* VALENTINE IS COMING SOON.. 14/02/2017..... *,Naomba uninunulie tunda moja kati ya haya la Zawadi Ya Siku Hiyo:-
1. Nanasi- aliye bora zaidi.
2. Ndizi- mahusiano ya dhati.
3. Embe- mahaba ya kudumu.
4. Chungwa- mimi na wewe milele.
5. Apple- mapenzi ya moyoni
6. Limao- usaliti.
7. Pera- uaminifu wa kweli.
8. Parachichi- mapenzi ya muda.
9. Pasheni- urafiki wa kawaida.
10. Papai- asiye wa muhimu sana..
Mwenzio Nasubiria tunda utakalo nipa.
nine tuma kwako kwamaan we ndo kipenz cha moyo wangu. By ur ........................... Hiyo meseji kanitumia wife, ukiipenda ikopi