiano yaliendelea japo upinzani mwingi kwa mama yake, siku zikaenda mara ghafla ya katokea ya kutokea akafanikiwa kupata ujauzito. Tulifurahi sana.

Lakini kwa upande wa mama yeye hakufurahishwa pamoja kuwa taratibu zote za kujitambulisha na kupeleka kishika uchumba zilishafanyika basi mama yake akawa anajiweka karibu yangu sana kumbe anang'ata na kupuliza.

Kamwe hakupenda nishike simu ya mtoto wake akidai simu ni mali ya mtu binafsi na yaliyomo ni siri yake, basi baada ya muda mpenzi wangu alifanikiwa kujifungua salama lakini baada ya siku tatu Mungu alimchukua mtoto baada ya kupaliwa na maziwa akiwa ananyonya.

Hapo sasa ndo kisanga kilianza kwetu kwa akina kyoma uwa kuna dawa za kienyeji ambazo uwa zinatumiwa na mama kipindi akiwa mjamzito sasa kipindi mchumba wangu ni mjamzito alikataa kutumia hizo dawa akidai yeye hajawahi kutumia dawa za asili jambo ambalo mimi halikunipa wasiwasi kwani alikuwa anaudhuria clinic kama kawaida.

Basi mama yangu akasema uenda mtoto amekufa kwasababu mpenzi wako hakutumia dawa za kienyeji" ( Mtoto aligoma kunyonya siku mbili akanyonya ya tatu na akapaliwa hapo hapo). Bada ya mama kusema hivo basi mama mkwe akawa anamwabia mtoto wake kuwa hizo dawa ni za mizimu, ni za kishirikina na ndo maana mtoto wako amefariki, story zilikuwa nyingi za kumkatisha tamaa mpenzi wangu japo mimi nilisimama kiume kwa sababu kuna rafiki yangu aliniambia kipindi hiki usipokuwa imara utaambiwa maneno mengi ya kukugombanisha na mwenzako"

Baada ya muda mpenzi wangu alibadilika sana ugomvi ukazidi ndani tukawa hatusikilizani kabisa, mpenzi wangu aliamua kumsikiliza mama yake na kuniacha na mimi niliona baadhi ya sms alizokuwa anamtumia. Mimi nlisimama kiume na baada ya miezi sita nikaanzisha mahusiano mapya ( nilikata mawasiliano naye miezi miwili nyuma) Sijui ni bahati nzuri sijui mbaya niliyeanzisha naye mahusiano naye ni mchaga pia .

Tukawa tunaendelea na mahusiano yetu lakini mimi moyo wangu haukuwa real kwake kwasababu nlimpenda yule wa kwanza na tulikuwa na memories nyingi ngumu sana kuzisahau na kama ingetokea akanitext nilikuwa nafurahi sana. Baada ya mwaka mmoja na miezi kama miwili hivi mama mkwe wa kwanza akawa ananitumia ujumbe wa kwenye biblia unaonionya kwanini nilimfanya mwanae mke wangu wakati wa ujana wangu na nikamtenda roho iliniuma sana, na baadae mtoto wake alinitafuta akaniomba msamaha akasema yeye alishinikizwa na anaomba nimuoe ameshindwa kabisa kuwa na mahusiano mapya. Mpaka sasa hivi nimemsamehe na tunaishi pamoja niliamua kuvunja mahusiano yangu ya pili na tunaishi kwa furaha.

Je ungekuwa wewe ungeitikiaje kwenye hili, na pia nipe maoni yako kuhusu uamzi wangu. Nawasilisha.
Kama kawaida yao hao, mam mkwe kachekecha kaona mwanae hatoboi na jioni inaingia bila bila 🤣! Kitu kimewarudisha ni ile hali umemzalisha tayari ni ngumu sokoni kupata mtu akiwa used
 
Kila kitu ni msimamo wa mtu binafsi, kama hutaki ujinga kila mtu anakuelewa msimamo wako uko vipi.

Mimi najurikana vizuri tu hakuna mtu yeyote wa kuja kupanga maisha kwenye familia yangu.
Unakuta mwanaume ndo Hana msimamo
 
Kila kitu ni msimamo wa mtu binafsi, kama hutaki ujinga kila mtu anakuelewa msimamo wako uko vipi.

