Uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia

Uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia

bora umekuja yule kijana wako tunataka tumfunde tna makomana aka mgiriki lasty 75mm
matusi meeeengi juu ya wanawake kumbe mtu mmoja

wapo shoping kununua madera,wanja,mapafyumu na mapoooda na hina

Hahaha naona na Keki itakuwepo tu ila maandishi ndo sijajua
 
Sema mchepuko wangu wa kudumu najua hajakutongoza😛

haaahaaaaahaaa....vijana wa sikuhiz wakitongoza na kutoswa si ndo wanaishiaga matusi na kejeli...
hujui hilo chepuko langu
 
haaahaaaaahaaa....vijana wa sikuhiz wakitongoza na kutoswa si ndo wanaishiaga matusi na kejeli...
hujui hilo chepuko langu

Najua ilo ila kwako ni level nyinginr haezi tia maguu
 
Naomba mnipe wadhifa wa kumfunda naona hajakamilika
bora umekuja yule kijana wako tunataka tumfunde tna makomana aka mgiriki lasty 75mm
matusi meeeengi juu ya wanawake kumbe mtu mmoja

wapo shoping kununua madera,wanja,mapafyumu na mapoooda na hina
 
Sipo tayari kununua package ambayo inaexpire kesho kutwa.

Fanya utafiti wa kina utagundua wanawake wengi makahaba waliumizwa na mwanaume...hivyo wakajitoa kupenda tena ila wakipata mwanaume anayemjali wanatulia kuliko watoto wa geti..trust me
 
Fanya utafiti wa kina utagundua wanawake wengi makahaba waliumizwa na mwanaume...hivyo wakajitoa kupenda tena ila wakipata mwanaume anayemjali wanatulia kuliko watoto wa geti..trust me

Kama utakuwa tayari kumuoa kahaba for whatever reason....mimi nakupa salute, kuna watu wana moyo mkubwa kama jabari.
 
Back
Top Bottom