dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Namshukuru Mungu nimeamka salama
Bado ujajipendelea asubuhi hii?
Namshukuru Mungu nimeamka salama
Haya mambo Mwalimu Nyerere, aliyakataza na kuyapiga vita
Haya mambo Mwalimu Nyerere, aliyakataza na kuyapiga vita








Namshukuru Mungu nimeamka salama
Bado ujajipendelea asubuhi hii?



Ni kweli hiyo ni lugha ya kabila gani? Kwanza
Mkuu nikufundishe?
Inafurahisha kuongea kwa lugha zetu za kibantu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jifunze kwanza halafu nitakwambia ni ya kabila ganiNi kweli hiyo ni lugha ya kabila gani? Kwanza

Hmm

Aah hapa ndipo tunapofeli watanzania nimekuuliza swali ujanijibu unauliza swali
Hmm! 🙄





Aah hapa ndipo tunapofeli watanzania nimekuuliza swali ujanijibu unauliza swali![]()






Unaijua methali ya mficha uchi hazai!
Chai kwa kipind hiki ni lazima, tena kwa sisi bachelor unapig na kiporo chako burudanii kabisa
Kweli Tena,nawaza Mara mbilimbili kula
Ila kilivyokuwa na baridi ni lazima ninywe chai.
Ikifika mida ya saa6 huwa sijiulizi Mara 2 kula
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilishazaaUnaijua methali ya mficha uchi hazai!






Huku kwetu hats kama hupendi kunywa inakulazimu unywe tu maana kuna baridi kaliChai kwa kipind hiki ni lazima, tena kwa sisi bachelor unapig na kiporo chako burudanii kabisa
Oooho!
HahahaOooho!
Wazungu wanasema NO COMMENT
Ngoja niende, kutafuta ugali![]()
Panandi nkamu, utwa mashiku twisashe,



UtakubhonekaPanandi nkamu, utwa mashiku twisashe,
Naona umepika kinyumbani kabisa nimetamani sana
Sent using Jamii Forums mobile app
