miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
Daaaah mwanamke kichuguu...
Lengo la kuruhusu multi ID lilikuwa jema hasa kwa verified user kama anataka kulipuwa bomu zito atumie ID mbadala lakini hawa watoto wanaharibu.hahaha like seriously..kumbe ni one person....hiv mbona watu wanapenda kupoteza muda hivi,id tatu for who ?for what?...kazi ipo
Lengo la kuruhusu multi ID lilikuwa jema hasa kwa verified user kama anataka kulipuwa bomu zito atumie ID mbadala lakini hawa watoto wanaharibu.
Hivi unafahamu Kikwete ni active Member mzuri wa MMU?
We nae umeamua kituchekesha
Hahahaaaa...shouger mi nimecheekaaa...nikazimia ndo nazinguka sasa hivi lolest...
haahaaa heehee kwisha nguvu zake....anaharisha anapolala aaaalaaa
Hiyo ID ya Makomana nilimshikisha adabu jana ikaunganishwa na ID yake ya Mgirik akome kutukana wakubwa.
nashukuru umezinduka maana..haka katoto kanajidai kanazidi watu akili kumbe vumbi tena la tope...
bata ni bata tuuu@makomana
Jukwaa litarudi kwenye heshima yake.kwakweli ulifanya vizuri maana hili jitu bichwa kubwa kama tikiti la bush lakini akili hakuna kabisa
Anajamba maputo tu sasa hivi.
Hiyo ID ya Makomana nilimshikisha adabu jana ikaunganishwa na ID yake ya Mgirik akome kutukana wakubwa.
jasho linamtokea kwenye fizi...haaahaaaahaaa hatare sanaaa
Tutaanza kusomana mwandiko na pia watajuwa kazi ya Reputation powers ni nini kama walidhani zinatolewa kama urembo.Usikute hata ya REALITY ni yake
Tutaanza kusomana mwandiko na pia watajuwa kazi ya Reputation powers ni nini kama walidhani zinatolewa kama urembo.
Kwani huyu ulimgunduaje mkuu?
na huyo anatabia hizo zaki dagaaa?
Am old enough hapa JF.