Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

kmcookingobsession-20250331-0001.jpg
 
Waswahili walisema....

Adui yako muombee njaa.

Njaa ni kiboko ya mwanaume....

Njaa haina mwenyewe...

Ukiendekeza tumbo, utakufa masikini...🤨😳

It has more meaning....
 
24 kavu, kuanzia 36 kuelekea 48 ukiweza unavuta kavu. Ukiona macho yanageuka unakula tunda moja lenye sukari mara moja hadi kesho yake.

Kuna kipindi nilikuwa nasubiria jambo, nilikaa masaa 72 kavu.

Mind you, 24 kavu na kazini naenda ila kazi ya kukaa sio ya mikikimikiki.

Ila 72 nilikuwa ndani nyumbani, nilikuwa natoka kitandani chooni kitandani tena, kuamka, kulala, kuamka.... it was awful with blessings.
Si utapata madonda, inasaidia nini kufanya hivyo?
 
Back
Top Bottom