Uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia

Uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia

Tabia ndo kila kitu uzur na shape una mda wake i mean yule unayemwona mzur ata chuja umri ukianza kumtupa mkono but tabia inabak palepale
 
Mwanaume anaongoza kubeba videmu kwenye vigodoro na madanguro..halafu kesho anataka kuoa mwanamke ana tabia nzuri..
Change ni wewe.
Ukiwa mwigizaji unapata type yako.
Ukiwa na tabia nzuri unapata type yako.

saafi
unapewa wa kufanana na wewe
 
Lengo la kuruhusu multi ID lilikuwa jema hasa kwa verified user kama anataka kulipuwa bomu zito atumie ID mbadala lakini hawa watoto wanaharibu.

Hivi unafahamu Kikwete ni active Member mzuri wa MMU?

hahahahaaaaa...!!!!
jamani jamani!
 
Mkuu Matola mbona skuelewi hvyo unavyoviongea? Utawezaje kuunganisha id yangu na ya mtu mwingne?....... Npo tayar hapa kuweka majina yangu halisi na location yangu pamoja na picha yangu ili upate kulinganisha vizr. Na kama itakuwa kweli mm ntawajibika na kama hiki ulichokiandika ww si kweli naapa haki ya mama ntaonekana ninaroho mbaya mbele ya jamii hii.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Matola mbona skuelewi hvyo unavyoviongea? Utawezaje kuunganisha id yangu na ya mtu mwingne?....... Npo tayar hapa kuweka majina yangu halisi na location yangu pamoja na picha yangu ili upate kulinganisha vizr. Na kama itakuwa kweli mm ntawajibika na kama hiki ulichokiandika ww si kweli naapa haki ya mama ntaonekana ninaroho mbaya mbele ya jamii hii.

Hivi siku hizi Matola ni moderator????
 
Last edited by a moderator:
Huu uzi unanihusu sana
Eid mubarak wana MMU,

Bila kupoteza wakati acha niende kwenye mada ambayo ningependa kuielezea. Kuna msemo maarufu sana kwamba UZURI WA MWANAMKE NI TABIA SIO UREMBO.

Huu usemi mimi ninakubaliana nao hasa pale linapokuja swala la kumtafuta mwenzi wako wa maisha ni lazima ujiridhishe kua tabia na mienendo yake, ni mizuri na imekuridhisha.

Tatizo linakuja jinsi ya kuitambua hiyo tabia ya mwenzi wako (mwanamke) unayetaka kufunga nae pingu za maisha, kwa kweli wanawake wengi kwa sasa wanavyojionyesha nje si vile walivyo ndani wanajua kufake tabia yao ionekana kama nzuri wakati sio kweli, kwa mfano mwonekano wa mavazi wa mwanamke unaweza ukazungumza tabia yake jinsi ilivyo ijapokuwa sio kwa asilimia mia.

Kuna mwanamke ambaye anaweza akawa anavaa nguo ndefu sana mpaka anaziburuza akitaka aonekane mwenye tabia nzuri lakini kumbe usiku utamkuta kwenye vigodoro au barabarani anajiuza ni kahaba.

Kwa sasa wanawake wengi ni waigizaji wazuri sana kuliko wasanii wa hollywood ijapokuwa huwa hawapati tuzo.
 
Lengo la kuruhusu multi ID lilikuwa jema hasa kwa verified user kama anataka kulipuwa bomu zito atumie ID mbadala lakini hawa watoto wanaharibu.

Hivi unafahamu Kikwete ni active Member mzuri wa MMU?
aaaah mkuu taratibu..presidaa the man himself..??,kinaniwasha kumjua..lols
 
Mkuu Matola mbona skuelewi hvyo unavyoviongea? Utawezaje kuunganisha id yangu na ya mtu mwingne?....... Npo tayar hapa kuweka majina yangu halisi na location yangu pamoja na picha yangu ili upate kulinganisha vizr. Na kama itakuwa kweli mm ntawajibika na kama hiki ulichokiandika ww si kweli naapa haki ya mama ntaonekana ninaroho mbaya mbele ya jamii hii.
Watoto show.
 
Last edited by a moderator:
Uzuri wa mwanamke sura, tabia ntambadili mbele mbele, nkishindwa ntacope nae, ntakuwa km yy!
 
Eid mubarak wana MMU,

Bila kupoteza wakati acha niende kwenye mada ambayo ningependa kuielezea. Kuna msemo maarufu sana kwamba UZURI WA MWANAMKE NI TABIA SIO UREMBO.

Huu usemi mimi ninakubaliana nao hasa pale linapokuja swala la kumtafuta mwenzi wako wa maisha ni lazima ujiridhishe kua tabia na mienendo yake, ni mizuri na imekuridhisha.

Tatizo linakuja jinsi ya kuitambua hiyo tabia ya mwenzi wako (mwanamke) unayetaka kufunga nae pingu za maisha, kwa kweli wanawake wengi kwa sasa wanavyojionyesha nje si vile walivyo ndani wanajua kufake tabia yao ionekana kama nzuri wakati sio kweli, kwa mfano mwonekano wa mavazi wa mwanamke unaweza ukazungumza tabia yake jinsi ilivyo ijapokuwa sio kwa asilimia mia.

Kuna mwanamke ambaye anaweza akawa anavaa nguo ndefu sana mpaka anaziburuza akitaka aonekane mwenye tabia nzuri lakini kumbe usiku utamkuta kwenye vigodoro au barabarani anajiuza ni kahaba.

Kwa sasa wanawake wengi ni waigizaji wazuri sana kuliko wasanii wa hollywood ijapokuwa huwa hawapati tuzo.

Sura ni muhimu sana tena. Hata kama una good behavior sura bado ina mata sana.
 
Mkuu daaah basi awe na kasura japo kanatazimika pia mweeeh!

Yaani awe na tabia nzuri saaana lkn kasura kama Chakubanga na mwili kama Sanamu la Michelin mweee?

Hapana ndugu yangu awe na tabia nzuri na kasura kidogo japo ka afadhali
 
Mkuu Matola mbona skuelewi hvyo unavyoviongea? Utawezaje kuunganisha id yangu na ya mtu mwingne?....... Npo tayar hapa kuweka majina yangu halisi na location yangu pamoja na picha yangu ili upate kulinganisha vizr. Na kama itakuwa kweli mm ntawajibika na kama hiki ulichokiandika ww si kweli naapa haki ya mama ntaonekana ninaroho mbaya mbele ya jamii hii.

We kuja hapa kwan Matola ni mod,lioneee kila siku kutusumbua kumbe ni weweeee
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa...shouger mi nimecheekaaa...nikazimia ndo nazinguka sasa hivi lolest...

Best huu ndo ushoger mzuri nikikumbuka matusi niliyokuwa napewa na hiz ID kumbe mgiriki
Ivi ID zooote za nn jaman
Mbaya zaid kuabuse watu tuu Matola hongeren kwa hii taarifa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom