Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,408
🤣🤣🤣Nataka niweke rekodi sitokaa nisikilize bunge wala hotuba ya kima yeyote wa sisiemu hadi 2026 dadadekii
🤣🤣🤣Nataka niweke rekodi sitokaa nisikilize bunge wala hotuba ya kima yeyote wa sisiemu hadi 2026 dadadekii
Kukukuku mlimani city au wapi hapa?
Nimekiona acha tuTena cha kuku
Hapo kwenye kujigaragaza sasani kula kujigaragaza
Natambua amekulea vyema amekukuza vyema sasa umeivaaaaaNakubali Sana mama mzaa chema alifanya kazi kubwa Sana kwa kweli Mungu ambariki
kumbe ndio lilikuwa kosa?Asante mkuu,spana kwa vibaka wa wizi wa kura ziko palepale!
View attachment 1714111
Kukukuku mlimani city au wapi hapa?
Ewaaaaaaaaaaa upo sahihi kabisaaaNatambua amekulea vyema amekukuza vyema sasa umeivaaaaa
Papai likiiva sasa linatakiwa lichumwe lisije kuozea juu ya mtiEwaaaaaaaaaaa upo sahihi kabisaaa
Ndio upo sahihi ila n mpaka mtu aone umuhimu wa Hilo papai ,haliwez kujichuma lenyewe.Papai likiiva sasa linatakiwa lichumwe lisije kuozea juu ya mti
Sawa sawa akili mingi mwanafalsafa wangu upo juu,Ndio upo sahihi ila n mpaka mtu aone umuhimu wa Hilo papai ,haliwez kujichuma lenyewe.