Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,405
Kumbe ndiyo maana siku hizi chura ipo,ni unakula vitu heavy na vilivyoenda shule😁😁😁
Kumbe ndiyo maana siku hizi chura ipo,ni unakula vitu heavy na vilivyoenda shule😁😁😁
Unanitafuta wewe😂😂 chura ipo wapi?Kumbe ndiyo maana siku hizi una chura,ni unakula vitu heavy na vilivyoenda shule😁😁😁
Mbona nyama nyingi sana afu upo peke yako 😂😂 si matumizi mabaya ya rasilimali nyama hayo😛Wale wa domView attachment 1874412
Hii ngoma natwanga hapa mapema tu km breakfast👊
Asikusingizie bana,kaa hukuhuku kwa wasiopenda chura tubingilishaneUnanitafuta wewe😂😂 chura ipo wapi?
Ushauri mzuri,tatizo wengine tunakuja kutafta njaa humu,bila fimbo hatuli.Sasa matusi sio poa mkuu, watu wako tofauti hii dunia, na vyakula havilingani kamwe, everyone's got his/her own taste na tukiletewa hapa kuviona, mbona sio shida kwangu personally coz ndio tunajifunza tusiyoyajua kuhusu vyakula vya aina mbali mbali duniani. ✌️
😂😂 !kweli babu chura hapanaAsikusingizie bana,kaa hukuhuku kwa wasiopenda chura tubingilishane
Mihogo ni chakula kitamu jaman ukipata ile milaini either ichemshwe unywe na chai au ikaangwena kachumbari au chachanduKwenye huu uzi naona mihogo imekuwa mingi sana
Pole... 😂 😂 😂Ushauri mzuri,tatizo wengine tunakuja kutafta njaa humu,bila fimbo hatuli.
Sasa mara unakumbana na misosi ya ajabu tena.
Kiujumla ile jana sijala kabisaaa baada ya kuona ile post