Mimi najurikana vizuri tu hakuna mtu yeyote wa kuja kupanga maisha kwenye familia yangu.
Naam kaka, ila this time mama yake hana hiyo nafasi tena
 
Je ungekuwa wewe ungeitikiaje kwenye hili.....Kwa kuwa hakua na mahusiano mengine hapo sina budi kurudi.

Kwa mi kitu ambacho kunirudisha kwa mpenzi wangu itakua ngumu yaani nisikie et tayari ana mtoto. Hapo itakua ngumu mazima

Na pia nipe maoni yako kuhusu uamzi wangu.
Ni uamuzi mzuri tena wa kibabe wenye kutaka moyo. Huyo mpenzi wako sasa kashajifunza vya kutosha na waliona kabisa angesuguaa sana maana real gentleman wapo wachache dunia imechafukwa
Nawasilisha
 
Je ungekuwa wewe ungeitikiaje kwenye hili.....Kwa kuwa hakua na mahusiano mengine hapo sina budi kurudi.

Kwa mi kitu ambacho kunirudisha kwa mpenzi wangu itakua ngumu yaani nisikie et tayari ana mtoto. Hapo itakua ngumu mazima

Na pia nipe maoni yako kuhusu uamzi wangu.
Ni uamuzi mzuri tena wa kibabe wenye kutaka moyo. Huyo mpenzi wako sasa kashajifunza vya kutosha na waliona kabisa angesuguaa sana maana real gentleman wapo wachache dunia imechafukwa
Nawasilisha
Ahsante sana. Hakuwahi kuwa na mahusiano na mimi Nampenda kweli. Yani kiufupi umechambua hili jambo kama vile unaelewa hali ya mahusiano yetu kwa sasa amebadilika, ananisikiliza na hataki mama yake kujihusisha na mahusiano yetu tena.
 
🤣🤣🤣Eeh kaletewa screpa,akamilishe nalo maisha,na wachaga ni vinga'ng'anizi sana,hasa wakiona sehemu Kuna maokoto.
Screpa inategemea na mwanamke anavyojitunza, kina Dida kila siku wanaolewa na wanaume wapya.

Kwahiyo siyo uungwana kumuita mwanamke screpa, mwanamke anaolewa hata akiwa kazaa Watoto watano kinachonama kujifunza na kuwa na mvuto. Refer kwa Zari Bosslady, ni Screpa au siyo Screpa kwa mtazamo wako?
 
Hapo nikuambie tu ya kwamba, mziki unakusubilia mbele si muda kitambo utachezeshwa kwata. Fanatic religious Kama alivyo mama mkweo ni wabaya sana tena mara nyingi ni wachawi.

Tukio la kupaliwa maziwa na kufa mtoto lichunguze...that was an indication kwa yanayokuja. Kumbuka yajayo hayafurahishi
 
Jinsi mama wa msichana alivyovuruga mahusiano yangu.

Hii ni true story

Mwaka 2019 nilimpata Binti wa kichaga akanipa condition moja tu kwamba kama nahitaji mahusiano naye basi natakiwa kujitambulisha kwa mama yake (Preliminary stage) hapo ndo tunaweza kuanzisha mahusiano na baadae tukaanza Mipango ya ndoa.

Nilifanya hivyo nikampigia mama yake simu nikajitambulisha, lakini muitikio haukuwa mzuri kwanza hakunipenda kwa sababu natokea ukanda wa akina "Nshomile".

Mimi baada ya kufanya hivyo kazi nikamuachia binti yake ndio aamue sasa nini cha kufanya of course mahusiano yaliendelea japo upinzani mwingi kwa mama yake, siku zikaenda mara ghafla ya katokea ya kutokea akafanikiwa kupata ujauzito. Tulifurahi sana.

Lakini kwa upande wa mama yeye hakufurahishwa pamoja kuwa taratibu zote za kujitambulisha na kupeleka kishika uchumba zilishafanyika basi mama yake akawa anajiweka karibu yangu sana kumbe anang'ata na kupuliza.

