Valentine day;mchagulie member wa JF umpendae

Valentine day;mchagulie member wa JF umpendae

Hivi unaweza kweli ukaweka order ya zawadi mpendwa?

Wewe subiri tu babu akuzukie na matenga yake ya maembe, machungwa, na mitetea.....

Halafu mie nitaka nile na wajukuu zangu...ukienda nunua utatuletea??

Hapa naaona nahitaji msaada wa The Boss.....

Babu binamu The Boss anaingiaje hapa? Naona kizunguzungu.
 
Last edited by a moderator:
ataumia.. nilitaka nimwambie atuwache tulale!!

mimi na my angel! the one and only in the city!

afu baby nataka tusafiri wote kwenda New York city kwa ajili ya Valentine..!

jiandae baby!

Khaaaaaaaaaa Excel unanikana eeeeeh
 
Last edited by a moderator:
afu ujue nna mke humu ndani!!!.. anatuangali tu tunachofanya na kuongea!

punguza mirembuo basi mtoto mzuri!

jinywee basi upunguze hasira!

si ulinidanganya umeachwa wewe Excel kule pm kumbe ndo zako eeeeeeh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom