Exogenous Factor
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 1,413
- 2,358
Kwa kureply comment yangu tu tiyari ishakuwa nzuri saaaaaanaaaaa,barikiwa sana nawe.Thenkyuuuuuuu! barikiwa sana na ukawe na siku njema na ya furaha ya wapendanao!
Kwa kureply comment yangu tu tiyari ishakuwa nzuri saaaaaanaaaaa,barikiwa sana nawe.Thenkyuuuuuuu! barikiwa sana na ukawe na siku njema na ya furaha ya wapendanao!
Aminaaaaaaaaaa hallelujah!!Kwa kureply comment yangu tu tiyari ishakuwa nzuri saaaaaanaaaaa,barikiwa sana nawe.
Jona kajibu au macho yangu(p.baby) nakupenda sana haijarishi ni umbali gani uliopo kati yetu,
sijaona mwanaume kama wewe.
Nimekuweka sehemu nyeti moyoni mwangu.
Nakupenda
nakujari
nakuheshimu
nakuthamini.
"no one like "
HAPPY VALENTINE MY LOVE:
Sawa...
Foxy povu tenaa= Valentine's
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Upuuzi mtu, mnasherehekea ushaitwan.
Nimeyapenda maneno yako kwa mpenz wako.(p.baby) nakupenda sana haijarishi ni umbali gani uliopo kati yetu,
sijaona mwanaume kama wewe.
Nimekuweka sehemu nyeti moyoni mwangu.
Nakupenda
nakujari
nakuheshimu
nakuthamini.
"no one like "
HAPPY VALENTINE MY LOVE:
Pole na wewe kwa kutupa polePoleni sana...
Si ujenge tu mkuu kwani umenyimwaNyie ndio mnaotucheleweshea tanzania ya viwanda kwa kuwaza ujinga kama huu.
Dah.... Masaidada yupo kweli? Nimemmiss kinoma nomaMasaidada mpenzi rudi mpenzio nilishakutafuta sana...!

Jibu zuri sana big upSi ujenge tu mkuu kwani umenyimwa