Hebu vaa miwani mkuu!(kidding) 🤣 🤣 🤣Kim Dawizzy Mkuu mbona naona kama ni mapande ya samaki?View attachment 1873710
Tayari mkuu! 🤣 🤣 🤣Weka maneno..
Ni kachori? Zina andaluwaje kachori kama unafahamu tujifunze
MAHITAJI/INGREDIENTSNi kachori? Zina andaluwaje kachori kama unafahamu tujifunze
Uyo samak kama kuhe iv kuku wa majiniView attachment 1843251
Lunch hour
Yaani wewe ndio wa kupost biriani bila hata kunishtua??