Kama kawaida yani mambo ni mazuri kwa kweliMkuje tule Cha mchana wapendwaView attachment 1713860
Ndio Mambo haya nipo vizuri tu Sana
🤣🤣🤣Mkuu umeniweza sana!😄
Rafiki nimerudi,naendeleza spana kwa vibaka wa wizi wa kura kama kawaida!😄😄😄Ukishiba mbakishie Behaviourist View attachment 1712625
Hongera nyingi kwa mama usijidai hapaNdio Mambo haya nipo vizuri tu Sana
Ha haaaa haaaa. Ukikuwa mkubwa uache kabisa ushariRafiki nimerudi,naendeleza spana kwa vibaka wa wizi wa kura kama kawaida!
Tena cha kuku
Nakubali Sana mama mzaa chema alifanya kazi kubwa Sana kwa kweli Mungu ambariki
Nakubali Sana mama mzaa chema alifanya kazi kubwa Sana kwa kweli Mungu ambariki
Asante mkuu,spana kwa vibaka wa wizi wa kura ziko palepale!😄😄😄Pole kwa kifungo
Nataka niweke rekodi sitokaa nisikilize bunge wala hotuba ya kima yeyote wa sisiemu hadi 2026 dadadekiiAsante mkuu,spana kwa vibaka wa wizi wa kura ziko palepale!😄😄😄
View attachment 1714111