Valentine day;mchagulie member wa JF umpendae

Valentine day;mchagulie member wa JF umpendae

Muhali gani ma member wenzangu

Yaan ninamajonzi na masikitika sababu fakhina ametoa maua ya valentin day watu wapeane
Cha kushangaza maua yameisha cijapata hata moja jamani hata JEUSI.

hebu nipeni

Duh! Jeusiii?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mimi nawachagulia mom and dad mr and mrs Arushaone hayo maua mekundu yawe zawadi yangu kwao wakazidi kupendana kama mawingu na mvua
cc karucee


Ua jeupe limfikie new born kutoka kwa passion lady

Team bazazi wote atakaewahi kunipa ua nitamtoa out
9k=

9k=


Kama hilo binti yetu?



CC Lady doctor
 
Kwenye thread kama hii ndio unagundua una Gundu kiasi gani ........
 
Kwenye thread kama hii ndio unagundua una Gundu kiasi gani ........

Hahahahaha Ennie chagua hapo ulipendalo zawadi kutoka kwangu...

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Bado mnapeana maua tu sipati picha kesho kutwa mi yangu macho
 
Back
Top Bottom