Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
Kukukuku mlimani city au wapi hapa?
Ni hapo Kukukuku Mlimani
Kukukuku mlimani city au wapi hapa?
Ewaaaaaaaaaaa upo sahihi kabisaaaNatambua amekulea vyema amekukuza vyema sasa umeivaaaaa

Papai likiiva sasa linatakiwa lichumwe lisije kuozea juu ya mtiEwaaaaaaaaaaa upo sahihi kabisaaa![]()
Ndio upo sahihi ila n mpaka mtu aone umuhimu wa Hilo papai ,haliwez kujichuma lenyewe.Papai likiiva sasa linatakiwa lichumwe lisije kuozea juu ya mti
Ndio upo sahihi ila n mpaka mtu aone umuhimu wa Hilo papai ,haliwez kujichuma lenyewe.
Sawa sawa akili mingi mwanafalsafa wangu upo juu,Over![]()
![]()
![]()
Sawa sawa akili mingi mwanafalsafa wangu upo juu,

Dawa za kwenye mboga za majani hizo. Kama ni mpenzi WA mbogamboga underperformance inakuhusu.😀😀😀
Haya mambo ya underperformance yapo hadi kwa wakondefu siku hizi!
I love you meat.Sema neno moja tu na njaa itakoma.View attachment 1711855
Na typhoid na minyoo.😔😔😔. Mboga mboga hizo ndo hatari kuliko Vumbi lenyewe.View attachment 1714909
Chips Vumbi