Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

Nyote naona vihiyo tu. Uzuri wa mwanamke/mwanaume ni UAMINIFU, UPENDO, UELEWA WA MAMBO, MCHAPA KAZI bila kusahau MCHA MUNGU/MWENYE HOFU NA MUNGU.Hakuna binadamu mbaya hata siku moja, hayo yote ya sura, makalio ni ubinadamu wenu tu unawafanya muwe wabaguzi. Ina maana sisi tusio na makali au sura nzuri hatuko kwenye list ya wanawake?
Imani hujenga mapenz boro then humfanya mwanamke kuonekana mzuri sana! Huji'behave!
 
Natumai hata wewe umeisha jiuliza hili swali, sasa kwa pamoja tujadili, na tuafikiane juu ya uzuri wa mwanamke. Swali hapa ni: "je uzuri wa mwanamke upo wap? Ni upi?" je ni mbele? Nyuma? Juu? Chin? Katikati? Ndani? Nje? Or? Kifupi binafsi cjaelewa. ukitaka jibu kwa ufasaha hebu make ur imaginatios kwa mke/mpenz wako, hususani penzi lako kwake!


I am sure, you will not get what you want, but a piece of information, opinions za watu tofauti.
probably, you could point out ypourself, uzuri wa mwanamke, kwa wewe ni upi?
 
I am sure, you will not get what you want, but a piece of information, opinions za watu tofauti.probably, you could point out ypourself, uzuri wa mwanamke, kwa wewe ni upi?
Afrodenzi anakila kitu nitakacho, make ur own assessment!
 
Mkuu utalist everything lakini beauty will always lies in the eyes of the beholder. Kumbuka wapo wanaopenda personality zaidi regardless of how beautiful the woman is. Mwanamke anaweza akawa na yote uliyotoja hapo juu, lakini kama hana personality, kwa wengine inaweza kuwa kuwa ni turn off. Wengine hata wakiwa sita kwa sita inakuwa issue. Ndio mana unakuta kuna wanawake wazuri wengi tuu hawajaolewa. Tafiti zinaonyesha kuwa wanawake wazuri, don't bother to built on their personalities. They use their beauty as a weapon. Na tafiti zinaoneyesha pia kwamba wanaume walioa wanawake wazuri sana, hufa miaka 10 kabla ya muda rasmi kutimia.

Pamoja na hayo beauty lies in the eyes of the beholder.
hapo red:Namwonea huruma kaka yangu
 
tukubali,tukatae kuna ujumla flani unampa mwanamke fani credits over others.
 
It is too philosnphical, can u try 2 b specific? Yeah, for the sake of all MMU members pls.
Ukipenda Chongo utaita Kengeza...,
Mimi naweza kuona ana macho ya mahaba wengine wakayaita makubwa...
Wengine wakasema anamidomo mikubwa , mimi nikaona ni mizuri na inavutia...
Wewe unasema hana afya mimi namuona kaumbika kama model
Wanauliza nimempendea nini, Mi nasema anachonipa siwezi kukipata pengine...

Different Strokes, For Different Folks, Na tushukuru Mungu kwa hilo ama sivyo Mwanamke mmoja angefatwa na wanaume wote....
 
Ukipenda Chongo utaita Kengeza...,Mimi naweza kuona ana macho ya mahaba wengine wakayaita makubwa...Wengine wakasema anamidomo mikubwa , mimi nikaona ni mizuri na inavutia...Wewe unasema hana afya mimi namuona kaumbika kama modelWanauliza nimempendea nini, Mi nasema anachonipa siwezi kukipata pengine...Different Strokes, For Different Folks, Na tushukuru Mungu kwa hilo ama sivyo Mwanamke mmoja angefatwa na wanaume wote....
Sawa mkubwa, hope wamelipata somo, washindwe kufanya uchaguzi wenyewe!
 
