faru joni
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 478
- 734
Wasukuma bwana, badala ya kurudi na msosi anarudi na mauwaMaua maua kipondoView attachment 470284
Wasukuma bwana, badala ya kurudi na msosi anarudi na mauwaMaua maua kipondoView attachment 470284
Usipate shida bonyeza *150*01# ok then tuma pesa.Wana jamvi naombeni ujumbe mzuri wa kiswahili wa valentine nimtumie kipenzi changu ambaye yupo mbali na mimi
Uwe mzuri sana mpaka apagawe kabisa na mimi mtoto wa kimakonde
singlet na hankerchief na socks mpnz ha ha haSweet Manka...my Valentine...I love you.
PS: This time sitaki boxer baby...
Thank u best, the same to you....Evelyn Salt happy valentine to you!!
Dah, sasa mnataka mpewe nini?Maua kwani sie nyuki...
Hahaha.
To you my dearest! Missing you a bunch!
Unamjua huyo Joanah au umependa jina na uchangiaji wake?shauri yako kuona kichaka unataka kunyaHello guys mkopoa nyie?
Nadhani nyote wazima, kwa wenye matatizo ya kiafya MUNGU awatie nguvu.
Kama nyote mnavyofahamu kesho ni siku gani kwa wasio fahamu kesho ni siku ya wapendanao VALENTINE DAY. So kwa yeyote ambaye ana mpenz wake humu (couples) au kuna mtu anampenda basi uwanja wenu huu. Mtag mtakie happy Valentine then mwambie maneno mazuri ya mapenz.
NIANZE MIMI.
Nakutakia happy Valentine the one and only kipenzi cha moyo wangu joanah
UJUMBE.
Nakupenda NAKUPENDA JOANAH sitachoka kusema kua NAKUPENDA, hata kama upo mbali na mimi na sijawahi kukuona lakini moyo wangu utaendelea kukupenda wewe tu. Hata kama huja ni approve mm kua naww lakini upendo wa upande mmoja ninaridhika nao. Listen my heart beat joanah it have been beating for you, NAKUPENDA JOANAH
DEDICATION SONG.
my love is unbreakable ___West life
Please maua yangu naomba uyapokee usiyachome moto... Cuz nikikuita Honey(asali) huwa unafurahia, sasa nitashangaa endapo utayachukia maua ya nyukiHappy valentines hubby, live long and remember everyday is our valentine.
Love you every second