Valentine day;mchagulie member wa JF umpendae

Valentine day;mchagulie member wa JF umpendae

Saa hizi ulikuwa unafanya nini mtandaoni??

Au ni reharsal kwa ajili ya "V" day.......

We acha tu.
My V wangu kanitosa kweupe ati tu siingii jukwaani.....amesahau kuwa nina tenda JLW?Babu Dark City....Valentine day kesho nitakuwa huko Tanga....mwambie bibi aniandalie chumba cha kulala, maana sitaondoka
 
Last edited by a moderator:
Babu binamu The Boss anaingiaje hapa? Naona kizunguzungu.


Yahhaaaaaaa,

Kwani hujui kuwa mie na yeye ni wapenzi wa zawadi za Kimanzichana?

Yeye akirudi safari zawadi zake ni matenga ya nyanya chungu (this is special you know!!), magunia ya mikaa, matenga ya nyanya, vitunguu na matunda kibao + tabasamu la nguvu kwa bibi (likitanguliwa na kikohozi za kishikaji kutangaza kuwa mwenye mali kaja)....

Na swali tuliouliza kwa wadau enzi hizo ni kwamba, hizo zawadi siyo romantic??


I miss such debates......lol!!

Babu DC!!
 
We acha tu.
My V wangu kanitosa kweupe ati tu siingii jukwaani.....amesahau kuwa nina tenda JLW?Babu Dark City....Valentine day kesho nitakuwa huko Tanga....mwambie bibi aniandalie chumba cha kulala, maana sitaondoka


Chumba kipo tena cha kukutosha wewe na msindikizaji wako....

Ila naomba kukueleza kwa masikitiko kuwa hatutaweza kuonana this time....mie na bibi tunaenda kwenye party ya wastaafu huko Lushoto....ila kama unataka kukomazwa ungali katoto naweza kukupatia address!

Ningekuwa sijastaafu ningekuimbia huu wimbo....but any way.... Ni zawadui yangu kwa hata kwa wadau wengine ambao watakumbwa na mambo kama hayo!

 
Last edited by a moderator:
miss neddy, pokea zawadi number 6 yenye teddy bear and a bottle of chapagne.

Kula ujana.
 
Last edited by a moderator:
Miss neddy no 2 ni special kwako, tulikua tukitumia avatar ina moja ukachukia am sorry na happy valentine day.
 
Look on the brighter side. Enjoy it while it lasts.
Huwezi kuamini sasa hivi but ipo siku utamisi kweli kuwa alone miss neddy.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom