Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Hilo muhimu mwanawane...maisha ni kula na kugegeda tuu....mengine mbwembwe
Jana usiku kilingeni Msata
20250322_200111_02.jpg
 
Wazee nina samaki mbichi hapa nielekezeni namna ya kutengeneza mchuzi shata safii
Kitunguu, tomato, hoho,kitunguu swaumu, tangawizi, nazi piga pamoja zikarange zilegee,weka, samaki aliyeoshwa vizuri tu, maji kiasi pika moto mkali dk 10 tu, kaiva huyo vwala, wali, ugali, ndizi viazi ukitaka ni unaweka mwanzo tu na zile mboga
 
Back
Top Bottom