Naona kama umeuliza na kutoa jibu mwenyewe! Ni subjective kwa kuwa kila mtu ana perception tofauti kuhusiana na uzuri. Wengine mzuri ni yule aliyemkubali baada ya kuwa ametemwa na waliyependana na kuzoeana sana. Thanx anyway.
Natumai hata wewe umeisha jiuliza hili swali, sasa kwa pamoja tujadili, na tuafikiane juu ya uzuri wa mwanamke. Swali hapa ni: "je uzuri wa mwanamke upo wap? Ni upi?" je ni mbele? Nyuma? Juu? Chin? Katikati? Ndani? Nje? Or? Kifupi binafsi cjaelewa. ukitaka jibu kwa ufasaha hebu make ur imaginatios kwa mke/mpenz wako, hususani penzi lako kwake!
 
Ukipenda Chongo utaita Kengeza...,Mimi naweza kuona ana macho ya mahaba wengine wakayaita makubwa...Wengine wakasema anamidomo mikubwa , mimi nikaona ni mizuri na inavutia...Wewe unasema hana afya mimi namuona kaumbika kama modelWanauliza nimempendea nini, Mi nasema anachonipa siwezi kukipata pengine...Different Strokes, For Different Folks, Na tushukuru Mungu kwa hilo ama sivyo Mwanamke mmoja angefatwa na wanaume wote....
kweli kabisaaaaaaaa!
 
umesema for all (yani men & women) inategemea na mtazamo, upendeleo na hata udhaifu wa (mwanaume) anyemwona mwanamke. sisi wanaume tunatawaliwa na macho hasa kama tutaangalia uzuri wa mwanamke kimapenzi. na wanawake wana tawaliwa na masikio. KWAHIYO MWANAUME ANAPOONA ENEO AU MAUMBILE FULANI YA MWANAMKE YANAMPENDEZA, BASI ATASEMA MZURI(KADIRI YAKE.). HIVYO JIBU LA SWALI LAKO NI.. NINATEGEMEA NA ANAYEONA(MWANAUME)
 
umesema for all (yani men & women) inategemea na mtazamo, upendeleo na hata udhaifu wa (mwanaume) anyemwona mwanamke. sisi wanaume tunatawaliwa na macho hasa kama tutaangalia uzuri wa mwanamke kimapenzi. na wanawake wana tawaliwa na masikio. KWAHIYO MWANAUME ANAPOONA ENEO AU MAUMBILE FULANI YA MWANAMKE YANAMPENDEZA, BASI ATASEMA MZURI(KADIRI YAKE.). HIVYO JIBU LA SWALI LAKO NI.. NINATEGEMEA NA ANAYEONA(MWANAUME)
Yeah! For all MMU MEMBERZ (Me & Ke) wote ruksa kuchangia mawazo yenu humu! swala la uzuri ni controversal, wanaume twawaona wanawake wazuri, na wanawake huwaona wanawake wenzao wazuri. Hapa swali laja uzuri wa mwanamke upo wap? nin hufanya/huleteleza huo uzuri? Huyo ndio concept ya hii thread!
 
Beauty Lies in the Eyes of a Beer Holder....., Seriously though...
uzuri wa mwanamke its a package (ni mambo mengi, depends na your priority)..

“You don't love a woman because she is beautiful, but she is beautiful because you love her ”

umemaliza yooote niliyotaka kusema. uzuri wa mwanamke ni kwa mujibu wa mwanamume na vigezo vyake wengine hujali sura kwa vigezo vyao wanajua hii ni nzuri , wengine wana aina ya shape ambazo huzipenda, wengine aina fulani ya tabia n.k. n.k. hakuna vigezo vinavyofanana ili kumtaja mwanamke kuwa ni mzuri
 
Beauty is the eyes of the beholder.

Ubora wa mwanaadam awe mwanamke au mwanamme upo kwenye ucha mungu wake.
 
Back
Top Bottom