Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,530
Naona unataka kutibua ushoga wangu na Heaven on Earth wewe.
Mie wako tu....mitikasi iliinibana.
He!!! hulali??
Last edited by a moderator:
Naona unataka kutibua ushoga wangu na Heaven on Earth wewe.
Mie wako tu....mitikasi iliinibana.
He!!! hulali??
Wana wenyewe tayari humu mtandaoni naogopa nisije mwagiwa digital tindikali lol. Basi mie rose la njano liwaendee wanawake wooote huku ni wengi mno siwezi kuwataja majina. Huwa nawa feel sana ma independent lady wooote wanaojua kusaka mavumba. Nawakubali pia wanaojua kuchuna lol salam ziwaendee this valentine nawatakia "kazi njema"! Nawapenda wote.kwanini Unaona aibu sasa
Babu Dark City, hahah kama unajipanga kuyaleta kwangu we nipe tu hiyo hela ntaendanunua mwenyewe hahah
Naona unataka kutibua ushoga wangu na Heaven on Earth wewe.
Mie wako tu....mitikasi iliinibana.
He!!! hulali??
Niaje babu! Shwari?
Vipi ile ishu ya under 20? Ulitoka na bingo au ulizingua?
Hilo ua la tano limetulia sana,namdedicetia na nyimbo nzuri ya its all coming back ya celine dion ikimburudisha/ikituburudisha as long as huwa anaingia humu as a guest hope anaweza kupata msg and i feel sory for what i have done to her, she didnt deserve it,
Weee mpe mtu kila mtu na bahti yake ati...
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Mbona umejihimu alfajiri yote hiyo mzee mwenzangu?
Na wewe ni mdau wa "V" day?
mzee mwenzangu, jimvua kubwa na radi usingizi ntaupatia wapi na huu umri?
mzee mwenzangu, jimvua kubwa na radi usingizi ntaupatia wapi na huu umri?
yaani Excel hata mimi umenisahau eeeeeh