Uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia

Uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia

aibu imekuganda shost looooh
haibanduki hata kwa kisuuuu..
pyeeeeeeeee

halafu mbona huwa anamind sana swala la wewe kuwa na mtoto
au alitaka adonate sperm ukamkatalia?
make hili huwa linamuuma, anachachamaa kama kakamuliwa ndimu matakkoni....
 
halafu mbona huwa anamind sana swala la wewe kuwa na mtoto
au alitaka adonate sperm ukamkatalia?
make hili huwa linamuuma, anachachamaa kama kakamuliwa ndimu matakkoni....

Atakuwa mgumba mana hapatani na watu waliozaa
 
Tena mjinga kweli kweli..jitu ID nying af anajaza ungese tu...mijitu mingine hooovyooo
sahiz linahaha km libata lililokosa maji...mkumbafu kweli huyu

kuna mtu alishawahi kuniambia huyo dogo atakuwa ni mgiriki nilibisha hadi nikasweat
kumbe nilikuwa nabishia usengerema mxyuuuuu
 
Last edited by a moderator:
Atakuwa mgumba mana hapatani na watu waliozaa

Atajijuuuu watu wanakimbizana na majogoo kuelekea kwa waganga kutafuta watoto
shangaa dume zima linachukia kusikia mtu ana mtoto kweli atakuwa mgumba huyo si bure
 
Bora umeumbuliwa mawanasaliboko, huu usengerema huwa unakusaidia nini
unakuja na hivo vi id vyako vingine unatukanaaa unakuja na ki id cha mgiriki unajifanya mtu swafi

tena nimekasirika mara mia ulitoa thread na id ya makomana eti unashangilia mgiriki kupigwa ban
nikasema mbona mgiriki mtu poa ukanitukana nyooo una tofauti gani na nyani anaejitia dole na kupiga chafya mwenyewe
manina kabisa huna maana

Khaaaa! Humu kuna mazito humu! Naomba tuepushe ibilisi, tumlaani shetani, tusameheane!
 
halafu mbona huwa anamind sana swala la wewe kuwa na mtoto
au alitaka adonate sperm ukamkatalia?
make hili huwa linamuuma, anachachamaa kama kakamuliwa ndimu matakkoni....

yeye sperm zake kwisha hbr...
hajui mi na yeye tunatofauti kubwa sana..mwenzie nawaza mtoto shule na kukomaa majukumu ..ye anawaza kuandika ungese na kutukana watu jf..sijui nan anabaki na umaskini wa akili hapo..
na isitoshe mie sie level yake hata akipanda na ngazi..

ataganda na kuisoma saaanaaa
 
kuna mtu alishawahi kuniambia huyo dogo atakuwa ni mgiriki nilibisha hadi nikasweat
kumbe nilikuwa nabishia usengerema mxyuuuuu

Aisee kumbe watu walisuspect daah nisingeweza hata kufikiria aisee
 
Last edited by a moderator:
yeye sperm zake kwisha hbr...
hajui mi na yeye tunatofauti kubwa sana..mwenzie nawaza mtoto shule na kukomaa majukumu ..ye anawaza kuandika ungese na kutukana watu jf..sijui nan anabaki na umaskini wa akili hapo..
na isitoshe mie sie level yake hata akipanda na ngazi..

ataganda na kuisoma saaanaaa

ungempunguzia machungu bana na wewe aingize hata kichwa tu, kichwa tu vai.....
 
Aisee kumbe watu walisuspect daah nisingeweza hata kufikiria aisee

kanavojifanyaga kamtu ka watu na hiyo id ya mgiriki hata mi sikudhani na nilishabisha sana kuwa sio kenyewe
kumbe panya madoa tu.....
 
Atajijuuuu watu wanakimbizana na majogoo kuelekea kwa waganga kutafuta watoto
shangaa dume zima linachukia kusikia mtu ana mtoto kweli atakuwa mgumba huyo si bure

Hahahahaaaaa laana ya kwake yeye matokeo yake anataka kugeuza baraka za wenzie kuwa laana akwende akafie mbele huko...
 
kuna mtu alishawahi kuniambia huyo dogo atakuwa ni mgiriki nilibisha hadi nikasweat
kumbe nilikuwa nabishia usengerema mxyuuuuu

hilo boya lina ID nne...hiyo moja ya kupokelea pole za watu na kusifiwa anajidai kuifanya hapatikani...akija nayo anajidai kudanganya watu....
yaani huyu dogo ni lafa booonge la lafaaa...
mgiriki Makomana @75mm Amicus curie we dogo ujumbe wangu na ukufikie...nilishakukataza sana usinisogelee ukajidai mjanja kunijia kwa styl tofaut umeishia wap sasa...nitafutie ID nyingineee
 
Last edited by a moderator:
hilo boya lina ID nne...hiyo moja ya kupokelea pole za watu na kusifiwa anajidai kuifanya hapatikani...akija nayo anajidai kudanganya watu....
yaani huyu dogo ni lafa booonge la lafaaa...
mgiriki Makomana @75mm Amicus curie we dogo ujumbe wangu na ukufikie...nilishakukataza sana usinisogelee ukajidai mjanja kunijia kwa styl tofaut umeishia wap sasa...nitafutie ID nyingineee

Hahahahaaaa......kweli Mungu hamfichi mnafiki. Tatizo alijua watu wote hum level yake kumbe wengine wanajishusha tu kupiga stori na kina Khantwe....wako level zingine kabisa ambazo hazifikiki. Siku nyingine usirudie kujitoa ufahamu ndugu Mgirik maana watu wa hum wabayaaa...
 
Last edited by a moderator:
hilo boya lina ID nne...hiyo moja ya kupokelea pole za watu na kusifiwa anajidai kuifanya hapatikani...akija nayo anajidai kudanganya watu....
yaani huyu dogo ni lafa booonge la lafaaa...
mgiriki Makomana @75mm Amicus curie we dogo ujumbe wangu na ukufikie...nilishakukataza sana usinisogelee ukajidai mjanja kunijia kwa styl tofaut umeishia wap sasa...nitafutie ID nyingineee

ndo kishavuliwa nguo mchana kweupeee kazi kwake ainame ajifiche au akimbie tuone makolokolo yake.....
 
Hahahahaaaaa laana ya kwake yeye matokeo yake anataka kugeuza baraka za wenzie kuwa laana akwende akafie mbele huko...

laaana tena laaana ya kichaa kuiba ubwabwa mama ntilie
 
Back
Top Bottom