Uzi wa vyakula tu

Tonge nyama
FB_IMG_1627667145811.jpg
 
Sasa matusi sio poa mkuu, watu wako tofauti hii dunia, na vyakula havilingani kamwe, everyone's got his/her own taste na tukiletewa hapa kuviona, mbona sio shida kwangu personally coz ndio tunajifunza tusiyoyajua kuhusu vyakula vya aina mbali mbali duniani. ✌️
Ushauri mzuri,tatizo wengine tunakuja kutafta njaa humu,bila fimbo hatuli.
Sasa mara unakumbana na misosi ya ajabu tena.
Kiujumla ile jana sijala kabisaaa baada ya kuona ile post
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom