Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

wanawake ni mapambo ya dunia..without us u can imagine how the world cld have been..so we r jst beautiful usidadisi sana, it will always remain to be we are.....lol
Najua ur beautful, i just want to find if beauty is equally shared all of u or there is diversion. The most thing is "WHAT MAKES A WOMAN BEAUTIFUL?" .Hapa ndio hoja ilipo na majadiliano yetu yapasa kuwa hapa! Haya tujadili.
 
Mkuu utalist everything lakini beauty will always lies in the eyes of the beholder. Kumbuka wapo wanaopenda personality zaidi regardless of how beautiful the woman is. Mwanamke anaweza akawa na yote uliyotoja hapo juu, lakini kama hana personality, kwa wengine inaweza kuwa kuwa ni turn off. Wengine hata wakiwa sita kwa sita inakuwa issue. Ndio mana unakuta kuna wanawake wazuri wengi tuu hawajaolewa. Tafiti zinaonyesha kuwa wanawake wazuri, don't bother to built on their personalities. They use their beauty as a weapon. Na tafiti zinaoneyesha pia kwamba wanaume walioa wanawake wazuri sana, hufa miaka 10 kabla ya muda rasmi kutimia. Pamoja na hayo beauty lies in the eyes of the beholder.
Mkuu nashukuru kwa mchango wako na mchanganuo wako mzuri juu ya hili jambo. Kwel personality nayo huusika ktk uletaji wa maana ya uzuri wa mwanamke, mfn. Mwanamke kama Oprah ki'sura havutii sana, kishape pia hayuko njema, anaweza kuwa na mapungufu mengi BUT coz of her personality, huyu ni mzuri.. LAKINI umezua jambo jingine tena, umesema "wanaume wenye wake wazuri hufa 10 years b4 their normal death day" mkuu hapa umeniacha njia panda, kwa nin hivi? Hebu tuelezee kwa kina, ikibid njoo na sample!
 
Uzuri wa mwanamke ni tabia,hayo mengine ni matokeo tuuuu wanaMMU
Mkuu hebu msome Ngose, Voice of Reasons na EMT nahis kuna vitu mhm sana ktk comments zao unazo zihitaji wewe kufunguka uelewa wako!
 
yes,
ni kweli kama waungwana wanavyosema, BEAUTY LIES IN THE EYES OF THE BEHOLDER,
Hii ni kweli kabisa, kwani kila mtu ameumbwa na utashi wake na mtazamo wake,
na wala huwezi lazimisha unachokiona wewe na kukidefine,basi na mimi niwe hivyo..........

Lakini ningependa kwenda mbele zaidi ya hapo,
Binafsi uzuri wa hawa dada zetu naweza uweka kwenye makundi mawili,
mwonekano wa kitabia na umbo la nje,

tukiacha unafiki hapa, kiukweli wanawake wanatofautiana sana kwenye tabia,
yawezekana hii ikawa ni mwonekano wa ndani zaidi, lakini tutambue tu kuwa,
kuna tabia alizo nazo mwanamke ambazo kiukweli zingeweza kumpendeza mwanaume yoyote yule,
ambae angependa kuwa nae.
Lakini hili la mwonekano wa kitabia mara nyingi huangaliwa sana pale kipindi mwanaume anahitaji kupata,
mwenza wa maisha yake, kwahiyo ukipata huyo mwenye tabia ilo safi na ya kumpendeza mungu,
basi hapo waweza sema kuwa umepata mwanamke mzuri.

