babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 15,934
- 20,226
Kwa mafuta gani Sasa?kwani anakunywa karai zimaMafuta yanabaki mwilini kwa ndani,kwahyo moyo utajaa mafuta 😅
Kwa mafuta gani Sasa?kwani anakunywa karai zimaMafuta yanabaki mwilini kwa ndani,kwahyo moyo utajaa mafuta 😅
Mafuta ni mengi kaka kiepe kimoja ukikikamua vzuri kinatoa lita 10 za mafutaKwa mafuta gani Sasa?kwani anakunywa karai zima


doh mie wembamba ushanishinda kwa misosi hii
Chinese hiyoView attachment 2403188
Menu ilikuwa inasomeka hivi: Beef, mushroom stir fried rice. Sahani ilikuwa sh 20,000. Ni kitamu sana.