Kamwe hakupenda nishike simu ya mtoto wake akidai simu ni mali ya mtu binafsi na yaliyomo ni siri yake, basi baada ya muda mpenzi wangu alifanikiwa kujifungua salama lakini baada ya siku tatu Mungu alimchukua mtoto baada ya kupaliwa na maziwa akiwa ananyonya.

Hapo sasa ndo kisanga kilianza kwetu kwa akina kyoma huwa kuna dawa za kienyeji ambazo huwa zinatumiwa na mama kipindi akiwa mjamzito sasa kipindi mchumba wangu ni mjamzito alikataa kutumia hizo dawa akidai yeye hajawahi kutumia dawa za asili jambo ambalo mimi halikunipa wasiwasi kwani alikuwa anaudhuria clinic kama kawaida.

Basi mama yangu akasema huenda mtoto amekufa kwasababu mpenzi wako hakutumia dawa za kienyeji" ( Mtoto aligoma kunyonya siku mbili akanyonya ya tatu na akapaliwa hapo hapo). Bada ya mama kusema hivyo basi mama mkwe akawa anamwabia mtoto wake kuwa hizo dawa ni za mizimu, ni za kishirikina na ndo maana mtoto wako amefariki, story zilikuwa nyingi za kumkatisha tamaa mpenzi wangu japo mimi nilisimama kiume kwa sababu kuna rafiki yangu aliniambia kipindi hiki usipokuwa imara utaambiwa maneno mengi ya kukugombanisha na mwenzako"

Baada ya muda mpenzi wangu alibadilika sana ugomvi ukazidi ndani tukawa hatusikilizani kabisa, mpenzi wangu aliamua kumsikiliza mama yake na kuniacha na mimi niliona baadhi ya sms alizokuwa anamtumia. Mimi nilisimama kiume na baada ya miezi sita nikaanzisha mahusiano mapya (nilikata mawasiliano naye miezi miwili nyuma) Sijui ni bahati nzuri sijui mbaya niliyeanzisha naye mahusiano naye ni mchaga pia.

Tukawa tunaendelea na mahusiano yetu lakini mimi moyo wangu haukuwa real kwake kwasababu nilimpenda yule wa kwanza na tulikuwa na memories nyingi ngumu sana kuzisahau na kama ingetokea akanitext nilikuwa nafurahi sana. Baada ya mwaka mmoja na miezi kama miwili hivi mama mkwe wa kwanza akawa ananitumia ujumbe wa kwenye biblia unaonionya kwanini nilimfanya mwanae mke wangu wakati wa ujana wangu na nikamtenda roho iliniuma sana, na baadae mtoto wake alinitafuta akaniomba msamaha akasema yeye alishinikizwa na anaomba nimuoe ameshindwa kabisa kuwa na mahusiano mapya. Mpaka sasa hivi nimemsamehe na tunaishi pamoja niliamua kuvunja mahusiano yangu ya pili na tunaishi kwa furaha.

Je ungekuwa wewe ungeitikiaje kwenye hili, na pia nipe maoni yako kuhusu uamuzi wangu. Nawasilisha.
hili ndio jibu
IMG-20230618-WA0000.jpg


Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Screpa inategemea na mwanamke anavyojitunza, kina Dida kila siku wanaolewa na wanaume wapya.

Kwahiyo siyo uungwana kumuita mwanamke screpa, mwanamke anaolewa hata akiwa kazaa Watoto watano kinachonama kujifunza na kuwa na mvuto. Refer kwa Zari Bosslady, ni Screpa au siyo Screpa kwa mtazamo wako?
Kwangu huyu hawezi kuwa screpa maana nimeanza naye mahusiano akiwa bikra nimemmbebesha mimba mimi na hakuingia kwenye mahusiano tulipoachana
 
Hapo nikuambie tu ya kwamba, mziki unakusubilia mbele si muda kitambo utachezeshwa kwata. Fanatic religious Kama alivyo mama mkweo ni wabaya sana tena mara nyingi ni wachawi.

Tukio la kupaliwa maziwa na kufa mtoto lichunguze...that was an indication kwa yanayokuja. Kumbuka yajayo hayafurahishi
Naam, niliwaza maana mtoto aligoma kunyonya alivokubali kunyonya tu akapaliwa. I had unlimited questions with no answers but I had to move on.
 
Back
Top Bottom