Umbo la nje mara nyingi ni sababu tosha ya kumvuta mwanaume kabla hujaingia kwa ndani zaidi kutaka kumjua,
katika kuchunguza hiyo tabia, lakini vile vile inategemea na mahusiano yanayohitaji kujengwa hapo,
Hebu tuwe wakweli hapo na tuendelee kutupa kuleeee unafiki,
wapo wanawake wazuri bana kwa umbo na sura, hata wadada wenyewe wanajijua bana,
sitaki kulisemea sana hili kwani linajulikana wazi tu.
Mara nyingi wanaume wanaokimbilia mwanamke mwenye umbo zuri, huwa wanaongozwa na katamaa fulani hivi,(ingawa so wote)
Sikumbuki mara ya mwisho sijui ilikuwa lini tu, nilibahatika kumwona mwanamke mwenye umbo zuri,
sambamba na tabia ilo safi ni aghalabu sana kukutana na viumbe wenye sifa zote hizi kwa pamoja kwa sasa hivi!!!!!!!

MUNGU AWABARIKI NYOTE
BWANA ASIFIWE SANA!!!!


lol...ngoja niwahi kikombe cha kahawa, asubuhi yote hii nimeshaanza kuchonga mdomo wangu agggghrrrrr!!!!!!!
 
yes,ni kweli kama waungwana wanavyosema, BEAUTY LIES IN THE EYES OF THE BEHOLDER,Hii ni kweli kabisa, kwani kila mtu ameumbwa na utashi wake na mtazamo wake,na wala huwezi lazimisha unachokiona wewe na kukidefine,basi na mimi niwe hivyo..........Lakini ningependa kwenda mbele zaidi ya hapo,Binafsi uzuri wa hawa dada zetu naweza uweka kwenye makundi mawili,mwonekano wa kitabia na umbo la nje,tukiacha unafiki hapa, kiukweli wanawake wanatofautiana sana kwenye tabia,yawezekana hii ikawa ni mwonekano wa ndani zaidi, lakini tutambue tu kuwa,kuna tabia alizo nazo mwanamke ambazo kiukweli zingeweza kumpendeza mwanaume yoyote yule,ambae angependa kuwa nae.Lakini hili la mwonekano wa kitabia mara nyingi huangaliwa sana pale kipindi mwanaume anahitaji kupata,mwenza wa maisha yake, kwahiyo ukipata huyo mwenye tabia ilo safi na ya kumpendeza mungu,basi hapo waweza sema kuwa umepata mwanamke mzuri.Umbo la nje mara nyingi ni sababu tosha ya kumvuta mwanaume kabla hujaingia kwa ndani zaidi kutaka kumjua,katika kuchunguza hiyo tabia, lakini vile vile inategemea na mahusiano yanayohitaji kujengwa hapo,Hebu tuwe wakweli hapo na tuendelee kutupa kuleeee unafiki,wapo wanawake wazuri bana kwa umbo na sura, hata wadada wenyewe wanajijua bana,sitaki kulisemea sana hili kwani linajulikana wazi tu.Mara nyingi wanaume wanaokimbilia mwanamke mwenye umbo zuri, huwa wanaongozwa na katamaa fulani hivi,(ingawa so wote)Sikumbuki mara ya mwisho sijui ilikuwa lini tu, nilibahatika kumwona mwanamke mwenye umbo zuri,sambamba na tabia ilo safi ni aghalabu sana kukutana na viumbe wenye sifa zote hizi kwa pamoja kwa sasa hivi!!!!!!!MUNGU AWABARIKI NYOTEBWANA ASIFIWE SANA!!!!lol...ngoja niwahi kikombe cha kahawa, asubuhi yote hii nimeshaanza kuchonga mdomo wangu agggghrrrrr!!!!!!!
Mkuu bacha nakupa salute kaka, uliyoyasema yote yapo sahihi na ya ukweli, uchambuzi wako nimeupenda coz umeenda mbali hadi ukawategorize hawa! Asante mkubwa! Nadhan wadau wakisoma mchango wako, wa Ngoswe, EMT na Voice of Reason watagain mengi!
 
Siumwangalie wako uamue uko wapi!

