Valentines Special Thread 2017

Valentines Special Thread 2017

Mtumie ujumbe huu,

"Escobar amekutumia Tsh 1,000,000 ukafanye shopping ya valentines. Kama pesa itapungua usiogope kunicheck nikuongezee. Enjoy.
 
* VALENTINE IS COMING SOON.. 14/02/2017..... *,Naomba uninunulie tunda moja kati ya haya la Zawadi Ya Siku Hiyo:-
1. Nanasi- aliye bora zaidi.
2. Ndizi- mahusiano ya dhati.
3. Embe- mahaba ya kudumu.
4. Chungwa- mimi na wewe milele.
5. Apple- mapenzi ya moyoni
6. Limao- usaliti.
7. Pera- uaminifu wa kweli.
8. Parachichi- mapenzi ya muda.
9. Pasheni- urafiki wa kawaida.
10. Papai- asiye wa muhimu sana..
Mwenzio Nasubiria tunda utakalo nipa.
nine tuma kwako kwamaan we ndo kipenz cha moyo wangu. By ur ........................... Hiyo meseji kanitumia wife, ukiipenda ikopi
Mimi kwa dhati ya moyo wangu nakupa limau
 
= tukabarizi

Sawa, njoo pale swimming pool pub ya Kilimanjaro, agiza vinywaji unisubiri.
nitachelewa bibi naomba wew wahi mim napatia supermakert kuangalia zawadi ikufaayo ....Maana leo najitolea kukupaa upendo kuliko watu wote JF ...usiniangushe bi mkubwa .
ukipata bimkubwa kama huyu akulee raha sana ....nahisi naikaribia bahati yangu .
 
Cc: Madam B

Nakusubiri home...vipo vyooote uvipendavyo ewe moyo wangu.

Tukitoka home tutaenda Zanzibar kisha night club lakasa chika Tanga.
 
Salio lako jipya ni Tsh 500,000:umepokea Tsh 500,000 kutoka kwa Wakala - Mustapha Sailo kumbukumbu no.: CI.170104.1045.I4311619436. 14/02/17 08:24
 
..
Afadhali unautendea haki ubavu wako...wengine siujui wanafikiri tuliwazawadia tuuu
Ubavu wake mzee wa Mashushuooo Stunter ama? Haya na wewe Daby Leo umejipangaje kumtoa Lazizi out?
 
Naandika post [HASHTAG]#173[/HASHTAG]
Mimi hakuna aliyenitakia HV hata kwa kunitusi tu jamani
Hafu kesho mnasema tuko sawa
Haya HV my castle lagger
 
Back
Top Bottom