Valentines Special Thread 2017

Valentines Special Thread 2017

Sasa joanah anatakiwa aseme ni yupi sababu hata mimi.....namtakia heri ya siku ya wapendanao.....
 
Maua maua kipondo
16464209_625970147593756_292295081661038592_n.jpg
 
(p.baby) nakupenda sana haijarishi ni umbali gani uliopo kati yetu,
sijaona mwanaume kama wewe.
Nimekuweka sehemu nyeti moyoni mwangu.

Nakupenda
nakujari
nakuheshimu
nakuthamini.

"no one like "

HAPPY VALENTINE MY LOVE:
Nimeyapenda maneno yako kwa mpenz wako.
 
Dah... Siku hii huwa ngumu sana kwangu.....ndiyo maana huwa naamua nikae job tu hadi saa 8 Usiku niepushe Shari
 
Wana jamvi naombeni ujumbe mzuri wa kiswahili wa valentine nimtumie kipenzi changu ambaye yupo mbali na mimi

Uwe mzuri sana mpaka apagawe kabisa na mimi mtoto wa kimakonde
 
Back
Top Bottom