Mwambie uzuri wamwanamke upo katika kila kiungo, na ni kila unachokiona katika mwili wake maana vyote vinafunction yake. Pia kila tendo lake ni uzuri wake, (wasifu wa ndani vs wasifu wa nje) given
MY TAKE: UZURI AU UBAYA WAKITU/MTU NI VALUE YA UZURI.
I.Uzuri wa mtu mmoja hutokana na uzuri wa mtu mwingine.
II.Uzuri wa mtu mmoja unatokana na ubaya wa mtu mwingine.
III.Ubaya wa mtu hutokana na ubaya wa mtu mwingine.
Angalizo: tabia hubadilika watu hawabadiliki.
Hakuna kilichoitwa kizuri kikajitosheleza.
 
Natumai hata wewe umeisha jiuliza hili swali, sasa kwa pamoja tujadili, na tuafikiane juu ya uzuri wa mwanamke. Swali hapa ni: "je uzuri wa mwanamke upo wap? Ni upi?" je ni mbele? Nyuma? Juu? Chin? Katikati? Ndani? Nje? Or? Kifupi binafsi cjaelewa. ukitaka jibu kwa ufasaha hebu make ur imaginatios kwa mke/mpenz wako, hususani penzi lako kwake!

uzuri wa mwanamke upo NDANI
uzuri wa mtu awe mke/mme upo ndani....UPSTAIRS ikiwa njema bas wewe mzur
 
Mwambie uzuri wamwanamke upo katika kila kiungo, na ni kila unachokiona katika mwili wake maana vyote vinafunction yake. Pia kila tendo lake ni uzuri wake, (wasifu wa ndani vs wasifu wa nje) givenMY TAKE: UZURI AU UBAYA WAKITU/MTU NI VALUE YA UZURI.I.Uzuri wa mtu mmoja hutokana na uzuri wa mtu mwingine.II.Uzuri wa mtu mmoja unatokana na ubaya wa mtu mwingine.III.Ubaya wa mtu hutokana na ubaya wa mtu mwingine.Angalizo: tabia hubadilika watu hawabadiliki.Hakuna kilichoitwa kizuri kikajitosheleza.
Thanx mkuu, nimejifunza kwako baadhi ya mambo!
 
Natumai hata wewe umeisha jiuliza hili swali, sasa kwa pamoja tujadili, na tuafikiane juu ya uzuri wa mwanamke. Swali hapa ni: "je uzuri wa mwanamke upo wap? Ni upi?" je ni mbele? Nyuma? Juu? Chin? Katikati? Ndani? Nje? Or? Kifupi binafsi cjaelewa. ukitaka jibu kwa ufasaha hebu make ur imaginatios kwa mke/mpenz wako, hususani penzi lako kwake!

Wengi wanasema tabia.

Lakini mm nipo tofauti uzuri wa mwanamke kwangu ni wowowo tu
 
Nyote naona vihiyo tu. Uzuri wa mwanamke/mwanaume ni UAMINIFU, UPENDO, UELEWA WA MAMBO, MCHAPA KAZI bila kusahau MCHA MUNGU/MWENYE HOFU NA MUNGU.

Hakuna binadamu mbaya hata siku moja, hayo yote ya sura, makalio ni ubinadamu wenu tu unawafanya muwe wabaguzi. Ina maana sisi tusio na makali au sura nzuri hatuko kwenye list ya wanawake?
 
Natumai hata wewe umeisha jiuliza hili swali, sasa kwa pamoja tujadili, na tuafikiane juu ya uzuri wa mwanamke. Swali hapa ni: "je uzuri wa mwanamke upo wap? Ni upi?" je ni mbele? Nyuma? Juu? Chin? Katikati? Ndani? Nje? Or? Kifupi binafsi cjaelewa. ukitaka jibu kwa ufasaha hebu make ur imaginatios kwa mke/mpenz wako, hususani penzi lako kwake!
Kiongozi naomba nikuambie kila mwanamke ni mzuri kwa mwanaume aliyempenda,wwe utamwona mbaya mwenzio anaona she is angel!
 
Back
Top Bottom