Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Wanakuwa hawajachina, Ila tu sielewi huwa nakosea wapi.

Mwanzoni niliambiwa moto uwe mkali na mafuta yachemke sana, nilifanya hivyo lakini sijafanikiwa chochote. Samaki wanavunjikavunjika/rojeka, hususan nikiwageuza.
Tafuta mke mkuu
 
tapatalk_1584797446944 (1).jpg

Yummy!! 😋😋😋
 
Back
Top Bottom