Uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia

Uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia

Heart, unaishi dunia gani??? wanawake wengi hapa mjini tabia wanazoonesha nje sio za ukweli kwa mfano unaweza ukakuta na mdada anayependa ufahari na luxury sana lakini kumbe ametokea katika familia masikini sana huko kijijini hata umeme alibahatika kuutumia alivyokuja mjini na kuna wengine wanavaa nguo descent sana wakati ni wachafu sana na wana uwezo wa kufanya hivyo kwa muda mrefu.

Sikatai ila ata-pretend then mwisho wa siku atashindwa tu..hata kama ita-take a year or more.... Itajulikana tu. Mbona watu wanaumbuka sana mjini..
 
Nakubali mwanamke n tabia ila na uzuri nao pia ucje oa mwanamke hata kutoka nae out ishu au kwenda kwnye mialiko inabidi yy atangulie au ww kisa ubovu wa sura na umbo!!!!komaa na mzuri kupigiwa n jambo la kawaida kwa dunia ya leo.
 
It's a combination of both. Tabia inabadilika,inajengwa, inasababishwa na malezi, n.k hivyo kuna nafasi ya kumnyoosha /kumbadili mtu ila uzuri ni pamanent. Kama mbaya, mbaya daima, na omba asipate katabia Fulani, hata huwezi vumilia. My take, tabia 40%, uzuri 60%
 
ID tatu huyu makomana...75mm....mgiriki

nimecheka mpaka nimeanguka heeeeheeee haaaalooow...
maniiina na bado moja hawajaiweka mods huyu mtu wamwanike na ID zake zote 4.. Makomana mwambie mwenzio mnaepokezana kwenye utumiaji ID mmeumbuka koooonyooo zeeenuuu
 
Last edited by a moderator:
nimecheka mpaka nimeanguka heeeeheeee haaaalooow...
maniiina na bado moja hawajaiweka mods huyu mtu wamwanike na ID zake zote 4.. Makomana mwambie mwenzio mnaepokezana kwenye utumiaji ID mmeumbuka koooonyooo zeeenuuu

Hahahaaaa...shouger mi nimecheekaaa...nikazimia ndo nazinguka sasa hivi lolest...
 
Last edited by a moderator:
nimecheka mpaka nimeanguka heeeeheeee haaaalooow...
maniiina na bado moja hawajaiweka mods huyu mtu wamwanike na ID zake zote 4.. Makomana mwambie mwenzio mnaepokezana kwenye utumiaji ID mmeumbuka koooonyooo zeeenuuu
Hiyo ID ya Makomana nilimshikisha adabu jana ikaunganishwa na ID yake ya Mgirik akome kutukana wakubwa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom